Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Utetezi wa namna hii humtia zaidi matatani mtuhumiwa kuliko kumsaidia. aliyekwambia kuwa watu wanonana mara kwa mara hawaandikiani email ni nani? au ni uelewa wako mfinyu? kwa taarifa yako watu wa ofisi moja huwasiliana zaidi kwa email kuliko hata kutazamana usoni. Mfano ni mimi mwenyewe, kuna boss wangu ambaye tumekuwa tukiwasiliana kwa email zaidi ya kuonana uso kwa uso japo tupo ofisi moja. Jitambue kijana acha kutetea uovu tena kwa hoja zinazokudhalilisha.

kwa hii post yako unataka kusema si ruhusa watu kuonana mara kwa mara, mfano mbowe na slaa wakionana mara kwa mara ni kosa??
 
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?

Hapa kuna issues mbili,
1) Kuna mawasiliano yaliwekwaga hapa kuhusu mtu mwenye jina kama lako, na mtu mwenye jina kama la Emmanuel Nchimbi. Hayo mawasilano hukuwahi kuyakanusha kua sio kweli.

2) Sasa imewekwa kua Ben aliitwa Polisi kuhojiwa kuhusu Kuingilia mawasiliano yenu, hilo unakataa kua hukuwahi kuwasiliana na Mchimbi na wala Ben hakuitwa kwa kuingilia mawasiliano, mbona hukukataa toka mwanzo??

Emmanuel Nchimbi alikua Waziri, na sasa sio tena Waziri Waziri. Tuseme mwanzo ulijua kua hata kama ni kweli hauwezi kufanywa lolote sababu tu mtu uliehusika nae ana dhamana kubwa Serikalini??

Ukijitokeza sasa kukanusha hili, huoni kama italeta picha kua kwa vile Nchimbi sio waziri, basi usalama wako na kinga zako sasa ziko Mashakani ndio maana unajitetea??
 
Mkuu roho inaniuma sana kwani nilishiriki kikao cha kukiujumu chadema nikijua namteketeza Lema na wana Chadema, ila cha ajabu nimempoteza mtoto wangu mpendwa.

Nilifanya kosa ila naapa kutorudia kosa, najua huko roho ya mwanangu ilipo inashuudia jinsi gani baba yake alivyoshirikiana na adui katika kukatisha maisha yake akiwa na umri mdogo kiasi kile. Naomba unisameee mwanangu baba yako nilifanya yote kwa sajili yako ili ule,usome,uvae vizuri kumbe ilikuwa kinyume badala yake makofi niliompigia Mwigulu kila mwisho wa sentensi yake kumbe nilikuwa nasogeza kifo karibu yako.
Nisameee mwanangu, Mwigulu naapa sitonyamaza kamwe.

we jamaa punguza maneno hayo makali yenye kuongeza uchungu na hasira dhidi ya hili jambazi a.k. gaidi kuu.

unaweza ukasababisha mtu akajitwisha sime na kuanza kulitafuta guruwe hili.

sipendi hata kuliona na hasa nikikumbuka roho za marehemu wasiokuwa na hatia.
wamelishika makalio linaanza kutapa tapa na kuanza kumtisha kamanda ben
 
Ni asubuhi moja, huku kukiwa na manyunyu ukiwa unatoa morning speech katika shule ya mazengo "kwa sasa chuo st.john" ukiwa kama hp.

Speech ilijaa uzalendo sio tu na shule bali taifa kwa ujumla, nikiwa kama kijana wa kidato cha pili haikuwa rahisi kuelewa maneno kama patriotism, desire, selfishness, tafsiri yake kwasasa ipo vizuri sana.

Na hasa ukiangalia historia yako, hasa kifamilia kweli wewe wa 1999 umekua hivi. 50% ni juhudi zako 50% ni fursa ambazo watu wengine waliziweka mpaka wewe umezikuta na sasa unadhamana lakini unayo yafanya unanikumbusha mwanafunzi wa yesu yuda eskariotI.

Trust me, you will leave to regret...you couldn't do what you family, education , and opportunity wanted you to do.

