Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Najua kuwa unajua hao jamaa walivyo ule ubinafsi upo kwa kiwango Cha juu mno. Ya wao kujiona Ni Bora kuliko wengine na wanadhani nchi hauwezi kwenda bila ya wao. Waache wafanye biashara Mana wao wanajua kutafuta pesa. Nadhani alivyojazaga nduguze crdb na huku Ni plc.Hoja yako haina mashiko!!
π€£π€£π€£ Eti Dr Taletale, dah basi tena
Watu na Doctors zao na wengine na doctors za kusomea hahaaaa
Hii nchi raha sana!!
Ama Dr kutoka Msoga village πHuyu MTU Hana akili......wakiendelea kumpanikisha basi ujue atabutua lingine...........dokta kutoka kinondoni Biafra..............
Ni hatari sana.Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba akijibu hoja za Wabunge ndani ya Bunge amejitapa kuwa anajua anachokifanya maana PhD yake ni ya kusomea na siyo kupewa.
Namnukuu
'Hapa tunatisha tisha watu kwa ajili ya nini? Niwahakikishie, na wala hata siyo mbaya kwasababu hii siyo Honorary Doctor, nimeingia darasani. Mheshimiwa Rais Samia mbinu alizochukua, na vision aliyoweka kwenye masuala ya kiuchumi si ya kutiliwa mashaka''
----
Nadhani wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar, na wengine wote kwingineko, mmetuelewa vizuri !!
Kwa Jinsi ambavyo Wanawake wakipata Nyadhifa, Huwa hawapendi kuonekana hawafai?.
Mwigulu na Ufedha wake, Sijui Sijui, Mwanamke mwenyewe wa Zanzibar
Ila Kaka Mwigulu, Kuna kusoma halafu Kuna kukiweka kwenye vitendo kile ulichokisomea!!!
sahihiNingekuwa na uwezo, ningemshauri mh achukue likizo ya mwezi mzima, (si ana naibu wake! Anaweza kumsaidia). Ukifanya kazi mfululizo bila kupumzika nayo sio afya...
Najiuliza nani mkali kati yake na Prof Lipumba!!!!!!!Ye nae kila siku kujisifia udaktari. Utadhani ndio wa kwanza kuupata
Alafu wote ni madoktari was heshima yaani[emoji23][emoji23][emoji23] Huyu kidomo chake kitamponza.
Wacha acheze na washwahili..
Hivi mswahili Zanzibar +Msoga... Utatoboa?.
Kashapiga simu kwa kikundi Cha waganga kuweka mambo sawa. Hahaha hahaha hahahaJamaa hafiki 2024[emoji1787][emoji1787]
Dokta msukuma hahaha
Kwahiyo hapa Dr. Mwigulu Nchemba PhD anawaambia nini kina Dr. Samia, Dr. Kikwete, Dr. Hamisi Taletale na ma Dr wengine kama hao?
Wewe Dr. Mwigulu Nchemba wewe?
Ivi bado yupo. Kweli siasa zinapendeza Sana kwa wasiosoma, waongo ongo, wachawi na wapenda sifia sifia tuuuMpeni Kimei !!
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba akijibu hoja za Wabunge ndani ya Bunge amejitapa kuwa anajua anachokifanya maana PhD yake ni ya kusomea na siyo kupewa.
Namnukuu
'Hapa tunatisha tisha watu kwa ajili ya nini? Niwahakikishie, na wala hata siyo mbaya kwasababu hii siyo Honorary Doctor, nimeingia darasani. Mheshimiwa Rais Samia mbinu alizochukua, na vision aliyoweka kwenye masuala ya kiuchumi si ya kutiliwa mashaka''
----
Nadhani wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar, na wengine wote kwingineko, mmetuelewa vizuri !!
Kwa Jinsi ambavyo Wanawake wakipata Nyadhifa, Huwa hawapendi kuonekana hawafai?.
Mwigulu na Ufedha wake, Sijui Sijui, Mwanamke mwenyewe wa Zanzibar
Ila Kaka Mwigulu, Kuna kusoma halafu Kuna kukiweka kwenye vitendo kile ulichokisomea!!!
Si PhD ya kupewa? Hapa anamsema Mama au?Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba akijibu hoja za Wabunge ndani ya Bunge amejitapa kuwa anajua anachokifanya maana PhD yake ni ya kusomea na siyo kupewa.
Namnukuu
'Hapa tunatisha tisha watu kwa ajili ya nini? Niwahakikishie, na wala hata siyo mbaya kwasababu hii siyo Honorary Doctor, nimeingia darasani. Mheshimiwa Rais Samia mbinu alizochukua, na vision aliyoweka kwenye masuala ya kiuchumi si ya kutiliwa mashaka''
----
Nadhani wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar, na wengine wote kwingineko, mmetuelewa vizuri !!
Kwa Jinsi ambavyo Wanawake wakipata Nyadhifa, Huwa hawapendi kuonekana hawafai?.
Mwigulu na Ufedha wake, Sijui Sijui, Mwanamke mwenyewe wa Zanzibar
Ila Kaka Mwigulu, Kuna kusoma halafu Kuna kukiweka kwenye vitendo kile ulichokisomea!!!
πUzi Huu auone Dokta Samia !!
Mbona unampigia simu ucku Dr Samia kuuliza huu ili deni limewiva tufanyaje na kule wanatukopesha, kama unajitosheleza kwa nini umzumbue mama?Uzi Huu auone Dokta Samia !!
MtaGUzi Huu auone Dokta Samia !!
Jiwe katikati ya Giza Totoro.
Hajui mwenye Udokta wakupewa ndiye yule yul alosema...
"Ukiniparula namimi nakuparula" [emoji23]