Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben sio mara yangu ya kwanza kufafanua hili. Siku nilipoiona tu niliandika humu na fb kuwa hiyo sio e mail yangu na wala sijawahi kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa e mail. Hapa nimeongelea ya kuwa umeitwa polisi of which nisingeongea kabla hujaitwa. Hizo siasa za kiwango cha chini mno.
Mh. Mwigulu Nchemba
Ben Saanane achana naye tuachie sisi anachotafuta ni umaarufu ili ajipenyeze Bavicha; huna sababu hata moja kujibishana na mzuzuraji ambaye hana tija yoyote katika jamii; siku zote anatafuta watu wenye majina ili ajijenge Bavicha; anajua fika kiatu hicho saizi yake ikiwa kimeshinda mabwana zake wanamtumia atakiweza yeye? huyo ni mganga njaa tu hana hata kimoja cha kukubaisha unajua hawa kauzu wa Bavicha wanachotafuta ni jela ili wajipe sifa ya uhanga hiyo ndiyo njia pekee wanayoijua; kama unavyojua tangu alipokosa ajira mambo ya nje amegeuka mchungu sana na serikali ya CCM; yaani tumlipie shule kazi tusimpe? Anashindwa kuelewa tabia zake alizofanya India ndio zilizomnyima kazi; wizara inataka watu wenye maadili ambao wakipelekwa nje wanatoa sifa bora kwa bora kwa taifa. Hata hapo Bavicha hawamtaki kwa tabia zake za kinafiki ni nani anaweza kukaa karibu na nyoka wa aina yake? Mh. achana na hwa kauzu wa Bavicha wanaotafuta umaarufu kwa nguvu; mtu mwenyewe hana maana hata moja wa nini kujibizana naye?
ukisikia Nchemba amepewa uwaziri utajisikieje?
Nimeona bora niweke wazi baazi ya mipango iliyofanyika katika chuo cha Help to Self Help Project Arusha iliyosimamiwa kwa karibu kabisa na Nd. Mwigulu Nchemba. TAREHE 13/05/2013
mpango no.1
ni kuakikisha tunazuiya wanachama NA WAPENZI WA CHADEMA kutokuuzuria Mikutano ya kampeni inayofanywa na lema.
Mpango mwingine ilikuwa ni kuwaimiza ndugu na rafiki wa karibu wasiudhurie mkutato wa kuitimisha kampeni za Chadema . Na tulijariribu kuoji kwanini na yeye akasema neno moja tu "Hatari kubwa itatokea"
Tulikuwa wajumbe zaidi ya 27. Ila sipendi kuweka list ya majina yao lakini kama Mwigulu atabisha basi Nitaorodhesha baazi ya wajumbe ninaowakumbuka kwa majina na no. yangu ya sim nitatoa pia ili kuzibitisha ninachokiandika ni ukweli mtupu.
Guys msihangaike kujibizana na majina haya coz hizi ni fake ID za nchemba mwenyewe mshenzi ni hatari sana huyu anajidai anajua kucheza na mtandao kumbe. Hana lolote....
* mwa 4
* stroke
* mwekundu
Na hilo jina lake mwenyewe analojidai kujibu kwa uadilifu kumbe ni muuaji. Mwigulu hufai duniani wala kuzimu..
Kifo hicho cha Mvungi mimi nilikuwa bado kwenye dimbwi la mawazo bila kupata mwangaza, sasa kumbe nuru imeshaanza kupenyeza na pia nilikuwa sijavipatia vizuri vipengere kadhaa katika ile hacked email, sasa naona kunapambazuka na mwanga kwa mbali unajitokeza alfajiri mapema kabla ya jua kuchomoza.
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa 1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe. 2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari 3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu. 4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini. Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taif.we kwa jinsi ulivyo na roho ya kishetani hata ungejitetea vipi mbele ya uma hakuna wa kukuamini.we mchawi tu
weee ni kibaraka mbeba mikoba na mbrush viatu vya mabwana wa chadema
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa
1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
Ulijibu kwenye thread ipi hapa JF?
Pia nilipoanzisha Thread hukutoa majibu kwenye ike thread au kuanzisha nyingine kama hii kutoa ufafanuzi
Wewe kila kitu unafikiria kisiasa siasa tu hata kwenye jambo linalohusisha maisha na damu ya watu kaka.Kama hizo fikra zinakupeleka huko ni bora uache siasa
-Kwanza tangu jana nilipoulizwa kuhusu maswala ya password na hacking nimekua nikifikiria sana maana hata wewe ulishawahi kuniuliza kwa kuniandikia Inbox kama ni mimi niliye-hack account yako.Nilikujibu na kutoa ufafanuzi haraka.
Message yako ipo.Nilipoulizwa swala la hacking nikajua ndio mentality ile ile
Tuwasaidie Polisi katika upelelezi wa hili tuache siasa chafu.Tuwe wakweli na tuache kuingiza siasa kwa jambo linalohusisha maisha ya watu kwanza maana hata hilo la kuwaweka lockup vijana wa CHADEMA halijaanza leo na hili lilizidi kutusukuma wengi wetu kutaka ufafanuzi.
Narudia SMS hii nilikutumia hapa chini kuhusu thread:
"Hon'ble Nchimbi,
Mawasiliano ya Barua pepe yanayoonyesha kati ya jina la Emmanuel Nchimbi na Mwigulu Nchemba kama yanavyosambaa JamiiForums na Mitandao mingine ya kijamii yanayoainisha njama ovu dhidi ya CHADEMA ni za kweli?Muda wote wahusika mmekaa kimya bila ufafanuzi sasa nimeanzisha thread ili mtoe ufafanuzi.Vinginevyo tutaendelea kuamini ni ukweli.
Mh.Mwigulu nawe umekua kimya pamoja na kuwa member wa JF na Facebook.Ben Saanane
CC:Mwigulu "
-Hatuwezi kuona vitu kama hivi vinazunguka na vyombo vya dola vikihusishwa bila majibu ya kutosha kutoka kwa wahusika halafu tukakaa kimya.Amani ya nchi inawekwa rehani
Ndio maana Polisi waliponiuliza jana kwamba huoni kuanzisha thread ike unaweza kufunguliwa kesi ya uchochezi?Niliwajibu kuwa nilichofanya ni kuzuia uchochezi maana majina ya watu waliohusishwa wangetoa ufafanuzi kama.nilivyoomba ili kuweka kumbukumbu sawa ingekua njia salama zaidi ya kuzuia uchochezi kwa nguvu na gharama ndogo zaidi.Walipooendelea kukaa kimya na kuja kutaka uchunguzi juu ya aliyevujisha au mtu aliyeweka kwenye mitandao mawasiliano hayo ni Uchochezi maana maudhui ya mawasiliano hayo yataendelea kusambaa na kuaminika zaidi maana kwa mfano hadi sasa ni mwezi mmoja umepita.
chadema wamebakiza vurugu tu wamempalamia zitto kawashinda sasa wanaanza kutunga mambo ya uongo ili kuficha makovu yao.
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa
1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
Kheeh! Leo nimegeuka kuwa mchungu kwa Serikali na CCM kwa kuwa walinisomesha nje wakaninyima nafasi ya ajira Mambo ya nje?
Sio lazima niajiriwe serikalini?Kuitumikia nchi sio lazima niajiriwe mambo ya nje.By the way,Serikali iliyonisomesha huko ilitumia kodi ya watanzania na sio kodi ya pango ya CCM iliyohodhi mali za umma.Naomba tuheshimiane na iwe mwisho kutoa kauli za kipuuzi kama hizi
Na kama mnadhani mnakomoa vijana kwa njia hii basi subirini mwisho wenu na chama chenu katika ramani ya siasa.Kitu ambacho hamtaweza kutunyang'anya ni elimu.Hamuwezi kuhujumu taaluma ambayo ipo kichwani.Mnashangaza!
mkuu kwa wanasiasa kila kitu kinawezekana,japo kiuhalisia inachekesha