"whats comes around goes around"
View attachment 128488

mkuu nme kusoma vema, time will tell
 
اللّهـمَّ أَنْتَ رَبِّـي لا إلهَ إلاّ أَنْتَ ، خَلَقْتَنـي وَأَنا عَبْـدُك ، وَأَنا عَلـى عَهْـدِكَ وَوَعْـدِكَ ما اسْتَـطَعْـت ، أَعـوذُبِكَ مِنْ شَـرِّ ما صَنَـعْت ، أَبـوءُ لَـكَ بِنِعْـمَتِـكَ عَلَـيَّ وَأَبـوءُ بِذَنْـبي فَاغْفـِرْ لي فَإِنَّـهُ لا يَغْـفِرُ الذُّنـوبَ إِلاّ أَنْتَ .
‘Allaahumma Anta Rabiiy laa Ilaaha illa Anta Khalaqtaniy wa ana ‘Abduka wa ana ‘alaa ‘Ahdika wa Wa’dika mastatwa’tu, A’uudhu Bika min sharri maa Swana’tu, abu-u Laka Bini’matika ‘alayya wa abu-u bidhanbiy, Faghfir-liy fainnahu laa yaghfirudh-dhunuuba illa Anta’
Ee Allaah! Wewe ni Mola wangu, hapana mola Apasaye kuabudiwa kwa haki ila Wewe, Umeniumba mimi na mimi ni mja Wako, nami niko juu ya ahadi Yako, na agano Lako, kiasi cha uwezo wangu, najilinda Kwako kutokana na shari ya nilichokifanya, nakiri Kwako kwa Kunineemesha, na nakiri kwa madhambi yangu, basi nakuomba Unisamehe kwani hasamehe madhambi ila Wewe”


اللّهُـمَّ إِنِّـي ظَلَـمْتُ نَفْسـي ظُلْمـاً كَثـيراً وَلا يَغْـفِرُ الذُّنـوبَ إِلاّ أَنْت ، فَاغْـفِر لي مَغْـفِرَةً مِنْ عِنْـدِك وَارْحَمْـني، إِنَّكَ أَنْتَ الغَـفورُ الرَّحـيم
Allaahuuma inniy dhwalamtu nafsiy dhwulman-kathiyran wa laa yaghfirudh-dhunuuba illa Anta. Faghfir-liy maghfiratam-min ‘Indika War-Hamniy, Innaka Antal-Ghafuurur-Rahiym.
‘Ee Allaah hakika mimi nimejidhulumu nafsi yangu, dhulma kubwa, na hasamehe madhambi ila Wewe, basi nisamehe msamaha kutoka Kwako, na Unirehemu, hakika Wewe ni mwingi wa kusamehe, mwingi wa kurehemu.

Haadhaa duwaaun swabahun wamasaaun. Duwaaun adhwin. Alluhumma amini. Kwakuwa kila mwanadamu hukosea kutaka msamaha kwa Mungu sio kosa.
 
Mh. Mwigulu Nchemba
Ben Saanane achana naye tuachie sisi anachotafuta ni umaarufu ili ajipenyeze Bavicha; huna sababu hata moja kujibishana na mzuzuraji ambaye hana tija yoyote katika jamii; siku zote anatafuta watu wenye majina ili ajijenge Bavicha; anajua fika kiatu hicho saizi yake ikiwa kimeshinda mabwana zake wanamtumia atakiweza yeye? huyo ni mganga njaa tu hana hata kimoja cha kukubaisha unajua hawa kauzu wa Bavicha wanachotafuta ni jela ili wajipe sifa ya uhanga hiyo ndiyo njia pekee wanayoijua; kama unavyojua tangu alipokosa ajira mambo ya nje amegeuka mchungu sana na serikali ya CCM; yaani tumlipie shule kazi tusimpe? Anashindwa kuelewa tabia zake alizofanya India ndio zilizomnyima kazi; wizara inataka watu wenye maadili ambao wakipelekwa nje wanatoa sifa bora kwa bora kwa taifa. Hata hapo Bavicha hawamtaki kwa tabia zake za kinafiki ni nani anaweza kukaa karibu na nyoka wa aina yake? Mh. achana na hwa kauzu wa Bavicha wanaotafuta umaarufu kwa nguvu; mtu mwenyewe hana maana hata moja wa nini kujibizana naye?

