Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Kamanda hapo hakuna porojo huyo mgangaa njaa wenu tunamjua vizuri sana hilo ni toilet paper yenye kinyesi haana maana yoyote!

Umebaki na porojo tuu huna hoja wewe....Hapo ndo mwisho wako wa kufikiri..
 
Chama,

Kwan Jamaa kasomea wapi??

Nina cheka sana kila napomuona huyu jamaa na shoga yake yericko

Jamaa kasomea India vile vyuo vya uchochoroni mtu amekula dengu na mbaazi karibu miaka 3 akili yake lazima iwe finyu; na hasira imeongezeka zaidi baada ya kukosa kazi serikalini! jamaa yake Yericko Nyerere alijitutumua eti kasoma China wakati hata cheti cha VETA hana hao ni waganga njaa wakubwa hapo mjini!
 
Last edited by a moderator:
Vipi tunasikia vijana wenu wamekamatwa na mabomu huko Tanga tayari kwa ajili ya kulipua makina leo na kesho....

Angalia ugaidi wenu wewe na MS utawagarimu...

Na nimeshaanzisha thread juu ya hao magaidi..
shame on them!!
 
Umebaki na porojo tuu huna hoja wewe....Hapo ndo mwisho wako wa kufikiri..

sasa mganga njaa wewe ndio mwenye hoja?? shauri yako fainali uzeeni Chama nipo poa sana sina wasiwasi; endelea kutumika kama chupi!
 
Jamaa kasomea India vile vyuo vya uchochoroni mtu amekula dengu na mbaazi karibu miaka 3 akili yake lazima iwe finyu; na hasira imeongezeka zaidi baada ya kukosa kazi serikalini!
Mkuu chama

Utanipasua mbavu nakumbuka kuna siku nilikuwa India roho iliniuma sana kumuona ng'ombe anavuta kontena.
 
Last edited by a moderator:
wewe mganga njaa Ben Saanane; elimu usiyoitumia ina manufaa gani? ni sawa kuwa na jembe na kuliweka chini ya uvungu wa kitanda; wewe ni hasira za maisha vijana wa kitanzania tunaelewa CCM ni kitu gani na imetufanyia nini katika maisha yetu; hivi kama sio serikali ya CCM ungesoma ? unegekuwa mpiga au muedesha bodaboda; nadhani umesahau ulivyokuwa unajidi India kaa chini uyakumbuke vizuri; leo unaadhirika mjini kwasababu elimu uliyonayo haikusaidii kimaisha wala kifikra matokeo yake ni hayo ya kutumiwa na kuvuliwa kama chupi. elimu uliyo nayo mwajiri mkubwa ni serikali ya JMT na huo ndio ulikuwa mtego wako; hivi kwa akili yako kituko kama wewe uajiriwe mambo ya nje ili iweje? Endelea kutumiwa na hao mabwana zako hapo Chadema na ukweli hawakutaki ila unajipendekeza; wewe ni nyoka mwenye sumu kali ya unafiki; hivi unafikiri Mbowe na Heche hawalijui hilo??? walitaka kukutumia kumamliza Zitto kazi ilikushinda ulichobaki ni kujipendekeza humu Jamii Forum ili uonekane ni mtetezi wa Mbowe; wewe ni mganga njaaa huna lolote la kuniambia maisha mgogoro ndio maana unajikombakomba!!! sasa unatumika kutengeneza email za uongo za viongozi angalia sana utaishia pabaya hivi hizi elimu za kihindi hazikundishi madhara ya athari ya kutengeneza vitu vya uongo na kuviweka kwenye mitandao??

-Bachelor of Business Administration(Hons)-First Class Honours

-M.A . Economics-Finance. -First Class

-M.A . International Relations-Second Class Upper

-Sponsored by Tanzanian Government

-Sponsored by Allahabad in collaboration with Glasgow University-Scotland.


KAZI:

ICICI Bank- Allahabad

Reliance Company

Alpha Group-General Manager

ANSI TIMBER-Consultant

Serikali ilinitega sio? Serikali ndio mwajiri pekee?

Sina tabia ya kupiga magoti kama mlivyotegemea.We"ll defeat you. Ni lazima tuamue hatima ya taifa letu

Usinitishe na kusomeshwa na serikali.Ni kodi ya watanzania na bado tunadai haki ya walionyimwa fursa ya kusoma

Sitakua upande mbaya wa historia ya wasomi wanaolihujumu taifa na vizazi vijavyo.Naungana na wasomi wazalendo,wakulima na wafanyakazi pamoja na walionyimwa fursa ya elimu bora kuutafuta ukombozi wa pili.Sitarudi nyuma.

Maneno ya kipuuzi kama uliyoandika hapo juu hayatanizuia katika mapambano haya.

