Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

wmejipanga ndio wakuja kukanusha

Hizo e-mails hazikuanza kusambazwa leo zina zaidi ya mwezi sasa. Kwanini imekuchukua muda woote huo kwa issue nyeti kama hii, Leo ndio unakuja na utetezi wa kijinga namna hii?
Where were you? Mmeshapanga ya kupanga huko ndio unakurupuka leo kuja kukanusha? Umenikera sanaa!
 
Guys msihangaike kujibizana na majina haya coz hizi ni fake ID za nchemba mwenyewe mshenzi ni hatari sana huyu anajidai anajua kucheza na mtandao kumbe. Hana lolote....

* mwa 4
* stroke
* mwekundu

Na hilo jina lake mwenyewe analojidai kujibu kwa uadilifu kumbe ni muuaji. Mwigulu hufai duniani wala kuzimu..
 
Kijana mwenzangu Mwigulu Nchemba, kesi iliyo polisi ni ya kuingilia mawasiliano ya wewe na Mh Nchimbi, ungeonekana unaakili timama kama ungeombq ufafanuzi toka polisi,

Kitendo cha kuja kujitetea hapa kuwa huna barua pepe ya aina hiyo na hujawahi kuwasiliana na Nchimbi ni cha kizandiki zaidi,

Ni uzandiki kwakuwa tangu Ben Saanane aombe ufafanuzi toka kwenu wawili hamkuja kujibu na mkakimbilia polisi,

Nini kinakusukuma sasa kuja kujitetea hapa?

Jamii itaujua tu ukweli wa ugaidi wako na hujuma yako kwa serikali ya Kikwete,

Sasa sisi watanzania wanyonge tunawataka muende Mahakamani ama mkichelewa sisi tufungulie kesi za mauaji ya watanzania Dr Mvungi na wengine.

weee ni kibaraka mbeba mikoba na mbrush viatu vya mabwana wa chadema
 
Kwa nini umeamua kujibu sasa hivi?maana wakubwa wanasema kama uliona haja ya kujibu basi ni boraungejibu mapema ila ukikaa sana ujue kua ulikua unajipanga jinsi gani ya kupangua hoja na Kama uliamua kuongea then ungeongea mapemna kama ulipanga ukae kimya then ungekaa kimya na si kuja kuongea leo.

Mwigulu samahani kwa hili swali ila mbona muda mwingine Bungeni ni kuonda tu upinzani badala ya kutoa hoja ya kujenga au unadhan watanzania tunafurahia mipasho???Tuko katika hali ngumu ya maisha na ndo mana tunawaomba viongoz mtuwakilishe ipasavyo na mnatuumiza kwa hoja za kimajungu zisizojenga na mkifika kwa mkubwa mnamchekea tu bila kumwambia kua waTanzania tuko katika hali mbaya mana hata mtoto mdogo sasa hivi anajua tuko katika hali mbaya kasoro nyie wakubwa.

Tanzania ni nchi na si fammilia ya CCM wala CHADEMA so usifanye maamuzi kama unavofanya katika familia yako ndo ukayaleta kuongoza Tanzania mana Misri,Tunisia,Libya watu walichoka na ndo mana nchi ikaharibika,tuipende na kuiheshimu nchi yetu na nkisema tuipende ni kukemea mambo yote maovu ya nchi hii.

ukisikia Nchemba amepewa uwaziri utajisikieje?
 
Nadhani ni vema mheshimiwa Nchemba ukatumia muda huu kuwapelekea maji wananchi wa jimbo lako, kusaidia ujenzi wa shule na zahanati kule jimboni kulikoni kuja kulumbana hapa kwa mada zisizo na miguu wala kichwa. Singida ni kati ya mikoa masikini sana ya nchi hii, better use this opportunity to give your voters their long awaited social amenities!
 
Guys msihangaike kujibizana na majina haya coz hizi ni fake ID za nchemba mwenyewe mshenzi ni hatari sana huyu anajidai anajua kucheza na mtandao kumbe. Hana lolote....

* mwa 4
* stroke
* mwekundu

Na hilo jina lake mwenyewe analojidai kujibu kwa uadilifu kumbe ni muuaji. Mwigulu hufai duniani wala kuzimu..

madhara ya gongo haya. leo umepiga chupa ngapi
 
Hapa kiongozi wangu wa chama umetafsiri ki swahili, Ben jiangalie

Naona wewe ndiyo Kiengereza kinakugonga. Kaangalie hiyo phrase "look at you" ina maana gani hapa http://www.urbandictionary.com/define.php?term=look at you!!!!!. Hiyo phrase imeelezewa kama:

"What you say in response to someone's boasting. A condescending, sarcastic way of subtly letting them know you don't give a f**k. Tends not to work on the subtlety-impaired, though."

Sasa kaka/dada kabla hujajifanya unakimanya sana Kilugha cha wakoloni bora ufanye research kidogo.
 