Na unaamini kwa dhati kabisa kuwa kwa maneno yako haya mnamsaidia Mwigulu katika kile anachokusudia wananchi wamuelewe..!? Dah.. hebu soma tena post yako kisha jitendee haki wewe na upeo wako ndugu.
 
Mkuu roho inaniuma sana kwani nilishiriki kikao cha kukiujumu chadema nikijua namteketeza Lema na wana Chadema, ila cha ajabu nimempoteza mtoto wangu mpendwa.

Nilifanya kosa ila naapa kutorudia kosa, najua huko roho ya mwanangu ilipo inashuudia jinsi gani baba yake alivyoshirikiana na adui katika kukatisha maisha yake akiwa na umri mdogo kiasi kile. Naomba unisameee mwanangu baba yako nilifanya yote kwa sajili yako ili ule,usome,uvae vizuri kumbe ilikuwa kinyume badala yake makofi niliompigia Mwigulu kila mwisho wa sentensi yake kumbe nilikuwa nasogeza kifo karibu yako.
Nisameee mwanangu, Mwigulu naapa sitonyamaza kamwe.

mkuu kwanza pole na masaibu yaliyokupata mrudie muumba atakusamehe lakin ni vyema ukakili kosa kwa umma
 
iLA PIA SIAMINI NI WEWE MWIGULU UMEKUJA PUBLIC!! LABDA HII ID IMEKUWA HACKED PIA!!
kweli mkuu! Mwigulu tunayemfahamu sisi ni huyu
images
 
Mungu wangu, ninatubu sana dhambi zangu, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukizwa na dhambi, basi sitaki kukosa tena, nitafanya kitubio, naomba neema yako nipate kurudi kwako, Amina.
 
Mkuu roho inaniuma sana kwani nilishiriki kikao cha kukiujumu chadema nikijua namteketeza Lema na wana Chadema, ila cha ajabu nimempoteza mtoto wangu mpendwa.


Nilifanya kosa ila naapa kutorudia kosa, najua huko roho ya mwanangu ilipo inashuudia jinsi gani baba yake alivyoshirikiana na adui katika kukatisha maisha yake akiwa na umri mdogo kiasi kile. Naomba unisameee mwanangu baba yako nilifanya yote kwa sajili yako ili ule,usome,uvae vizuri kumbe ilikuwa kinyume badala yake makofi niliompigia Mwigulu kila mwisho wa sentensi yake kumbe nilikuwa nasogeza kifo karibu yako.
Nisameee mwanangu, Mwigulu naapa sitonyamaza kamwe.


....Pole sana ...ina uma sana !!!

...Anza leo mapambano...tupo pamoja nawe.....
 
So that's it...

Evaluate yourself on this, where area you and so called "friends" are ?

1.jpg
 
Mwigulu hana tofauti na Zitto maana wote ni waongo sana... Hawezi kusema hajawasiliana na Nchimbi kwa email tangi azaliwe huo ni uwongo mkubwa labda watoto wa kindergarten ndiyo wataamini.

Mwisho siku atasema hamfahamu Nchimbi hata kidogo.
 
Mkuu roho inaniuma sana kwani nilishiriki kikao cha kukiujumu chadema nikijua namteketeza Lema na wana Chadema, ila cha ajabu nimempoteza mtoto wangu mpendwa.

Nilifanya kosa ila naapa kutorudia kosa, najua huko roho ya mwanangu ilipo inashuudia jinsi gani baba yake alivyoshirikiana na adui katika kukatisha maisha yake akiwa na umri mdogo kiasi kile. Naomba unisameee mwanangu baba yako nilifanya yote kwa sajili yako ili ule,usome,uvae vizuri kumbe ilikuwa kinyume badala yake makofi niliompigia Mwigulu kila mwisho wa sentensi yake kumbe nilikuwa nasogeza kifo karibu yako.
Nisameee mwanangu, Mwigulu naapa sitonyamaza kamwe.