Nilishinda katika mapambano nje ya Ardhi ya Tanzania ije iwe hapa ndani ya ardhi yetu.Never,Labda kama hunijui vizuri kwa sababu tunajadiliana JF tu.

Mungu akusamehe .Just do whatever you're doing for funny.

By the way,Weka CV yako kwa ufupi kama wewe ni jasiri ulinganishe na ya kwangu pamoja na hoja zetu tuone .Acha ujinga na usirudie tena maana inferiority complex itakua inakusumbua sana humu na kutukana watu usiowajua vizuri

Leta matokeo yako ya Advance kama ulishawahi kuhitimu.

Elimu ya darasani inatakiwa kukusaidia kufikiri kwenye uchambuzi critically na sio matusi.Umeonyesha kiwango cha juu cha ulimbukeni.
 
wewe mganga njaa Chama shule ya nguvu ipo kama huamini kama upo US sema nikupe mwaliko wa graduation sijasoma shule za uchochoroni India! Kudaadeki najiaminisha na ninachosema sina wasiwasi hata kidogo

Inasikitisha sana kama kweli wewe ndo unajiita msomi.....Hivi kwani hujui unaweza ukasoma ila usielimike.....?

Hayo yote sijui US na bla bla bla kibao sio kitu...Nimekwambia ili tujue usomi wako pangua hoja hapa jukwaani kweli tuseme wewe ni msomi na UMEELIMIKA......

Hata Le Mutuz nae pia kasoma ila nikama tahaira flani hivi.......Sasa wewe hoja ineletwa mezani badala ya kujadili unaleta porojo..
 
Mkuu chama

Utanipasua mbavu nakumbuka kuna siku nilikuwa India roho iliniuma sana kumuona ng'ombe anavuta kontena.


Ha ha ha ha,,,!!

Kwi kwi kwi..!!
chama unamskia Rits huku??

Jamaa anazingua sana
 
Last edited by a moderator:
Jamaa kasomea India vile vyuo vya uchochoroni mtu amekula dengu na mbaazi karibu miaka 3 akili yake lazima iwe finyu; na hasira imeongezeka zaidi baada ya kukosa kazi serikalini!

Weka facts nikuheshimu..
Mtajikuta Ben anawazidi akili kila siku kutokana na kuandika facts mara nyingi, na ninyi badala ya kumjibu kwa hoja na facts, mnamuattack kwa porojo na hoja dhaifu..

Ben anawazidi sana, tena mbali mno.. Ogopa unamuattack mtu unayemjua hata kwa sura, lakini bado anakuzidi ingali wewe ni anonymous, hakujui!
Anacheza na hoja!!
Sisifiagi ujinga mimi!
 
-Bachelor of Business Administration(Hons)-First Class Honours

-M.A . Economics-Finance. -First Class

-M.A . International Relations-Second Class Upper

-Sponsored by Tanzanian Government

-Sponsored by Allahabad in collaboration with Glasgow University-Scotland.


KAZI:

ICICI Bank- Allahabad

Reliance Company

Alpha Group-General Manager

ANSI TIMBER-Consultant

Serikali ilinitega sio? Serikali ndio mwajiri pekee?

Sina tabia ya kupiga magoti kama mlivyotegemea.We"ll defeat you. Ni lazima tuamue hatima ya taifa letu

Usinitishe na kusomeshwa na serikali.Ni kodi ya watanzania na bado tunadai haki ya walionyimwa fursa ya kusoma

Sitakua upande mbaya wa historia ya wasomi wanaolihujumu taifa na vizazi vijavyo.Naungana na wasomi wazalendo,wakulima na wafanyakazi pamoja na walionyimwa fursa ya elimu bora kuutafuta ukombozi wa pili.Sitarudi nyuma.

Maneno ya kipuuzi kama uliyoandika hapo juu hayatanizuia katika mapambano haya.

Nilishinda katika mapambano nje ya Ardhi ya Tanzania ije iwe hapa ndani ya ardhi yetu.Never,Labda kama hunijui vizuri kwa sababu tunajadiliana JF tu.

Mungu akusamehe .Just do whatever you're doing for funny.


And then unakuwa kibaraka wa Dr Slaa na Mchumba wake kuja kuwa msemaji wao??

You are nobody but A HOUSE NEGRO...!!
 
Jamaa kasomea India vile vyuo vya uchochoroni mtu amekula dengu na mbaazi karibu miaka 3 akili yake lazima iwe finyu; na hasira imeongezeka zaidi baada ya kukosa kazi serikalini! jamaa yake Yericko Nyerere alijitutumua eti kasoma China wakati hata cheti cha VETA hana hao ni waganga njaa wakubwa hapo mjini!

Ha ha ha!

Ona unavyoivua serikali yako nguo hapa.

