LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Hata bomu la Soweto alikana wakati yeye ndie alisuka mradi wote wa mauaji...
...kombora moja tu shetani miguu chali!!!
ulikuwa wapi siku zote......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata bomu la Soweto alikana wakati yeye ndie alisuka mradi wote wa mauaji...
...kombora moja tu shetani miguu chali!!!
ulikuwa wapi siku zote......
Mwigulu wewe ni mtu mwenye nyadhifa na fedha katika nchi hii na ndio hata baada ya kumpoteza mwanangu nimeshindwa kujitokeza hadharani na kwenda kukushitaki kwani ninajua nikijaribu na mimi pia nitapoteza maisha yangu. Mipango yako dhidi ya mauaji ya soweto (bomu la soweto)ninajua fika hukulifanya kibinafsi kwani ulikuwa na maslai ya chama chako na msukumo wa nguvu kutoka kwa baadhi ya watu ambao sio waaminifu serekalini.
Ila elewa nguvu uliyokuwa nayo iko siku utaikosa na upande wa pili utakuwa na nguvu na hapo ndio itakuwa muda muafaka kwangu kulipiza kisasi.
Namuomba Mungu atupe maisha marefu ili nchi hii ije kushuuudia ukilipa uliyoyafanya.
Mme wako atakuwa hana raha sababu una wivu sana nani domokaya...........nasema hivi sababu nilishawahi kuwa na demu mwenye tabia kama hizi.Eti "email yangu inafanya academic issues tu....kuwasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine". Wewe jamaa ni limbukeni sana. Na chuo chochote kitakachokutunuku PhD lazima kifutwe maana kitakuwa hakina sifa. Kwanza ulipataje usajili wakati hauna sifa? I am certain you cannot handle doctoral studies. Na kwa kusema kuwa email iliyoko kwenye business card inafanya academic issues tu inathibitisha kuwa email uliyoitumia kuwasiliana na Nchimbi ndio inayotumika kupanga mipango miovu. Je, uliwahi kuwasiliana na Afande Msangi kwa email tangu uzaliwe au mnakutana tu mjini? Je, uliwahi kuwasiliana na Zitto kwa email tangu uzaliwe au mnakutana tu mjini? Kama ni kweli ulishiriki mauaji ya Dr. Mvungi, hakika umelaaniwa. Na kuthibitisha Ben yuko sahihi, unamalizia kwa kumtishia. It's very possible that tayari uko kwenye njama za kumdhuru Ben. Sijui ukishaua watu wote wasiokubaliana na wewe mwisho wake utapata nini. Urais wa nchi?
Mbona vidhibitisho vyenu vya kusikitisha sana? Mbona hata hamjui namna ya kuonyesha email inatoka kwa account gani? Kwa nini mnajifanya wataalamu wa kila kitu? Ben Saanane i can assure it is only ICT illiteracy person that will believe those correspondences are genuine. anyway ngoja niache wajinga wawasiliane na wajinga wenzao. Poor evidence poor poor...
nyie ni wajinga sana, rahisi sana kudanganyika hamtumii akili ya kawaida ku reason mambo ya kawaida. acheni gongo
Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
Mwigulu Nchemba,
-Nilichoulizwa Polisi mbele ya mwanasheria wangu ndicho nilichoripoti.
-Sasa kama una updates nyingine it's none of my business
-Pia kumbe kuna vijana waliojitaja kuwa wameingilia mawasiliano?Sasa kulikua na haja gani ya Jeshi la polisi kuniita kama wapo vijana wa aina hiyo ?Unasema watakua wameitwa tu kwa kutengeneza email fake za viongozi bila malalamiko?
-Pia barua pepe hizi zilisambaa kwa kasi kwenye mitandao hata kwenye Thread yako uliyoanzisha tarehe 26.11.2013 .Hukutoa ufafanuzi
-Thread ilipoanzishwa ili utoe ufafanuzi ulikaa kimya now one month.Nilikutumia SMS utoe Ufafanuzi maana watu wataamini ni ukweli.Ukakaa kimya.
