Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Proactive Ben

katika watanzania woooooote walio JF wewe ndio ulikuwa na gat ya kumuuliza Nchimbi au mwigulu?? kwanza number zao ulipata wapi na kwa nini uwe nazo...( majasusi)

Pili unasema uliulizwa na polisi umeingilia mawasiliano?? hivi umesoma mpaka darasa la ngapi??

hauoni unaweza kuulizwa silly and stupid question ku validate unayoyawaza??

hivi kwa nini vijana wa aina yako hawana uwezo wa kufikiri nje ya box??

umeulizwa investigative questions, bila hiyana umekuja kusema ulichoulizwa, wenzako wanampata mtu hapo, you might be the one

kubali kuwa umekuwa mjinga kwa kivuli cha uanamapinduzi, umeingia kwenye mitego ya polisi kwa akili zako ndogo



WW ULIZUSHA, ULIPANGA, ULIANDIKA, UMEONEKANA NA KAJITETEE HUKO, ACHA PUBLIC SYMPATHY

SOON TUTAKUJA SEGEREA KUKULETEA CHAKULA NA .............be careful wasi ku-lema

Nenda kwenye site ya bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar unapata details za wabunge wote na viongozi wa serikali kuu.
Mtu kuwa na no. yangu ya simu ni kosa??
Otherwise unawasiliana na misukule.
Div.5 ni shiiida
 
Ni nani atakayemwamini Mwigulu (Lameck)?MTU anayeapa kwa mbingu ili hali analosema anajua ni uongo.?suala la Lameck ni gumu nil a kiroho zaidi!hebu viongozi wa kiroho wamsaidie.Ninahisi kuna roho zinamwendesha na hajui haswa ya uongo.Mungu akurehemu siasa sioMungu kaka.
 
Mwingulu wacha unafiki wako ,pia usiwafanye watanzania mazuzu kumbuka wanauelewa mkubwa kuliko wewe.Soma alama za nyakati pia usilewe na hayo madaraka ukaona watu wote mazuzu,Mambo yote mnayofanya kwa siri sasa yapo hadharani na huyo Nchimbi wako ameshapigwa chini sasa najua mnamtandao mkubwa wa kufanya mambo mnayoyaona yanafaa kwa upande wenu.Utafika wakati hao wananchi mnaowapelekeaga kofia ,mashati na kanga kipindi cha uchaguzi mtawakimbia wenyewe kama unavyomkimbia Simba porini.Kumbukeni Gaddafi yupo wapi leo hii,wacha siasa chafu wewe bado mdogo sana kiumri utafika mbali sana ukifanya siasa safi wala sio chafu unazofanya sasa.Jenga msingi imara kwenye siasa safi kwani hata Chadema watakukubali ukiwamfano wa kuigwa kwa wananchi wa Tanzania.Tatizo unaongozwa na chama chenye watu wenye mikono michafu yenye damu za watu na wanaonuka damu za watu na wewe sasa unanuka damu za watu kwa kupanga mipango michafu,kutekeleza mipango michafu.Sasa yote mnayopanga kwa siri itakuwa Hadharani na Bado mtaumbuka sana,Kwani Mungu ameamuwa kuweka mambo yote kweupe.

unavyoongea kwa msisitizo kama vile una hakika

utabaki kuongea tu
 
Hii inadhihirisha kuwa Ben Saanane kazi yake kubwa ni kupika na kusambaza sumu kwenye jamii.

Sishangai pia aliandikwa humu kuwa anabeba sumu. Kila mahali kwenye fitna mbaya mbaya na yeye jina lake halikosi.

Huyu kijana ni zaidi ya janga kwa Taifa.

Nawaomba wale wenye jukumu wamtazame kwa macho mawili, wasimuonee haya hata kidogo.
 
Mwigulu ni lini ulikubali mabaya yote uliyofanya? Mabomu uliyotoka nayo China ulisema? Wake za watu uliotembea nao ulisema? Fedha za kupooza hiyo soo milioni kumi ulizotoa igunga ulisema? Mipango ya kuiua chadema ulisema? Nini kinakufanya uje hapa kulilia huruma ya wana jf? Unaibu wako ni cheo, ipo siku
Muda utafika utaacha, sio cheo cha milele kaka.
UKO SAWA KABISA.apandacho atavuna Mungu yupo atamhukumu tu!
 
