Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Tupe uhondo..

....Mkuu kuna makombora yanarushwa hapa jamvini yanatuwa mfululizo hapa Lumumba!!!

...wemetaharuki ... ila kuna
kombora zito linatafuta uelekeo..ndo hivyo tena JF NO place to hide!!!!

...stay tuned hapa hapa
 
Mkuu subira huvuta heri, ila ukisubiri kwa mtu kama Mwigulu atatumaliza.
Ni hivi hii mambo ndio ipo kwenye atua za mwisho kwenda mahakamani, wakili wangu ameshakamilisha kila kitu na nina tegemea tarehe 27/12/2013 mambo yaanze.
Nilivumilia sana ila nilipoiona post ya Mwigulu subira iliniisha na nikaamua kufunguka. Ila ningependa kufunguka zaidi kwa kuleta ushaiidi lakini mwanasheria wangu amenizuiya.

Angalau nimeelewa,,,! kila la kheri MKUU!
 
Kijana mwenzangu Mwigulu Nchemba, kesi iliyo polisi ni ya kuingilia mawasiliano ya wewe na Mh Nchimbi, [Mkuu Yericko Nyerere, mchumi nambari moja Mh Mwigulu Nchemba (MB) ameshindwa kutofautisha kati ya mashitaka ya kuingilia mawasiliano na mashitaka anayokana kuwa hajawahi kuwasiliana na Dr Nchimbi toka yeye Mwigulu azaliwe] ungeonekana unaakili timama kama ungeombq ufafanuzi toka polisi,

Kitendo cha kuja kujitetea hapa kuwa huna barua pepe ya aina hiyo na hujawahi kuwasiliana na Nchimbi ni cha kizandiki zaidi,

Ni uzandiki kwakuwa tangu Ben Saanane aombe ufafanuzi toka kwenu wawili hamkuja kujibu na mkakimbilia polisi,

Nini kinakusukuma sasa kuja kujitetea hapa?

Jamii itaujua tu ukweli wa ugaidi wako na hujuma yako kwa serikali ya Kikwete,

Sasa sisi watanzania wanyonge tunawataka muende Mahakamani ama mkichelewa sisi tufungulie kesi za mauaji ya watanzania Dr Mvungi na wengine.

Kitendo cha Mh Mwigulu kujichanganya kwenye kujibu ama kuelezea muktadha uliopo mbele yake bila shaka inaashiria uwepo wa kitu kisicho cha kawaida kilichofanywa ama kinachofanywa na Mwigulu na Nchimbi maana haiwezekani mchumi nambari moja anayejinasibu ati anafanya masomo ya uzamivu ashindwe kutofautisha tuhuma za Ben na kauli yake inayochochea utata wa sakata hili.
 
kwa maelezo yako ni dhairi kabisa inaonyesha kuna kitu ndan yko ambacho kimeficha ukweli wa mambo! kwa siasa zako haufai kuwa kiongozi unaongozwa na miitikio ya mwili badala ya akili badilika mkubwa!
 
Wana JF nina hasira sana dhidi ya Mwigulu Nchemba na CCM
1:nipoteza nyumba yangu kipindi cha kampeni za kugombania Udiwani pale nilipokopa pesa ili niweze kutembea na gari aina ya Toyota Surf kipindi chote cha kampeni (siku 30) na nilipokosa udiwani nyumba iliuzwa kufidia deni na ccm ilinitelekeza

2:Nilisiriki kikao cha kuihujumu Chadema mpango ukuiwa umetoka makao makuuu ya chama ukiratibiwa na Mwigulu Nchemba na matokeo yake nikapoteza mwanangu.

Nasema hizo ni sababu tosha za mimi kupigana vita zidi ya Mwigulu na ccm yake.

Wana Jf nitakuwa nikiwapa habari kila hatua nitakayoipitia katika hii vita kwani nikienda kimya kimya watanichakachua.

Pole sana....Naamini utakuwa umepata fundisho..
 
