Hizo e-mails hazikuanza kusambazwa leo zina zaidi ya mwezi sasa. Kwanini imekuchukua muda woote huo kwa issue nyeti kama hii, Leo ndio unakuja na utetezi wa kijinga namna hii?
Where were you? Mmeshapanga ya kupanga huko ndio unakurupuka leo kuja kukanusha? Umenikera sanaa!
Kijana mwenzangu Mwigulu Nchemba, kesi iliyo polisi ni ya kuingilia mawasiliano ya wewe na Mh Nchimbi, ungeonekana unaakili timama kama ungeombq ufafanuzi toka polisi,
Kitendo cha kuja kujitetea hapa kuwa huna barua pepe ya aina hiyo na hujawahi kuwasiliana na Nchimbi ni cha kizandiki zaidi,
Ni uzandiki kwakuwa tangu Ben Saanane aombe ufafanuzi toka kwenu wawili hamkuja kujibu na mkakimbilia polisi,
Nini kinakusukuma sasa kuja kujitetea hapa?
Jamii itaujua tu ukweli wa ugaidi wako na hujuma yako kwa serikali ya Kikwete,
Sasa sisi watanzania wanyonge tunawataka muende Mahakamani ama mkichelewa sisi tufungulie kesi za mauaji ya watanzania Dr Mvungi na wengine.
Kwa nini umeamua kujibu sasa hivi?maana wakubwa wanasema kama uliona haja ya kujibu basi ni boraungejibu mapema ila ukikaa sana ujue kua ulikua unajipanga jinsi gani ya kupangua hoja na Kama uliamua kuongea then ungeongea mapemna kama ulipanga ukae kimya then ungekaa kimya na si kuja kuongea leo.
Mwigulu samahani kwa hili swali ila mbona muda mwingine Bungeni ni kuonda tu upinzani badala ya kutoa hoja ya kujenga au unadhan watanzania tunafurahia mipasho???Tuko katika hali ngumu ya maisha na ndo mana tunawaomba viongoz mtuwakilishe ipasavyo na mnatuumiza kwa hoja za kimajungu zisizojenga na mkifika kwa mkubwa mnamchekea tu bila kumwambia kua waTanzania tuko katika hali mbaya mana hata mtoto mdogo sasa hivi anajua tuko katika hali mbaya kasoro nyie wakubwa.
Tanzania ni nchi na si fammilia ya CCM wala CHADEMA so usifanye maamuzi kama unavofanya katika familia yako ndo ukayaleta kuongoza Tanzania mana Misri,Tunisia,Libya watu walichoka na ndo mana nchi ikaharibika,tuipende na kuiheshimu nchi yetu na nkisema tuipende ni kukemea mambo yote maovu ya nchi hii.
Guys msihangaike kujibizana na majina haya coz hizi ni fake ID za nchemba mwenyewe mshenzi ni hatari sana huyu anajidai anajua kucheza na mtandao kumbe. Hana lolote....
* mwa 4
* stroke
* mwekundu
Na hilo jina lake mwenyewe analojidai kujibu kwa uadilifu kumbe ni muuaji. Mwigulu hufai duniani wala kuzimu..
Hapa kiongozi wangu wa chama umetafsiri ki swahili, Ben jiangalie
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa
1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
...
...kombora moja tu shetani miguu chali!!!
ulikuwa wapi siku zote......
weee ni kibaraka mbeba mikoba na mbrush viatu vya mabwana wa chadema
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa
1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?
...daaahhh mkuu yaaani nina maneno elfu ya kumjibu huyu jamaa ila nashindwa nianzeje kwa hasira, anyway comment yako ime summarise kauli yangu...
ukisikia Nchemba amepewa uwaziri utajisikieje?
Mkuu bado haijadhibitika kama ni uongo au ukweli, mbona una haraka hivyo? Subiri huyo shoga yako Mwigulu ajisafishe, manake sijaona kitu cha kunifanya nisiamini kuwa email ni zakeHuyu Ben saanane anatumika vibaya sana na mbowe pamoja na slaa,hata kama tunaichukia ccm we have to look on positive things sio siasa za majitaka na uharo
Siasa za chuki na damu I hate them
Ben Saanane hakusema amenasa mawasiliano yao. Yeye aliwaomba watoe ufafanuzi !
Wakati Ben Saanane anaandika ile post hayo mawasilianao yalishakuwa kwenye mtandao kwa muda mrefu tu.....
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa
1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?