Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Huu uzi mbona siuelewi au mpaka nianze page 1

Hebu wacha umbumbumbu wewe...Uzi unaeleweka kabisa....Mwigullu katoa utetezi wake na Kijana mkakamavu Ben katoa majibu yake ili kuleta mtiririko mzuri..

Sasa kama mpaka hapo hujaelewa hakika wewe utakuwa tahaira...
 
tatizo lenu nyie watoto wa chadema mnamuona BEN SAA8 kama mtu muhimu sana. huyu dogo ni mburula tu mtumwa wa mbowe, he is ready to do anything to please his master(what a slave!!!)
wamefanya lililo sahihi kabisa kutokujibu sms yake kwani ukiwa SIMBA DUME NYIKANI HUTAKIWI KUGUTUSHWA NA KELELE ZA PANYA.
ujinga wenu mnaoufanya unafanya vijana wa kitz kuonekana wajinga na kuwa hawako tayari kiungozi mbele ya wenzetu wa nchi jirani.
hata kama kauli ya nchemba haina ukweli wa 100%, lakini ninashawishika kuiamini na nina wasiwasi BEN SAA 8 is behind all this.
ujumbe wangu kwako BEN, evil plans can carry only those who are foolish(na wamejaa tele chadema),but for those with proper/well packed brains, you are making a wonderfull bwatboy out of yourself

You're still in the threatening mode.Justice and truth will prevail.
 
Ujinga tu wa kina ben na makene tunawajua

Yani Bosi wako Mwigulu kuleta utetezi wa kukurupuka ambao mwisho wa siku umemuumbua ni Kazi ya Makene...

Hakika hao vijana machachari uliowataja watakuwa na kipaji maalumu cha kufanya watu wakurupuke na kuumbuka mchana kweupe....

Mwigulu kajivua nguo mchana kweupee sasa kila Mtanzania anamuelewa Mwigulu ni nani...!!
 
Nikiambiwa mwirugu kafa ntafurahi sana. Jamaa ni zaidi ya shetani.
 
Chris Lukos Aliandika hivi






Nami nilimjibu:


XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX


XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

Chris Lukosi
Your madness has no curative therapy.

Unaanzisha thread bila kuweka summary ya matukio yote na kilichojadiliwa na tayari kuna thread separate humu.Unasema natafuta umaarufu,kwanini isiwe kwamba wewe ndiye unayetafuta umaarufu kwa kunianzishia thread kabisa maana kwangu mimi thread inayoanzishwa na wewe kwa kunitaja jina kwenye title inanichafua kutokana na rekodi yako chafu ya unafiki,ujinga,uchumia tumbo na kufuata mkumbo.Umenizidi umri lakini najiskia fedheha sana kuona namna unavyoshughulika kila siku kunitajataja bila substance ila kwa maneno ya kitoto tu.

Suala la polisi lipo huku na linetolewa ufafanuzi na Mwigulu ametoa maelezo na tumejibizana kwa facts.Hata ikiwezekana Polisi watatoa statement yao maana wana msemaji wao na wakijaribu kupindisha tu nitaanika kila kitu maana nilikua na Mwanasheria na pia nina rekodi ya mahojiano.Narudia tena,NINA REKODI YA MAHOJIANO.Tusubiri upelelezi wa haya yanayoendelea na polisi waliahidi kumuhoji tena Nchimbi na pia wanahitaji kumuhoji Mwigulu na kuendelea kutafuta ukweli maana Link ya ufafanuzi wa Mwigulu nimeiweka kwenye attention ya Polisi.

Chris,I don't have time for dummies like you.

Go and study the state of Tanzanian political landscape.

There is no time for your type in our polity.

Tafuta namna ya kutibu inferiority complex inayokusumbua.

Hapo Uingereza unaweza kujifunza Sheria au Forensic investigation pale Hulls au Uende Glasgow Scotland na vyuo vingine accredited ambavyo haviko mbali mbali

Kajifunze vizuri kuhusu mambo haya:

-IEPE:Interpretation,Evaluation and Presentation of envidence

-CNERA:Computer Network Envidence recovery techniques and professional Analysis

DEARP-Digital Envidence Analysis and revovery and presentation.

Wewe ni ex Cop lakini outdated and out of touch .

Ungekishauri chama na serikali yako inayotumia domain ya yahoo kwenye mawasiliano ikulu kama ungekua unayajua haya yote badala ya kutumia muda wako kunianzishia thread kunitaja taja.

Your rants on this forums speak volume of your upbringing and intellectual capacity.

Mkuu Ben nakupa salute mkuu wangu....Najivunia chama kuwa na mtu kama wewe....Majibu yako yamejaa hekima na busara tupu.....

Good job keep it up brother..
 
Last edited by a moderator:
uko sawa mkuu
Mwigulu alidhani bado tupo karne ya wadanganyika hatujui kuhoji.
wanasema silence is the best answer bora angekaa kimya
Thread yake inadhihirisha hakujipanga katika kueleza kilichotokea
amezoea kusema lolote bungeni bila ushahidi hapa JF nako anakuja na mada zake bila kufahamu kuna wataalamu na wanataaluma makini......
maswali yote uliyouliza yanatupa mashaka kama hajashiriki.....
polisi hawajakurupuka kumuita Ben kuna mtu alifile complaints either yeye au Nchimbi lengo ni kutaka kujisafisha.............
Ben cannot be held liable, He is not the author of the said email
He is not the one who transmitted the document via JF and other social medias
His previous post in JF alisema kabisa ameitoa wapi na hakuwataja moja kwa moja wahusika ila alisema wahusika wana majina yanyofanana na yaliyopo kwenye hiyo email
wanachotakiwa polisi ni kumtafuta alieipost mara ya kwanza but kwa upeo wao na uhaba wa vifaa sidhani kama wataweza kujua lolote.

The author of the said email can prove to us how he/she was able to capture such communication na pia wahusika waliotajwa wakamatwe watuambie content ya hizo email zilikuwa na lengo gani.....
kwa vile nchi yetu haina utawala wa sheria wataachwa hivo hivo,Ingekuwa nchi za wenzetu wangeshakamatwa....
amini nawaambia, ben and the group are all behind this.
inatakiwa akili kidogo tu kuuelewa mchezo....
baada ya kukamilisha kazi yao(kwa malengo wanaoyajua wao) ya ku-create fake IDs na kujitumia ujumbe, wakaamua kuzivujisha kwenye mitandao ili waone athari zake as planned.
walipigwa na butwaa kuona kwamba wahusika(naanisha majina yaliyotengenezewa IDs) hawababaiki then stering wa movie BEN SAA8 akaamua kuwatumia sms ili kuwa-provoke.
hata mpelelezi wa kiwango cha chini kabisa atamuhusisha moja kwa moja Ben na huu upuuzi, alishindwa kuvumilia matokeo Hasi ya mpango wao akaamua kuji-expose blindly kwa kujifanya ana act smart kwa kuwatumia hao akina nchemba email.
personally, i can penetrate in to any computer, website and admistrated system any time at my will. apart from US EMBASS and WFP systems which are well protected, the rest of the systems,computers and websites in tanzania are more than 79% vulnarable to attacks and penetration.
ni rahisi ku-trace route flow ya information kutoka kwenye computer yoyote mpaka destination point huku trace routing ikionyesha IP ADRESSES za kila computer na majina ya computer husika.
na anayejidanganya kuwa eti hao wataalamu hakuna ndani ya jeshi la polisi!! aende polisi makao makuu akaulizie kichwa kimoja adimu kinachojulikana kwa jina la ADILI,,
Wajinga nyie watoto, tuko tayari tupunguze shughuli zetu za ujenzi wa taifa ili tupate muda wa ku-deal na nyie,,,,,,
we will never leave our country to pathetic DOGS
 
amini nawaambia, ben and the group are all behind this.
inatakiwa akili kidogo tu kuuelewa mchezo....
baada ya kukamilisha kazi yao(kwa malengo wanaoyajua wao) ya ku-create fake IDs na kujitumia ujumbe, wakaamua kuzivujisha kwenye mitandao ili waone athari zake as planned.
walipigwa na butwaa kuona kwamba wahusika(naanisha majina yaliyotengenezewa IDs) hawababaiki then stering wa movie BEN SAA8 akaamua kuwatumia sms ili kuwa-provoke.
hata mpelelezi wa kiwango cha chini kabisa atamuhusisha moja kwa moja Ben na huu upuuzi, alishindwa kuvumilia matokeo Hasi ya mpango wao akaamua kuji-expose blindly kwa kujifanya ana act smart kwa kuwatumia hao akina nchemba email.
personally, i can penetrate in to any computer, website and admistrated system any time at my will. apart from US EMBASS and WFP systems which are well protected, the rest of the systems,computers and websites in tanzania are more than 79% vulnarable to attacks and penetration.
ni rahisi ku-trace route flow ya information kutoka kwenye computer yoyote mpaka destination point huku trace routing ikionyesha IP ADRESSES za kila computer na majina ya computer husika.
na anayejidanganya kuwa eti hao wataalamu hakuna ndani ya jeshi la polisi!! aende polisi makao makuu akaulizie kichwa kimoja adimu kinachojulikana kwa jina la ADILI,,
Wajinga nyie watoto, tuko tayari tupunguze shughuli zetu za ujenzi wa taifa ili tupate muda wa ku-deal na nyie,,,,,,
we will never leave our country to pathetic DOGS

Hakika unajisumbua sana....Na mwisho wa siku utaujua ukweli.....Kama Mwigullu unaye mtetea anaubavu aje hapa atoe ufafanuzi...

Kwanini kaleta mada na kutokomea msituni....? Kama unaoubavu pandisha uzi mpya ili tuchangie sio unaleta porojo hapa..
 
amini nawaambia, ben and the group are all behind this.
inatakiwa akili kidogo tu kuuelewa mchezo....
baada ya kukamilisha kazi yao(kwa malengo wanaoyajua wao) ya ku-create fake IDs na kujitumia ujumbe, wakaamua kuzivujisha kwenye mitandao ili waone athari zake as planned.
walipigwa na butwaa kuona kwamba wahusika(naanisha majina yaliyotengenezewa IDs) hawababaiki then stering wa movie BEN SAA8 akaamua kuwatumia sms ili kuwa-provoke.
hata mpelelezi wa kiwango cha chini kabisa atamuhusisha moja kwa moja Ben na huu upuuzi, alishindwa kuvumilia matokeo Hasi ya mpango wao akaamua kuji-expose blindly kwa kujifanya ana act smart kwa kuwatumia hao akina nchemba email.
personally, i can penetrate in to any computer, website and admistrated system any time at my will. apart from US EMBASS and WFP systems which are well protected, the rest of the systems,computers and websites in tanzania are more than 79% vulnarable to attacks and penetration.
ni rahisi ku-trace route flow ya information kutoka kwenye computer yoyote mpaka destination point huku trace routing ikionyesha IP ADRESSES za kila computer na majina ya computer husika.
na anayejidanganya kuwa eti hao wataalamu hakuna ndani ya jeshi la polisi!! aende polisi makao makuu akaulizie kichwa kimoja adimu kinachojulikana kwa jina la ADILI,,
Wajinga nyie watoto, tuko tayari tupunguze shughuli zetu za ujenzi wa taifa ili tupate muda wa ku-deal na nyie,,,,,,
we will never leave our country to pathetic DOGS

Wow!

This is great! For sure nimeamua kuwasaidia jeshi la polisi kwa kuwapa Link ya hii thread.

Mchango huu ni wa muhimu sana kurahisisha hili sakata.

Kumbe tuna vipaji vinapotea bure tu.

Tupo kwenye right track so far.Thanks alot!
 
wewe kila kitu unachoambiwa unameza tu kama dodoki? una ushahidi wa mambo hayo unayoongea? tumia akili usiwe unameza kila uzushi unaousikia

Pimbi wewe...kama ni uzushi mbona hukuwapeleka mahakamani?We si ulidai kutumiwa sms na kina Mnyika?yaliishia wapi?we jamaa lishamba sana
 
Vipi kuhusu mwigulu kutoa ushahidi Mbinguni. Iliishia wapi? Leo mnkuja hapa mnamuamini kwa huu utetezi rahisi. Huyu mtu ni mdogo wake na shetani.

Baada lile sakata la Rwakatale huyu mwigulu simwamini tena hata angetoa chozi la damu
"Kumezuka vijana ndani ya chama chetu ambao kazi yao kubwa ni kutengeneza na kusema uongo kwa malengo wanayojua wao" ZZK
 
wewe kila kitu unachoambiwa unameza tu kama dodoki? una ushahidi wa mambo hayo unayoongea? tumia akili usiwe unameza kila uzushi unaousikia
Mkuu hongera kwa kusoma PhD. Naamini utakapomaliza utakuwa tofauti na huyu Mwigulu Nchemba wa sasa. By the way umespecialize kwenye kitu gani?
 
Last edited by a moderator:
M. Nchemba amezoea kubebwa na Spika bungeni. Amedhalilisha sana bunge letu hadi kutema mate ndani ya jengo la kisasa la bunge,bila kukemewa. JF naye anasubiri abebwe,hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya matusi. Amekimbia thread aliyoanzisha mwenyewe. Hapa JF unakutana na bunge huru,komaa tetea misimamo yako we mtema mate ovyo.
 
Back
Top Bottom