Proactive Ben

katika watanzania woooooote walio JF wewe ndio ulikuwa na gat ya kumuuliza Nchimbi au mwigulu?? kwanza number zao ulipata wapi na kwa nini uwe nazo...( majasusi)

Pili unasema uliulizwa na polisi umeingilia mawasiliano?? hivi umesoma mpaka darasa la ngapi??

hauoni unaweza kuulizwa silly and stupid question ku validate unayoyawaza??

hivi kwa nini vijana wa aina yako hawana uwezo wa kufikiri nje ya box??

umeulizwa investigative questions, bila hiyana umekuja kusema ulichoulizwa, wenzako wanampata mtu hapo, you might be the one

kubali kuwa umekuwa mjinga kwa kivuli cha uanamapinduzi, umeingia kwenye mitego ya polisi kwa akili zako ndogo



WW ULIZUSHA, ULIPANGA, ULIANDIKA, UMEONEKANA NA KAJITETEE HUKO, ACHA PUBLIC SYMPATHY

SOON TUTAKUJA SEGEREA KUKULETEA CHAKULA NA .............be careful wasi ku-lema

Hahaha Utanivunja mbavu mkuu.Investigative questions ! ! ! Haha ha ,Kweli tumejaliwa vipaji vya upelelezi.Gosshhhh!
 
Mkuu roho inaniuma sana kwani nilishiriki kikao cha kukiujumu chadema nikijua namteketeza Lema na wana Chadema, ila cha ajabu nimempoteza mtoto wangu mpendwa.

Nilifanya kosa ila naapa kutorudia kosa, najua huko roho ya mwanangu ilipo inashuudia jinsi gani baba yake alivyoshirikiana na adui katika kukatisha maisha yake akiwa na umri mdogo kiasi kile. Naomba unisameee mwanangu baba yako nilifanya yote kwa sajili yako ili ule,usome,uvae vizuri kumbe ilikuwa kinyume badala yake makofi niliompigia Mwigulu kila mwisho wa sentensi yake kumbe nilikuwa nasogeza kifo karibu yako.
Nisameee mwanangu, Mwigulu naapa sitonyamaza kamwe.

kwa nini usianzishe gazeti na kutunga hadithi, utauza sana
 
Proactive Ben

katika watanzania woooooote walio JF wewe ndio ulikuwa na gat ya kumuuliza Nchimbi au mwigulu?? kwanza number zao ulipata wapi na kwa nini uwe nazo...( majasusi)

Pili unasema uliulizwa na polisi umeingilia mawasiliano?? hivi umesoma mpaka darasa la ngapi??

hauoni unaweza kuulizwa silly and stupid question ku validate unayoyawaza??

hivi kwa nini vijana wa aina yako hawana uwezo wa kufikiri nje ya box??

umeulizwa investigative questions, bila hiyana umekuja kusema ulichoulizwa, wenzako wanampata mtu hapo, you might be the one

kubali kuwa umekuwa mjinga kwa kivuli cha uanamapinduzi, umeingia kwenye mitego ya polisi kwa akili zako ndogo



WW ULIZUSHA, ULIPANGA, ULIANDIKA, UMEONEKANA NA KAJITETEE HUKO, ACHA PUBLIC SYMPATHY

SOON TUTAKUJA SEGEREA KUKULETEA CHAKULA NA .............be careful wasi ku-lema
Wewe umeandika hivi:


"SOON TUTAKUJA SEGEREA KUKULETEA CHAKULA"............

Mwigulu aliandika hivi:
" Ben look at you"

Mkuu Ben Saanane kwa kauli hizo hapo juu kuwa mwangalifu sana...Ni kauli za hatari.....Tumeshajua mipango yenu yakumdhuru Ben...Shetani amejifunua..
 
Mkuu CHAMVIGA
Huyo mganga njaa Ben Saanane sio tu mpuuzi ni hovyo kabisa waulize waliosoma naye watakuambia hana maana hata chembe! mtu anayetumika kama toilet paper ana maana gani katika jamii?

Wewe unamaana yoyote katika jamii...? Kama unaubavu njoo na jina lako kamili hapa....
 
