Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Shetani analia amekalia misumariii, zunguka zunguka, zunguka, zungukaaaaaa eeeeehh... Mtanisamehe nimeanza Mkesha wa Christmas tangu juzi..
 
Ukweli wa Kitu siku zote haufutwI kwa VITISHO unapotoa vitisho ni sawa na kuendelea kujipaka MAVI
 
Muda wote ulikuwa wapi na unapata wapi guts za kueleza huo utumbo wako hapo juu?ni mwezi sasa umepita tangu zile email ziwe public but kwa kiburi cha cheo cha Nchimbi ukakausha kimya kama kipofu na kiziwi,leo hii umeona kinga yako Nchimbi imetoswa ndio ukaona uje hapa kulialia kama Mjane. Mwigulu kijana mwenzangu nakusikitikia sana Maisha yako yataishia katika mwisho upi,mikono yako imejaa damu za Innocent people. Hivi kwa akili yako unadhani unaweza kuishi Milele kwa raha mustarehe huku ukichukua Roho za watu wengi bila ya hatia yeyote?haujui kwamba unaiachia familia yako laana na mikosi isiyowahusu?Dr Mvungi kipi hasa alichowafanyia mpaka mkaamua kukatisha Uhai wake pasipo sababu yeyote ya Muhimu,kama ni swala la Katiba si nyie wenyewe ndio mlikubali Mchakato wa Katiba Mpya? Damu ya Dr Mvungi haitaacha kukuandama popote pale ulipo wewe na Nchimbi.R.I.P Dr Mvungi.
 
wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
. Ben, look at you?

1)inakuwaga email yako ukiwa unatekeleza ugaidi wako tu cku nyingine sio yako
2)ben saa8 angalia sana huyu pimbi anawinda roho yako
 
Ben sio mara yangu ya kwanza kufafanua hili. Siku nilipoiona tu niliandika humu na fb kuwa hiyo sio e mail yangu na wala sijawahi kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa e mail. Hapa nimeongelea ya kuwa umeitwa polisi of which nisingeongea kabla hujaitwa. Hizo siasa za kiwango cha chini mno.

Ulijibu kwenye thread ipi hapa JF?

Pia nilipoanzisha Thread hukutoa majibu kwenye ike thread au kuanzisha nyingine kama hii kutoa ufafanuzi

Wewe kila kitu unafikiria kisiasa siasa tu hata kwenye jambo linalohusisha maisha na damu ya watu kaka.Kama hizo fikra zinakupeleka huko ni bora uache siasa

-Kwanza tangu jana nilipoulizwa kuhusu maswala ya password na hacking nimekua nikifikiria sana maana hata wewe ulishawahi kuniuliza kwa kuniandikia Inbox kama ni mimi niliye-hack account yako.Nilikujibu na kutoa ufafanuzi haraka.

Message yako ipo.Nilipoulizwa swala la hacking nikajua ndio mentality ile ile


Tuwasaidie Polisi katika upelelezi wa hili tuache siasa chafu.Tuwe wakweli na tuache kuingiza siasa kwa jambo linalohusisha maisha ya watu kwanza maana hata hilo la kuwaweka lockup vijana wa CHADEMA halijaanza leo na hili lilizidi kutusukuma wengi wetu kutaka ufafanuzi.

Narudia SMS hii nilikutumia hapa chini kuhusu thread:

"Hon'ble Nchimbi,

Mawasiliano ya Barua pepe yanayoonyesha kati ya jina la Emmanuel Nchimbi na Mwigulu Nchemba kama yanavyosambaa JamiiForums na Mitandao mingine ya kijamii yanayoainisha njama ovu dhidi ya CHADEMA ni za kweli?Muda wote wahusika mmekaa kimya bila ufafanuzi sasa nimeanzisha thread ili mtoe ufafanuzi.Vinginevyo tutaendelea kuamini ni ukweli.

Mh.Mwigulu nawe umekua kimya pamoja na kuwa member wa JF na Facebook.Ben Saanane

CC:Mwigulu "

-Hatuwezi kuona vitu kama hivi vinazunguka na vyombo vya dola vikihusishwa bila majibu ya kutosha kutoka kwa wahusika halafu tukakaa kimya.Amani ya nchi inawekwa rehani

Ndio maana Polisi waliponiuliza jana kwamba huoni kuanzisha thread ike unaweza kufunguliwa kesi ya uchochezi?Niliwajibu kuwa nilichofanya ni kuzuia uchochezi maana majina ya watu waliohusishwa wangetoa ufafanuzi kama.nilivyoomba ili kuweka kumbukumbu sawa ingekua njia salama zaidi ya kuzuia uchochezi kwa nguvu na gharama ndogo zaidi.Walipooendelea kukaa kimya na kuja kutaka uchunguzi juu ya aliyevujisha au mtu aliyeweka kwenye mitandao mawasiliano hayo ni Uchochezi maana maudhui ya mawasiliano hayo yataendelea kusambaa na kuaminika zaidi maana kwa mfano hadi sasa ni mwezi mmoja umepita.
 
Moderator wekeni majibu ya Ben kwenye huo uzi wa Mwigulu ili tupate mtiririko mzuri...

Kemekuchaaaa...
 
Last edited by a moderator:
Mh. Mwigulu Nchemba
Ben Saanane achana naye tuachie sisi anachotafuta ni umaarufu ili ajipenyeze Bavicha; huna sababu hata moja kujibishana na mzuzuraji ambaye hana tija yoyote katika jamii; siku zote anatafuta watu wenye majina ili ajijenge Bavicha; anajua fika kiatu hicho saizi yake ikiwa kimeshinda mabwana zake wanamtumia atakiweza yeye? huyo ni mganga njaa tu hana hata kimoja cha kukubaisha unajua hawa kauzu wa Bavicha wanachotafuta ni jela ili wajipe sifa ya uhanga hiyo ndiyo njia pekee wanayoijua; kama unavyojua tangu alipokosa ajira mambo ya nje amegeuka mchungu sana na serikali ya CCM; yaani tumlipie shule kazi tusimpe? Anashindwa kuelewa tabia zake alizofanya India ndio zilizomnyima kazi; wizara inataka watu wenye maadili ambao wakipelekwa nje wanatoa sifa bora kwa bora kwa taifa. Hata hapo Bavicha hawamtaki kwa tabia zake za kinafiki ni nani anaweza kukaa karibu na nyoka wa aina yake? Mh. achana na hwa kauzu wa Bavicha wanaotafuta umaarufu kwa nguvu; mtu mwenyewe hana maana hata moja wa nini kujibizana naye?
 
chadema wao wangetengeneza gongo tu kwa sasa yawezekana ikawalipa vizuri siasa imewashinda kabisa.

Moto unawaka huko kwa Mwigulu...We endelea na habari zako za gongo balala ya kumuokoa huyo haini..
 
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
Ben Saanane
Kwa vile suala hilo limeshafikishwa kwenye chombo cha usalama wa raia nchini nawe umeitwa kujieleza, kauli ya Mwigulu Nchemba hapo juu kwenye highlight italic letters rangi nyekundu una haki ya kumfikisha polisi Mwigulu kukutishia usalama wako.
 
Mkuu BENSaanane hii sentensi ya mwisho ya Mwigulu "Ben look at you" ni hatari sana..

Naomba uwahi kituo cha Polisi haraka sana tunaweza tukakukosa kamanda...
 
Last edited by a moderator:
Nimeona bora niweke wazi baazi ya mipango iliyofanyika katika chuo cha Help to Self Help Project Arusha iliyosimamiwa kwa karibu kabisa na Nd. Mwigulu Nchemba. TAREHE 13/05/2013

mpango no.1
ni kuakikisha tunazuiya wanachama NA WAPENZI WA CHADEMA kutokuuzuria Mikutano ya kampeni inayofanywa na lema.
Mpango mwingine ilikuwa ni kuwaimiza ndugu na rafiki wa karibu wasiudhurie mkutato wa kuitimisha kampeni za Chadema . Na tulijariribu kuoji kwanini na yeye akasema neno moja tu "Hatari kubwa itatokea"

Tulikuwa wajumbe zaidi ya 27. Ila sipendi kuweka list ya majina yao lakini kama Mwigulu atabisha basi Nitaorodhesha baazi ya wajumbe ninaowakumbuka kwa majina na no. yangu ya sim nitatoa pia ili kuzibitisha ninachokiandika ni ukweli mtupu.
 
Mh. Mwigulu Nchemba
Ben Saanane achana naye tuachie sisi anachotafuta ni umaarufu ili ajipenyeze Bavicha; huna sababu hata moja kujibishana na mzuzuraji ambaye hana tija yoyote katika jamii; siku zote anatafuta watu wenye majina ili ajijenge Bavicha; anajua fika kiatu hicho saizi yake ikiwa kimeshinda mabwana zake wanamtumia atakiweza yeye? huyo ni mganga njaa tu hana hata kimoja cha kukubaisha unajua hawa kauzu wa Bavicha wanachotafuta ni jela ili wajipe sifa ya uhanga hiyo ndiyo njia pekee wanayoijua; kama unavyojua tangu alipokosa ajira mambo ya nje amegeuka mchungu sana na serikali ya CCM; yaani tumlipie shule kazi tusimpe? Anashindwa kuelewa tabia zake alizofanya India ndio zilizomnyima kazi; wizara inataka watu wenye maadili ambao wakipelekwa nje wanatoa sifa bora kwa bora kwa taifa. Hata hapo Bavicha hawamtaki kwa tabia zake za kinafiki ni nani anaweza kukaa karibu na nyoka wa aina yake? Mh. achana na hwa kauzu wa Bavicha wanaotafuta umaarufu kwa nguvu; mtu mwenyewe hana maana hata moja wa nini kujibizana naye?

wewe usiye mzululaji una fanya kazi gani tujuze mkuu
 
kati ya watu ambao sipendi hata kuwasikia ni huyu mwigulu,sijui ilikuwaje wananchi wakamchagua.
 
Back
Top Bottom