Kuna ndugu anaitwa Mkuu ya Kaya ameahidi kufunguka zaidi khs NCHEMBA na mipango miovu iliyofanyika ARUSHA tunasubiri kwa HAMU hiyo maneno Ila icje2 akafungwa mdomo na maNOTI! watu wanafanyia uBAYA wenzao utadhani wataishi MILELE!
 
....Mkuu kuna makombora yanarushwa hapa jamvini yanatuwa mfululizo hapa Lumumba!!!

...wemetaharuki ... ila kuna
kombora zito linatafuta uelekeo..ndo hivyo tena JF NO place to hide!!!!

...stay tuned hapa hapa

Sibanduki..
 
Hivi kuna deadlines za kukanusha enh? Kama siyo akili ndogo ni kitu gani.

Kwani watz hawawajui wauwaji? bomu la soweto,mauaji ya mwangosi na kesi fake za ugaidi wahusika wanajulikana! Mungu ni mwema sana ipo siku mawe yote yatafunuliwa! Waweua wengi kwa tamaa zao za kuendelea kutawala,OLE WAO HAO WAUAJI,SIKU ZAJA WATAANGUKA ANGUKO KUU WASIINUKE TENA! R.I.P DR.MVUNGI,MWANGOSI NA MAKAMANDA WOTE.
 
Mwigulu wewe ni mtu mwenye nyadhifa na fedha katika nchi hii na ndio hata baada ya kumpoteza mwanangu nimeshindwa kujitokeza hadharani na kwenda kukushitaki kwani ninajua nikijaribu na mimi pia nitapoteza maisha yangu. Mipango yako dhidi ya mauaji ya soweto (bomu la soweto)ninajua fika hukulifanya kibinafsi kwani ulikuwa na maslai ya chama chako na msukumo wa nguvu kutoka kwa baadhi ya watu ambao sio waaminifu serekalini.

Ila elewa nguvu uliyokuwa nayo iko siku utaikosa na upande wa pili utakuwa na nguvu na hapo ndio itakuwa muda muafaka kwangu kulipiza kisasi.

Namuomba Mungu atupe maisha marefu ili nchi hii ije kushuuudia ukilipa uliyoyafanya.
===>M h yangu macho na kweli mungu anipe uhai na mimi ili siku hiyo nishuhudie utakachokisema.
 
Mkuu wa kaya pole sana mtz mwenzetu!,,,Lakini kwanini umpeleke mwanao mkutanoni na huku ukijua kuna bomu?
 
Inashangaza sana kwa nini tuhuma kama zile nzito lakini Nchimbi na Mwigulu mkakaa kimya!
 
....Mkuu kuna makombora yanarushwa hapa jamvini yanatuwa mfululizo hapa Lumumba!!!

...wemetaharuki ... ila kuna
kombora zito linatafuta uelekeo..ndo hivyo tena JF NO place to hide!!!!

...stay tuned hapa hapa

From MKUU WA KAYA
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kuusu kuzurika ilo siliofii sana, na sina hofu juu ya hawa mafedhuli kwani nilisharipoti polisi juu ya usalama wa maisha yangu na kadi yao nilishawarudishia na wanajua mimi ni adui yao na kwaatakayetaka kunifuatilia zaidi asisumbuke kunitafuta kwani mimi ni Mgonbea udiwani mwaka 2010 Arusha kata ya Elerai kwa tiketi ya ccm nilieshindwa katika uchaguzi huo na Bayo aliekuwa mgombea udiwani kwa tiketi ya Chadema Ambae baadae chama kiliwafukuza uanachama na wakapoteza udiwani wao yeye na wenzakae watatu.

Siogopi na wakinizuru najua watakuwa wamezidi kujipalia makaa, kwani hili swala Mbunge wangu G.Lema analijua na nguvu ya uma ipo na itafanya kazi.
MKUU WA KAYA
===>Sasa hii ID FAKE ya nini? jiachie tu,na uzuri wewe ni mwanasiasa .
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom