Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,508
Punguza mapovu naona dawa inawaingia vizuri,weee ni kibaraka mbeba mikoba na mbrush viatu vya mabwana wa chadema
Chadema si NCCR ya Mrema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza mapovu naona dawa inawaingia vizuri,weee ni kibaraka mbeba mikoba na mbrush viatu vya mabwana wa chadema
Pole sana mkuu...Mkuu Ben, Hakuna marefu yasiokuwa na ncha.
Ngoja tusubiri uteuzi wa mkuuu wa nchi katika wizara ya mambo ya ndani itakuwaje. Na kama atatuwekea mtu sahiii basi tutatoa ushirikiano wa kutosha ili kufanikisha kukamatwa kwa watu walio husika katika mauuaji ya mabomu na utekaji ambayo mpaka sasa hatujapewa jawabu.
Nina uchungu sana kwani nimepoteza mtoto wangu katika bomu la soweto na mpaka sasa nina ushaidi usiopungua 80% Mwigulu kuhusika na kifo cha mwanangu.
Ni vigumu sana kumtenganisha Mwigulu na umaaluni wa kisiasa unaoendelea, either ana bahati mbaya, au amekaanga mbuyu sasa inabidi atafune tu
sad almost all young politicians wanaishia palepale, egoism, myopia, stupidity, carelessness and thinking they are all that!!
acheni siasa mje kitaa tupige kazi, mnaharibu sana vijana
....Mkuu Usiogope Mungu yupo pamoja nawe... yaweke kwa maanufa ya vizazi vyetu vijavyo!!!
.....Leo hachomoki mtu hapa...tumechoka!!!!
Nililiona lakini kutokana na kutokutumia akili wana cdm wakaendeleza matukano kama walivyozoea. Ngoja sheria ikamate mkondo wake.
Mkuu roho inaniuma sana kwani nilishiriki kikao cha kukiujumu chadema nikijua namteketeza Lema na wana Chadema, ila cha ajabu nimempoteza mtoto wangu mpendwa.
Nilifanya kosa ila naapa kutorudia kosa, najua huko roho ya mwanangu ilipo inashuudia jinsi gani baba yake alivyoshirikiana na adui katika kukatisha maisha yake akiwa na umri mdogo kiasi kile. Naomba unisameee mwanangu baba yako nilifanya yote kwa sajili yako ili ule,usome,uvae vizuri kumbe ilikuwa kinyume badala yake makofi niliompigia Mwigulu kila mwisho wa sentensi yake kumbe nilikuwa nasogeza kifo karibu yako.
Nisameee mwanangu, Mwigulu naapa sitonyamaza kamwe.

ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa
1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
MAJIBU ya BEN SAANANE
Mbona hiyo ni given ili aendeleze alipoishia Nchimbi.ukisikia Nchemba amepewa uwaziri utajisikieje?
Asante kwa kukiri kuwa uliwasiliana na nchimbi na zitto kabla hujazaliwa.ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa
1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
MAJIBU ya BEN SAANANE
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa
1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
MAJIBU ya BEN SAANANE
Mkuu roho inaniuma sana kwani nilishiriki kikao cha kukiujumu chadema nikijua namteketeza Lema na wana Chadema, ila cha ajabu nimempoteza mtoto wangu mpendwa.
Nilifanya kosa ila naapa kutorudia kosa, najua huko roho ya mwanangu ilipo inashuudia jinsi gani baba yake alivyoshirikiana na adui katika kukatisha maisha yake akiwa na umri mdogo kiasi kile. Naomba unisameee mwanangu baba yako nilifanya yote kwa sajili yako ili ule,usome,uvae vizuri kumbe ilikuwa kinyume badala yake makofi niliompigia Mwigulu kila mwisho wa sentensi yake kumbe nilikuwa nasogeza kifo karibu yako.
Nisameee mwanangu, Mwigulu naapa sitonyamaza kamwe.