Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?

Kaka hili chaka nenda kajipange upya.
 
Ben sio mara yangu ya kwanza kufafanua hili. Siku nilipoiona tu niliandika humu na fb kuwa hiyo sio e mail yangu na wala sijawahi kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa e mail. Hapa nimeongelea ya kuwa umeitwa polisi of which nisingeongea kabla hujaitwa. Hizo siasa za kiwango cha chini mno.
Kama e mail siyo yako kwa nini mmeenda polisi kushitaki e mail zenu zimekuwa hacked?
 
Mh. Mwigulu Nchemba
Ben Saanane achana naye tuachie sisi anachotafuta ni umaarufu ili ajipenyeze Bavicha; huna sababu hata moja kujibishana na mzuzuraji ambaye hana tija yoyote katika jamii; siku zote anatafuta watu wenye majina ili ajijenge Bavicha; anajua fika kiatu hicho saizi yake ikiwa kimeshinda mabwana zake wanamtumia atakiweza yeye? huyo ni mganga njaa tu hana hata kimoja cha kukubaisha unajua hawa kauzu wa Bavicha wanachotafuta ni jela ili wajipe sifa ya uhanga hiyo ndiyo njia pekee wanayoijua; kama unavyojua tangu alipokosa ajira mambo ya nje amegeuka mchungu sana na serikali ya CCM; yaani tumlipie shule kazi tusimpe? Anashindwa kuelewa tabia zake alizofanya India ndio zilizomnyima kazi; wizara inataka watu wenye maadili ambao wakipelekwa nje wanatoa sifa bora kwa bora kwa taifa. Hata hapo Bavicha hawamtaki kwa tabia zake za kinafiki ni nani anaweza kukaa karibu na nyoka wa aina yake? Mh. achana na hwa kauzu wa Bavicha wanaotafuta umaarufu kwa nguvu; mtu mwenyewe hana maana hata moja wa nini kujibizana naye?

Historia yake inaonyesha hivyo ni mpuuzi kweli.
 
Mkuu Ben, Hakuna marefu yasiokuwa na ncha.
Ngoja tusubiri uteuzi wa mkuuu wa nchi katika wizara ya mambo ya ndani itakuwaje. Na kama atatuwekea mtu sahiii basi tutatoa ushirikiano wa kutosha ili kufanikisha kukamatwa kwa watu walio husika katika mauuaji ya mabomu na utekaji ambayo mpaka sasa hatujapewa jawabu.

Nina uchungu sana kwani nimepoteza mtoto wangu katika bomu la soweto na mpaka sasa nina ushaidi usiopungua 80% Mwigulu kuhusika na kifo cha mwanangu.
Pole sana mkuu, it is a shame mambo haya yanafanyika kwenye nchi ambayo baba wa taifa ni Julius K Nyerere, na amani ndiyo ilikuwa sifa yetu kubwa
 
Mkuu Ben, Hakuna marefu yasiokuwa na ncha.
Ngoja tusubiri uteuzi wa mkuuu wa nchi katika wizara ya mambo ya ndani itakuwaje. Na kama atatuwekea mtu sahiii basi tutatoa ushirikiano wa kutosha ili kufanikisha kukamatwa kwa watu walio husika katika mauuaji ya mabomu na utekaji ambayo mpaka sasa hatujapewa jawabu.

Nina uchungu sana kwani nimepoteza mtoto wangu katika bomu la soweto na mpaka sasa nina ushaidi usiopungua 80% Mwigulu kuhusika na kifo cha mwanangu.

...

....Mkuu umenikumbusha tukio roho yangu inauma sana!!!
 
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?

hahahaha. Mwigulu bana. eti Ben look at u! umenikumbusha kipindi kile uliposema una ushahid ya Lwakatare na upo tayar kuutoa hata mbingun. kwel CCM ya leo ina viongoz bogaz. hiv kwel Ccm imekosa watu kabisa wa kuongoza.
 
kuna watu ni mahiri kwa utunzi wa hadithi kama hawa makamanda wa chadema, haiingii akilini mtu unayeonana nae kila mara bado umwamndikie email, ambapo mnaweza onana mda wowote na kujadili,

Utetezi wa namna hii humtia zaidi matatani mtuhumiwa kuliko kumsaidia. aliyekwambia kuwa watu wanonana mara kwa mara hawaandikiani email ni nani? au ni uelewa wako mfinyu? kwa taarifa yako watu wa ofisi moja huwasiliana zaidi kwa email kuliko hata kutazamana usoni. Mfano ni mimi mwenyewe, kuna boss wangu ambaye tumekuwa tukiwasiliana kwa email zaidi ya kuonana uso kwa uso japo tupo ofisi moja. Jitambue kijana acha kutetea uovu tena kwa hoja zinazokudhalilisha.
 
Nililiona lakini kutokana na kutokutumia akili wana cdm wakaendeleza matukano kama walivyozoea. Ngoja sheria ikamate mkondo wake.
 
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
Na kuwa upo tayari kutoa ushahidi duniani na mbinguni kwamba hao vijana ni hackers wazoefu.
 
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?

