Chris Lukos Aliandika hivi
Nami nilimjibu:
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
Chris Lukosi
Your madness has no curative therapy.
Unaanzisha thread bila kuweka summary ya matukio yote na kilichojadiliwa na tayari kuna thread separate humu.Unasema natafuta umaarufu,kwanini isiwe kwamba wewe ndiye unayetafuta umaarufu kwa kunianzishia thread kabisa maana kwangu mimi thread inayoanzishwa na wewe kwa kunitaja jina kwenye title inanichafua kutokana na rekodi yako chafu ya unafiki,ujinga,uchumia tumbo na kufuata mkumbo.Umenizidi umri lakini najiskia fedheha sana kuona namna unavyoshughulika kila siku kunitajataja bila substance ila kwa maneno ya kitoto tu.
Suala la polisi lipo huku na linetolewa ufafanuzi na Mwigulu ametoa maelezo na tumejibizana kwa facts.Hata ikiwezekana Polisi watatoa statement yao maana wana msemaji wao na wakijaribu kupindisha tu nitaanika kila kitu maana nilikua na Mwanasheria na pia nina rekodi ya mahojiano.Narudia tena,NINA REKODI YA MAHOJIANO.Tusubiri upelelezi wa haya yanayoendelea na polisi waliahidi kumuhoji tena Nchimbi na pia wanahitaji kumuhoji Mwigulu na kuendelea kutafuta ukweli maana Link ya ufafanuzi wa Mwigulu nimeiweka kwenye attention ya Polisi.
Chris,I don't have time for dummies like you.
Go and study the state of Tanzanian political landscape.
There is no time for your type in our polity.
Tafuta namna ya kutibu inferiority complex inayokusumbua.
Hapo Uingereza unaweza kujifunza Sheria au Forensic investigation pale Hulls au Uende Glasgow Scotland na vyuo vingine accredited ambavyo haviko mbali mbali
Kajifunze vizuri kuhusu mambo haya:
-IEPE:Interpretation,Evaluation and Presentation of envidence
-CNERA:Computer Network Envidence recovery techniques and professional Analysis
DEARP-Digital Envidence Analysis and revovery and presentation.
Wewe ni ex Cop lakini outdated and out of touch .
Ungekishauri chama na serikali yako inayotumia domain ya yahoo kwenye mawasiliano ikulu kama ungekua unayajua haya yote badala ya kutumia muda wako kunianzishia thread kunitaja taja.
Your rants on this forums speak volume of your upbringing and intellectual capacity.