Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Tupe uhondo..
Mkuu subira huvuta heri, ila ukisubiri kwa mtu kama Mwigulu atatumaliza.
Ni hivi hii mambo ndio ipo kwenye atua za mwisho kwenda mahakamani, wakili wangu ameshakamilisha kila kitu na nina tegemea tarehe 27/12/2013 mambo yaanze.
Nilivumilia sana ila nilipoiona post ya Mwigulu subira iliniisha na nikaamua kufunguka. Ila ningependa kufunguka zaidi kwa kuleta ushaiidi lakini mwanasheria wangu amenizuiya.
Kijana mwenzangu Mwigulu Nchemba, kesi iliyo polisi ni ya kuingilia mawasiliano ya wewe na Mh Nchimbi, [Mkuu Yericko Nyerere, mchumi nambari moja Mh Mwigulu Nchemba (MB) ameshindwa kutofautisha kati ya mashitaka ya kuingilia mawasiliano na mashitaka anayokana kuwa hajawahi kuwasiliana na Dr Nchimbi toka yeye Mwigulu azaliwe] ungeonekana unaakili timama kama ungeombq ufafanuzi toka polisi,
Kitendo cha kuja kujitetea hapa kuwa huna barua pepe ya aina hiyo na hujawahi kuwasiliana na Nchimbi ni cha kizandiki zaidi,
Ni uzandiki kwakuwa tangu Ben Saanane aombe ufafanuzi toka kwenu wawili hamkuja kujibu na mkakimbilia polisi,
Nini kinakusukuma sasa kuja kujitetea hapa?
Jamii itaujua tu ukweli wa ugaidi wako na hujuma yako kwa serikali ya Kikwete,
Sasa sisi watanzania wanyonge tunawataka muende Mahakamani ama mkichelewa sisi tufungulie kesi za mauaji ya watanzania Dr Mvungi na wengine.
weee ni kibaraka mbeba mikoba na mbrush viatu vya mabwana wa chadema
Wana JF nina hasira sana dhidi ya Mwigulu Nchemba na CCM
1:nipoteza nyumba yangu kipindi cha kampeni za kugombania Udiwani pale nilipokopa pesa ili niweze kutembea na gari aina ya Toyota Surf kipindi chote cha kampeni (siku 30) na nilipokosa udiwani nyumba iliuzwa kufidia deni na ccm ilinitelekeza
2:Nilisiriki kikao cha kuihujumu Chadema mpango ukuiwa umetoka makao makuuu ya chama ukiratibiwa na Mwigulu Nchemba na matokeo yake nikapoteza mwanangu.
Nasema hizo ni sababu tosha za mimi kupigana vita zidi ya Mwigulu na ccm yake.
Wana Jf nitakuwa nikiwapa habari kila hatua nitakayoipitia katika hii vita kwani nikienda kimya kimya watanichakachua.
....Mkuu kuna makombora yanarushwa hapa jamvini yanatuwa mfululizo hapa Lumumba!!!
...wemetaharuki ... ila kuna kombora zito linatafuta uelekeo..ndo hivyo tena JF NO place to hide!!!!
...stay tuned hapa hapa
Sibanduki..
Hivi kuna deadlines za kukanusha enh? Kama siyo akili ndogo ni kitu gani.
kuumbuka kwa mnafiki na mtengeneza sumu ben saa 8
===>M h yangu macho na kweli mungu anipe uhai na mimi ili siku hiyo nishuhudie utakachokisema.Mwigulu wewe ni mtu mwenye nyadhifa na fedha katika nchi hii na ndio hata baada ya kumpoteza mwanangu nimeshindwa kujitokeza hadharani na kwenda kukushitaki kwani ninajua nikijaribu na mimi pia nitapoteza maisha yangu. Mipango yako dhidi ya mauaji ya soweto (bomu la soweto)ninajua fika hukulifanya kibinafsi kwani ulikuwa na maslai ya chama chako na msukumo wa nguvu kutoka kwa baadhi ya watu ambao sio waaminifu serekalini.
Ila elewa nguvu uliyokuwa nayo iko siku utaikosa na upande wa pili utakuwa na nguvu na hapo ndio itakuwa muda muafaka kwangu kulipiza kisasi.
Namuomba Mungu atupe maisha marefu ili nchi hii ije kushuuudia ukilipa uliyoyafanya.
Mr Benn saanane ni nyoka wa kijani ndani ya majani ya kijani,amechoka kukaa ndani ya majani.
....Mkuu kuna makombora yanarushwa hapa jamvini yanatuwa mfululizo hapa Lumumba!!!
...wemetaharuki ... ila kuna kombora zito linatafuta uelekeo..ndo hivyo tena JF NO place to hide!!!!
...stay tuned hapa hapa
Inashangaza sana kwa nini tuhuma kama zile nzito lakini Nchimbi na Mwigulu mkakaa kimya!
MKUU WA KAYAMkuu, kuusu kuzurika ilo siliofii sana, na sina hofu juu ya hawa mafedhuli kwani nilisharipoti polisi juu ya usalama wa maisha yangu na kadi yao nilishawarudishia na wanajua mimi ni adui yao na kwaatakayetaka kunifuatilia zaidi asisumbuke kunitafuta kwani mimi ni Mgonbea udiwani mwaka 2010 Arusha kata ya Elerai kwa tiketi ya ccm nilieshindwa katika uchaguzi huo na Bayo aliekuwa mgombea udiwani kwa tiketi ya Chadema Ambae baadae chama kiliwafukuza uanachama na wakapoteza udiwani wao yeye na wenzakae watatu.
Siogopi na wakinizuru najua watakuwa wamezidi kujipalia makaa, kwani hili swala Mbunge wangu G.Lema analijua na nguvu ya uma ipo na itafanya kazi.
jebibayMkuu naanza kukuamini sasa.....chukua tu tahadhari......