-Nilishtuka sana waliponiuliza ulipata wapi password ya Nchimbi.Pia niwasaidie kumjua aliyeweka Jamiiforums na kwenye mitandao.Na pia lengo langu la kuanzisha thread (Ku-recreate kwa maneno yao)ni nini?
-Sasa polisi niliwaambia wao watafute ni nani aliingilia mawasiliano hayo ambayo tulikubaliana ni kinyume cha sheria.Pia watafute chanzo na sehemu ambazo mawasiliano hayo yalipita maana lengo la kuanzisha thread kwa kufanya Copy and Paste ya kilichokua kinazunguka ni kuhakikisha wahusika ambao majina yanayofanana na ya Nchimbi na Mwigulu walitakiwa kutoa ufafanuzi na wewe ulikua online.Thread ilianzishwa at 13:51 na kisha masaa matatu baadae nikaona kimya kimezidi nikakutumia SMS wewe na Nchimbi ambao majina yanayofanana na yenu yalihusishwa .Niliwatumia SMS masaa 3 baadae exactly.Nitaiweka hapa na hata polisi niliwaonyesha kwa kuwa bado ipo ndani ya simu yangu na nilishaichapisha
Polisi walisema pia bado watamhoji Mhe. Nchimbi.Sijui kwanini so far haujahojiwa na Polisi
"Ben,Look at you.!"-By,Mwigulu Nchemba. (Sijui unamaanisha nini)
SMS niliyotuma ni hii
" Hon'ble Nchimbi,
Mawasiliano ya Barua pepe yanayoonyesha kati ya jina la Emmanuel Nchimbi na Mwigulu Nchemba kama yanavyosambaa JamiiForums na Mitandao mingine ya kijamii yanayoainisha njama ovu dhidi ya CHADEMA ni za kweli?Muda wote wahusika mmekaa kimya bila ufafanuzi sasa nimeanzisha thread ili mtoe ufafanuzi.Vinginevyo tutaendelea kuamini ni ukweli.
Mh.Mwigulu nawe umekua kimya pamoja na kuwa member wa JF na Facebook.Ben Saanane
CC:Mwigulu '"
Ukiwa kama kijana unaejitambua na ulienda shule ni vyema kuhakikisha elimu uliyoipata inakunufaisha mwenyewe, familia yako na jamii kwa ujumla wake. Hakuna chochote katika hili kinachothibitisha uhusika wao lakini pia hatuwezi kusema moja kwa moja hawahusiki. Kinachoniuma sana ni kuandika kuwa fulani kahusika na kuuwawa kwa flani tena kwa njia za kidanganyifu kama hii ya email. Hao watu wanakutana kila mara na wajua wazi hatari ya mitandao swali kwanini wasiyazungumze haya walipokutana mpaka ati watumiane emails kupongezana? Tizama kwenye email kuna sehemu inasema tutakutana palepale pa siku ile kweli huu si utoto wawazi kabisa? Uweze kuandika jinsi ulivyoshiriki kuua na kuhujumu upinzani ushindwe kutaja wapi mtaenda kutana na mhujumu mwenzenu ambaye mmemtaja katika mawasiliano yenu? Jamani mbona twajidhalilisha kiasi na kushusha dhamani ya elimu yetu katika kiwango kikubwa hivi? Hii ni propaganda ya kitoto au iliyntengenezwa kitoto mno pamoja na kwamba siwakatilii kuwa Mvungi ameuwawa kutoka na kazi yake aliyokuwa aifanya. Hata hivyo sishangai katika siasa ya bongo inawezekana tu. Kama mtu ajitangaza yeye ni mtoto wa Nyerere na kumkana baba mzazi mhaya kweli itashindikana kutafuta mtoka kupitia wanasiasa walio na majina?
Nililiona lakini kutokana na kutokutumia akili wana cdm wakaendeleza matukano kama walivyozoea. Ngoja sheria ikamate mkondo wake.
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa
1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
MAJIBU ya BEN SAANANE
Mchawi mkubwa wewe, hebu sema wangapi umekwisha waua kabla ya mwanao.