Serikali ya Tanzania iliyonitafutia Chuo kikuu nje kupitia ubalozi wa Tanzania Ne Delh inatakiwa kushtakiwa kwa kutafuta vyuo vya Uchochoroni na kunilipia zaidi ya Milioni 12 kwa mwaka

Kodi ya watanzania ilitumika vibaya na hii ndio sababu ya ziada ya kuwatoa madarakani sambamba na kuwafungulia kesi ya madai kwa kunipotezea muda.Unasemaje?Tumia akili kabla hujapost humu

Nawe unajiita msomi?Ptuuu!
 
Last edited by a moderator:
Inasikitisha sana kama kweli wewe ndo unajiita msomi.....Hivi kwani hujui unaweza ukasoma ila usielimike.....?

Hayo yote sijui US na bla bla bla kibao sio kitu...Nimekwambia ili tujue usomi wako pangua hoja hapa jukwaani kweli tuseme wewe ni msomi na UMEELIMIKA......

Hata Le Mutuz nae pia kasoma ila nikama tahaira flani hivi.......Sasa wewe hoja ineletwa mezani badala ya kujadili unaleta porojo..

wewe tedo; ongea habari nyingine hii Chama imekuzidi umri!
 
Last edited by a moderator:
Pole mheshimiwa,ndio ukubwa huo.Siasa inahitaji ngozi ngumu vumilia yana mwisho hayo
 
Jamaa kasomea India vile vyuo vya uchochoroni mtu amekula dengu na mbaazi karibu miaka 3 akili yake lazima iwe finyu; na hasira imeongezeka zaidi baada ya kukosa kazi serikalini! jamaa yake Yericko Nyerere alijitutumua eti kasoma China wakati hata cheti cha VETA hana hao ni waganga njaa wakubwa hapo mjini!


Ha ha ha

NDIO KWA MAANA Dr.W.Slaa ana mtumia huyu jamaa kama kikaragosi chake aisee,,

DENGU MBAYA SANA,MIAKA YOTE HIYO MTU ANASHINDIA DENGU TUH??

Hatari sana
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha!

Ona unavyoivua serikali yako nguo hapa.

Serikali ya Tanzania iliyonitafutia Chuo kikuu nje kupitia ubalozi wa Tanzania Ne Delh inatakiwa kushtakiwa kwa kutafuta vyuo vya Uchochoroni na kunilipia zaidi ya Milioni 12 kwa mwaka

Kodi ya watanzania ilitumika vibaya na hii ndio sababu ya ziada ya kuwatoa madarakani sambamba na kuwafungulia kesi ya madai kwa kunipotezea muda.Unasemaje?Tumia akili kabla hujapost humu

Nawe unajiita msomi?Ptuuu!

Mimi msomi mzuri sana naishi matunda ya elimu yangu siishi kwa kulamba ------ watu; hivi wewe kwa akili hukujua kama chuo kile ni cha uchochoroni?? unalo hilo cheti kichambie hakikusaidii kimaisha wala kifikra! tena una bahati sana ishukuru CCM; mimi nimesoma mwenyewe kwa gharama zangu nimetumia zaidi ya US 50,000; sitaishi kwa kuramba ------ mtu wala sina mpango wa kuajiriwa na CCM wala serikali yake.
 
Ha ha ha!

Ona unavyoivua serikali yako nguo hapa.

Serikali ya Tanzania iliyonitafutia Chuo kikuu nje kupitia ubalozi wa Tanzania Ne Delh inatakiwa kushtakiwa kwa kutafuta vyuo vya Uchochoroni na kunilipia zaidi ya Milioni 12 kwa mwaka

Kodi ya watanzania ilitumika vibaya na hii ndio sababu ya ziada ya kuwatoa madarakani sambamba na kuwafungulia kesi ya madai kwa kunipotezea muda.Unasemaje?Tumia akili kabla hujapost humu

Nawe unajiita msomi?Ptuuu!


Tokea lin msomi akachaguliwa chuo cha kusoma na serikali??

Chuo kikuu kimekuwa kama kama elimu ya sekondari o level au advance kusema kwamba ni lazima usubiri gov'ment selection??

Tena nje ya nchi??labda kwa mfumo huu wa sasa wa T.C.U,LAKINI HAYO UNAYOYASEMA WEWE NI YALE YALE MAUZA UZA YA NJAA KALI MWENZAKO YERICKO,,

TUSHAWAPUUZA TOKEA MUDA MREFU SANA
 
Ha ha ha

NDIO KWA MAANA Dr.W.Slaa ana mtumia huyu jamaa kama kikaragosi chake aisee,,

DENGU MBAYA SANA,MIAKA YOTE HIYO MTU ANASHINDIA DENGU TUH??

Hatari sana

Mkuu hapo kwa Ben Saanane ni athari za dengu na mbaazi! hivi kwa vyeti anavyoonyesha kama angekuwa amesoma vyuo vya maana angehangaika na maisha leo hii?? kaa chini uyafikirie kwa makini!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom