Proactive Ben
katika watanzania woooooote walio JF wewe ndio ulikuwa na gat ya kumuuliza Nchimbi au mwigulu?? kwanza number zao ulipata wapi na kwa nini uwe nazo...( majasusi)
Pili unasema uliulizwa na polisi umeingilia mawasiliano?? hivi umesoma mpaka darasa la ngapi??
hauoni unaweza kuulizwa silly and stupid question ku validate unayoyawaza??
hivi kwa nini vijana wa aina yako hawana uwezo wa kufikiri nje ya box??
umeulizwa investigative questions, bila hiyana umekuja kusema ulichoulizwa, wenzako wanampata mtu hapo, you might be the one
kubali kuwa umekuwa mjinga kwa kivuli cha uanamapinduzi, umeingia kwenye mitego ya polisi kwa akili zako ndogo
WW ULIZUSHA, ULIPANGA, ULIANDIKA, UMEONEKANA NA KAJITETEE HUKO, ACHA PUBLIC SYMPATHY
SOON TUTAKUJA SEGEREA KUKULETEA CHAKULA NA .............be careful wasi ku-lema
Nenda kwenye site ya bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar unapata details za wabunge wote na viongozi wa serikali kuu.
Mtu kuwa na no. yangu ya simu ni kosa??
Otherwise unawasiliana na misukule.
Div.5 ni shiiida