Last edited by a moderator:
Mkuu CHAMVIGA
Huyo mganga njaa Ben Saanane sio tu mpuuzi ni hovyo kabisa waulize waliosoma naye watakuambia hana maana hata chembe! mtu anayetumika kama toilet paper ana maana gani katika jamii?

kiukweli bongo za vijana wengi wa ccm zina matundu asee..

Hapo juu,
Hao wenzake na ben ndo wamekwambia anatumika kama toilet paper au we ndo unasema? Pili unasema tukaulize wenzake, unadhani tunawajua.. Weka mawasiliano yao ili tuwaulize sio kuleta porojo hapa!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu CHAMVIGA
Huyo mganga njaa Ben Saanane sio tu mpuuzi ni hovyo kabisa waulize waliosoma naye watakuambia hana maana hata chembe! mtu anayetumika kama toilet paper ana maana gani katika jamii?

Chama,

Kwan Jamaa kasomea wapi??

Nina cheka sana kila napomuona huyu jamaa na shoga yake yericko
 
Ahaaa haaa kudaadekii!!!! kamanda hapa shule imetulia kichwani sina wasiwasi wa maisha kama huyo mganga njaa wenu Ben Saanane!

Unadhani wenye shule huwa wanajisifia....Wenye shule huwa tunawaona hapa jamvini kwa hoja zao za nguvu.....

Unaleta porojo halafu unasema eti una shule....Huu ni uzezeta wa hali ya juu....Pangua hoja tujue kweli umeenda shule na kuelimika...Maneno meengi kumbe vapour..
 
Last edited by a moderator:
kiukweli bongo za vijana wengi wa ccm zina matundu asee..

Hapo juu,
Hao wenzake na ben ndo wamekwambia anatumika kama toilet paper au we ndo unasema? Pili unasema tukaulize wenzake, unadhani tunawajua.. Weka mawasiliano yao ili tuwaulize sio kuleta porojo hapa!

Kamanda hapo hakuna porojo huyo mgangaa njaa wenu tunamjua vizuri sana hilo ni toilet paper yenye kinyesi haana maana yoyote!
 
Hii inadhihirisha kuwa Ben Saanane kazi yake kubwa ni kupika na kusambaza sumu kwenye jamii.

Sishangai pia aliandikwa humu kuwa anabeba sumu. Kila mahali kwenye fitna mbaya mbaya na yeye jina lake halikosi.

Huyu kijana ni zaidi ya janga kwa Taifa.

Nawaomba wale wenye jukumu wamtazame kwa macho mawili, wasimuonee haya hata kidogo.

Vipi tunasikia vijana wenu wamekamatwa na mabomu huko Tanga tayari kwa ajili ya kulipua makanisa leo na kesho....

Angalia ugaidi wenu wewe na MS utawagarimu...
 
Kamanda hapo hakuna porojo huyo mgangaa njaa wenu tunamjua vizuri sana hilo ni toilet paper yenye kinyesi haana maana yoyote!

Hoja ni Mwigulu kumua Dr. Mvungi... Turudi kwenye hoja mkuu
 
Unadhani wenye shule huwa wanajisifia....Wenye shule huwa tunawaona hapa jamvini kwa hoja zao za nguvu.....

Unaleta porojo halafu unasema eti una shule....Huu ni uzezeta wa hali ya juu....Pangua hoja tujue kweli umeenda shule na kuelimika...Maneno meengi kumbe vapour..

wewe mganga njaa tedo; Chama shule ya nguvu ipo kama huamini kama upo US sema nikupe mwaliko wa graduation sijasoma shule za uchochoroni India! Kudaadeki najiaminisha na ninachosema sina wasiwasi hata kidogo siishi kwa kupiga kwa Mwigulu Nchemba wala Nape Nnauye; huyo kamanda wako yupo kihasahasara maisha yake mgogoro!
 
Last edited by a moderator:
Vipi tunasikia vijana wenu wamekamatwa na mabomu huko Tanga tayari kwa ajili ya kulipua makina leo na kesho....

Angalia ugaidi wenu wewe na MS utawagarimu...

Achana na huyo ni bangi zake zinamsumbua... Maana amekili mwenyewe kuwa huwa anatumia bangi
 
Back
Top Bottom