Nimesoma kwa makini sana ulichoandika nimeona unajichanganya mwenyewe mfano umesema watakuwa wameitwa kwa kutengeneza email ya majina ya viongozi inathibitisha wazi unajua ulichokifanya pia ukasema,wameitwa kwa kuandaa email feki na mawasiliano feki hii nayo inathibitisha wazi kuwa unajua unachokikataa. Tumeshazoea hujuma zako na kwakuwa MUNGU YUPO hukumu yako ipo japo sio leo.ulaaniwe mwigulu kwa kuniulia ndugu yangu ili wewe upate umaarufu wa kijinga
 
Mwigulu mbona unakosa utu! Hivi wewe unadamu kweli kaka? Nakuomba uwe na utu hata kidogo, JIFUNZE Kwa nchimbi yalivyo mkuta . Malipo ni hapa hapa duniani
 
Ni vigumu sana kumtenganisha Mwigulu na umaaluni wa kisiasa unaoendelea, either ana bahati mbaya, au amekaanga mbuyu sasa inabidi atafune tu

sad almost all young politicians wanaishia palepale, egoism, myopia, stupidity, carelessness and thinking they are all that!!

acheni siasa mje kitaa tupige kazi, mnaharibu sana vijana
 
Hadi machozi yananitoka!! Hivi majuzi nilifiwa na ndugu yangu alijaliwa mali kidogo, kipindi anaumwa alikuwa anafikiria sana watoto wake na mali zake ila siku zilipoisha alibakiwa kufikiria zaidi simu yake ili aweza kuwasiliana na wapendwa wake!! Ila siku ya siku aliiaga dunia na hakuna hata kimoja alichokwenda nacho!! Ndugu mwigulu fikiri na chukua tahadhari kwa mungu hakuna kuchelewa!! Unayaoyatafuta hapa duniani ni ya kupita tuu!! Hutafanikiwa kwenda nayo!!
 
Nililiona lakini kutokana na kutokutumia akili wana cdm wakaendeleza matukano kama walivyozoea. Ngoja sheria ikamate mkondo wake.

....sura mbaya ...roho mbaya ...wanaume tuna kazi kweli kweli..!!!!!
 
Mkuu Ben, Hakuna marefu yasiokuwa na ncha.
Ngoja tusubiri uteuzi wa mkuuu wa nchi katika wizara ya mambo ya ndani itakuwaje. Na kama atatuwekea mtu sahiii basi tutatoa ushirikiano wa kutosha ili kufanikisha kukamatwa kwa watu walio husika katika mauuaji ya mabomu na utekaji ambayo mpaka sasa hatujapewa jawabu.

Nina uchungu sana kwani nimepoteza mtoto wangu katika bomu la soweto na mpaka sasa nina ushaidi usiopungua 80% Mwigulu kuhusika na kifo cha mwanangu.

MKUU POLE SANA KWA KADHIA HIYO YA KUPOTEZA MWANAO.

kweli Mwigulu Nchemba ni mbaya sana yani kauwa watu soweto na sasa kamuuwa Dr.Mvungi.

Mwigulu Nchemba mrudie muumba walo Mkuu kwani neema ya wokovu bado ipo wazi.
 
Last edited by a moderator:
Hadi machozi yananitoka!! Hivi majuzi nilifiwa na ndugu yangu alijaliwa mali kidogo, kipindi anaumwa alikuwa anafikiria sana watoto wake na mali zake ila siku zilipoisha alibakiwa kufikiria zaidi simu yake ili aweza kuwasiliana na wapendwa wake!! Ila siku ya siku aliiaga dunia na hakuna hata kimoja alichokwenda nacho!! Ndugu mwigulu fikiri na chukua tahadhari kwa mungu hakuna kuchelewa!! Unayaoyatafuta hapa duniani ni ya kupita tuu!! Hutafanikiwa kwenda nayo!!

....Mkuu kunawatu wanatoka ukoo wa shetani....huyu habadiriki...
 
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?


MUOSHA HUOSHWA, MALIPO YA UBAYA NI HAPA HAPA DUNIANI, HAIJARISHI NI UZUSHI AU HAKIKA, kwa propaganda za kisiasa watu wameumia, familia zimeumia, Wewe Mwigulu uliwaaminisha watazania kuwa ulikuwa na ushahidi dhidi ya Watanzania wenzake kufanya vitendo viovu, ulifanya uzushi huu kwa manufaa ya nani? Njaa na uroho wa madaraka zinasababisha watanzania wenzenu kuwekwa sero na jela kwa sababu za uzushi. Hakika MUNGU hatakusamehe km utaendelea na siasa chafu, Tunapenda Vyama vyenu vishindane kwa hoja siyo tuhuma za ugaidi km ulivyotaka ashitakiwe Mtanzania mwenzako. Kwa kuwa huyo mwenzako ni waziri wa mambo ya ndani basi mnatoa amri mnavyo ona inawafaa nani aingie jela kwa wakati gani na kwa muda gani. Mnapanga chombo gani cha habari kifungiwe na kipi kisifungiwe. then mtango uongo eti gazeti liliandika habari za uchochezi kuhusu jeshi la polisi kuasi. Siasa chafu mziache. Nchimbi na Mwigulu bado vijana taifa na watanzania tunawahitaji. shame of you.
 
iLA PIA SIAMINI NI WEWE MWIGULU UMEKUJA PUBLIC!! LABDA HII ID IMEKUWA HACKED PIA!!
 
Back
Top Bottom