Mchawi mkubwa wewe, hebu sema wangapi umekwisha waua kabla ya mwanao.
 
Nchemba ni shetani, ni ngumu sana kumbadili shetani...
 
Hapa kuna issues mbili,
1) Kuna mawasiliano yaliwekwaga hapa kuhusu mtu mwenye jina kama lako, na mtu mwenye jina kama la Emmanuel Nchimbi. Hayo mawasilano hukuwahi kuyakanusha kua sio kweli.

2) Sasa imewekwa kua Ben aliitwa Polisi kuhojiwa kuhusu Kuingilia mawasiliano yenu, hilo unakataa kua hukuwahi kuwasiliana na Mchimbi na wala Ben hakuitwa kwa kuingilia mawasiliano, mbona hukukataa toka mwanzo??

Emmanuel Nchimbi alikua Waziri, na sasa sio tena Waziri Waziri. Tuseme mwanzo ulijua kua hata kama ni kweli hauwezi kufanywa lolote sababu tu mtu uliehusika nae ana dhamana kubwa Serikalini??

Ukijitokeza sasa kukanusha hili, huoni kama italeta picha kua kwa vile Nchimbi sio waziri, basi usalama wako na kinga zako sasa ziko Mashakani ndio maana unajitetea??

mkuu mwigulu bora ange kaa kimia anazidi kujivuwa nguo, ben ameitwa polis kwa kuingilia mawasiliano ya Mwigulu na Nchimbi, huku mwigulu anasema ajawi kuwasiliana nchimbi, anafikiri Jf inejaa Uvccm
 
said:
""Subject: Fw: kazi nzuri
Date: Sunday, November 17, 2013 20:28
From: " Mwigulu Nchemba " >
To: “Emmanuel Nchimbi” < nchimbie@yahoo.com

>

On Sunday, November 17, 2013 6:15:44 PM, Mwigulu Nchemba wrote:

sawa boss,,jumatano saa moja imekaa safi kabisa. tuchape kazi. ntakupa update nikitoka kuonana na zzk. mh. Lukuvi namtafuta punde

MN

2013/11/17 Emmanuel Nchimbi <
nchimbie@yahoo.com

>

bila shaka vijana wamefanya kazi nzuri sana. mapambano yanaendelea, hakuna kulala, hapa sasa tume lote livunjwe na huyo waryoba apumzishwe. mtafute mh. Lukuvi ana mazuri ya kuongea na wewe. kuna mapya pale ufipa, nimeshaongea na mh. zitto na amenipa brifieing .. tukutane jumatano basi jioni ya saa1 pale pale cheer,, Emma

Sent from my ipad

On Sunday, November 17, 2013 5:55:02 PM, Mwigulu Nchemba wrote:

Naona vijana wametekeleza shuguli vizuri, na cham imewakilishwa vizuri sana. Msangi jembe, sasa tutaipata katiba tunayoitaka hicho kikwazo kikishaondolewa bila shuruti. Alafu upande wa pili (cdm) inabidi tuongeze dau ili shujaa zzk abakie ndani, nasikia kuna mkakati wa kumtoa kwenye kinyang'anyiro. tujitahidi sana sana kumsaidia kujenga mtandao wa ndani apate u wenyekiti. taarifa zaidi za ndani zinasema wkamba wanajaribu kumfukuza kabla ya mwisho wa mwaka, tuendeleze vita hilo lisitokee, naona kundi ndani ya bavicha hasa hiyo mitoto inafanya sana mashambulizi lakini hawataweza. inabidi wadhibitiwe. rockup wiki mbili itawasambaratisha. Tuongeze kasi kwa wajumbe wa kamati kuu. wengi wao ni njaa sana nazani 5mil kila moja inatosha kabisa.wananifata sana kuomba hela ili wasaidie nakutana na ZZK baadae plae pa siku ile, unaweza kufika saa 1 jioni

MN
View attachment 128485
"THE TEAM"
Kumbe mipango yao wanaifanyiaga hata Bungeni
 
Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail.
Kama ni email feki kwa nini polisi wamuulize Ben alipata wapi Password zenu?
 
Back
Top Bottom