@Mwigulu,kwa mujibu wa Ben ,kaitwa polisi kwa kosa la kuingilia mawasiliano na mara nyingi polisi wetu wametamka kuwa hawawezi kuanzisha kesi kama hakuna mshitaki (ref Kapuya),kwa hiyo tunaamini kuna mtu/watu wameshitaki kuingiliwa mawasiliano yao na wewe unageuza ili ionekane polisi wanatafuta kwanini wamefungua e mail kwa majina ya watu,kwanini iwe kwenu ndo wafanye hivyo wakti kuna watanzania wengi hasa celebrity wamefunguliwa hata account za Facebook za majina yao halali na polisi hawajawafuata watumioaji halisi,kwanini kwako na Nchimbi? .Kwanini uje kujitetea baada ya Nchimbi kutupwa nje kwanini hukufanya kabla?

ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
 
...

...kombora moja tu shetani miguu chali!!!

ulikuwa wapi siku zote......

...daaahhh mkuu yaaani nina maneno elfu ya kumjibu huyu jamaa ila nashindwa nianzeje kwa hasira, anyway comment yako ime summarise kauli yangu...
 
Mwigulu Nchemba unajua kuchemka, sasa siku zote ulikuwa wapi tulikuita sana uje kujibu hii taarifa ukakaa kimya, au uliona ina serve purpose by then ya kuigawa chadema mkakaa kimyaa.. Sasa silence sometimes means Yes!
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini ulikimbilia polisi kwa shtaka la kuhackiwa email yako?
 
Mwingulu alijiaminisha sana kwamba ana nguvu akiwa na Nchimbi. Sasa Nchimbi kafukuzwa. Jua mahacker wako wengi. Yawezekana kuhack Marais sembuse ww unayetumia yahoo.? Nikikunbuka Soweto .I hate you to the extreme.
 
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?

Punguza mapovu we Jangili, Mbeya uliweka makambi ya kigaidi kwa lengo la kuwadhuru CDM, Igunga ulifumaniwa na mke wa mtu kasha ukaendesha mauaji ya kikatili wewe na Ashely, Usa river ulifanya mauaji, Arusha uliandaa mauaji, Ulifadhili matengenezo ya movie ile ya kichina kwa Lwakatare huku ukiratibu mateso ya mwandishi wa habari... Ikiwa kila ulifanyalo linalengo la kuwadhuru binadamu wenzio kwa malengo ya kuidhoofisha CDM jamii ikuelewe vipi? Ikiwa mawasiliano yako wewe na ZOKA, ZITTO, MSANGI yanaashiria maovu unataka sis jamii tukuchukulie vipi? kwani email yako iliyoko kwenye b.card inakunyima kuwa na emails nyingine? Mbona hapa JF una ID kibao?...WEwe si msafi hata kidogo, damu za watu zitakurudi tu! BTW mchumia tumbo first class "tuambie madhara ya kupandisha bei ya umeme kwa uchumi wa nchi? Ni sahihi kwa CCM kupandisha bei ya umeme ili muweze kuwalipa Agreco, IPTL, SONGAS na SYMBION million 700 kila siku?...
 
  • Thanks
Reactions: Pai
...daaahhh mkuu yaaani nina maneno elfu ya kumjibu huyu jamaa ila nashindwa nianzeje kwa hasira, anyway comment yako ime summarise kauli yangu...

....Mkuu huyu shetani hawezi kutuchezea Watanzania wote!!!
 
ukisikia Nchemba amepewa uwaziri utajisikieje?

...kwanza aliyempa na aliyepewa woote manzi ganyanza,na hatutashangaa maana wakina mwigulu wapo weengi hata sasa...
 
Huyu Ben saanane anatumika vibaya sana na mbowe pamoja na slaa,hata kama tunaichukia ccm we have to look on positive things sio siasa za majitaka na uharo
Siasa za chuki na damu I hate them
Mkuu bado haijadhibitika kama ni uongo au ukweli, mbona una haraka hivyo? Subiri huyo shoga yako Mwigulu ajisafishe, manake sijaona kitu cha kunifanya nisiamini kuwa email ni zake
 
Ben Saanane hakusema amenasa mawasiliano yao. Yeye aliwaomba watoe ufafanuzi !

Wakati Ben Saanane anaandika ile post hayo mawasilianao yalishakuwa kwenye mtandao kwa muda mrefu tu.....

Asante kwa taarifa mkuu!

Kama ni hivyo kuwa mawasiliano haya yalikuwa kwenye net muda mrefu kwa nn ndiyo leo Mwigulu anajisafisha?Je kama Saanane alitoa angalizo tu kwa mambo yaliyopo online tayari tena muda mrefu kwa nn anahojiwa?

Kuna kitu kinafichwa hapa!
 
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?

Mheshimiwa Mwigulu, tangu siku ile uliposema unao ushahidi wa 'ugaidi' wa Chadema na ambao hujautoa hadi leo, na ile kesi yenyewe kutupwa, SIKUAMINI TENA!
 
Back
Top Bottom