Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Dah unamaanisha wanataka kwenda kupiga lipu makanisa? sasa hicho si kitu chema kabisa, au wewe unaonaje? Mimi nakukaribisha uje "kulipua" Msikitini utakuwa umefanya la maana, maana kuna misikiti mingi inahitaji kupigwa lipu.

Mradi usiripue tu.

=utawagharimu.

Wa Lumumba aka buku severn msiposimamisha magorofa mwaka huu basi mtakuwa watumiaji wabaya hizo book seven, maana wako busy usiku na mchana pengine ndiyo ajira walizopata.
 
Dah unamaanisha wanataka kwenda kupiga lipu makanisa? sasa hicho si kitu chema kabisa, au wewe unaonaje? Mimi nakukaribisha uje "kulipua" Msikitini utakuwa umefanya la maana, maana kuna misikiti mingi inahitaji kupigwa lipu.

Mradi usiripue tu.

=utawagharimu.

attachment.php

""
Subject: Fw: kazi nzuri
Date: Sunday, November 17, 2013 20:28
From: " Mwigulu Nchemba " >
To: "Emmanuel Nchimbi" < nchimbie@yahoo.com >

On Sunday, November 17, 2013 6:15:44 PM, Mwigulu Nchemba wrote:

sawa boss,,jumatano saa moja imekaa safi kabisa. tuchape kazi. ntakupa update nikitoka kuonana na zzk. mh. Lukuvi namtafuta punde

MN

2013/11/17 Emmanuel Nchimbi < nchimbie@yahoo.com >

bila shaka vijana wamefanya kazi nzuri sana. mapambano yanaendelea, hakuna kulala, hapa sasa tume lote livunjwe na huyo waryoba apumzishwe. mtafute mh. Lukuvi ana mazuri ya kuongea na wewe. kuna mapya pale ufipa, nimeshaongea na mh. zitto na amenipa brifieing .. tukutane jumatano basi jioni ya saa1 pale pale cheer,, Emma

Sent from my ipad

On Sunday, November 17, 2013 5:55:02 PM, Mwigulu Nchemba wrote:

Naona vijana wametekeleza shuguli vizuri, na cham imewakilishwa vizuri sana. Msangi jembe, sasa tutaipata katiba tunayoitaka hicho kikwazo kikishaondolewa bila shuruti. Alafu upande wa pili (cdm) inabidi tuongeze dau ili shujaa zzk abakie ndani, nasikia kuna mkakati wa kumtoa kwenye kinyang'anyiro. tujitahidi sana sana kumsaidia kujenga mtandao wa ndani apate u wenyekiti. taarifa zaidi za ndani zinasema wkamba wanajaribu kumfukuza kabla ya mwisho wa mwaka, tuendeleze vita hilo lisitokee, naona kundi ndani ya bavicha hasa hiyo mitoto inafanya sana mashambulizi lakini hawataweza. inabidi wadhibitiwe. rockup wiki mbili itawasambaratisha. Tuongeze kasi kwa wajumbe wa kamati kuu. wengi wao ni njaa sana nazani 5mil kila moja inatosha kabisa.wananifata sana kuomba hela ili wasaidie nakutana na ZZK baadae plae pa siku ile, unaweza kufika saa 1 jioni

MN
 
attachment.php


""
Subject: Fw: kazi nzuri
Date: Sunday, November 17, 2013 20:28
From: " Mwigulu Nchemba " >
To: "Emmanuel Nchimbi" < nchimbie@yahoo.com >

On Sunday, November 17, 2013 6:15:44 PM, Mwigulu Nchemba wrote:

sawa boss,,jumatano saa moja imekaa safi kabisa. tuchape kazi. ntakupa update nikitoka kuonana na zzk. mh. Lukuvi namtafuta punde

MN

2013/11/17 Emmanuel Nchimbi < nchimbie@yahoo.com >

bila shaka vijana wamefanya kazi nzuri sana. mapambano yanaendelea, hakuna kulala, hapa sasa tume lote livunjwe na huyo waryoba apumzishwe. mtafute mh. Lukuvi ana mazuri ya kuongea na wewe. kuna mapya pale ufipa, nimeshaongea na mh. zitto na amenipa brifieing .. tukutane jumatano basi jioni ya saa1 pale pale cheer,, Emma

Sent from my ipad

On Sunday, November 17, 2013 5:55:02 PM, Mwigulu Nchemba wrote:

Naona vijana wametekeleza shuguli vizuri, na cham imewakilishwa vizuri sana. Msangi jembe, sasa tutaipata katiba tunayoitaka hicho kikwazo kikishaondolewa bila shuruti. Alafu upande wa pili (cdm) inabidi tuongeze dau ili shujaa zzk abakie ndani, nasikia kuna mkakati wa kumtoa kwenye kinyang'anyiro. tujitahidi sana sana kumsaidia kujenga mtandao wa ndani apate u wenyekiti. taarifa zaidi za ndani zinasema wkamba wanajaribu kumfukuza kabla ya mwisho wa mwaka, tuendeleze vita hilo lisitokee, naona kundi ndani ya bavicha hasa hiyo mitoto inafanya sana mashambulizi lakini hawataweza. inabidi wadhibitiwe. rockup wiki mbili itawasambaratisha. Tuongeze kasi kwa wajumbe wa kamati kuu. wengi wao ni njaa sana nazani 5mil kila moja inatosha kabisa.wananifata sana kuomba hela ili wasaidie nakutana na ZZK baadae plae pa siku ile, unaweza kufika saa 1 jioni

MN


Duh, hivi ndio vile viwanda vya uongo.

Ilipoletwa hii kwa mara ya kwanza JF, nilisema "hata mtoto wa miaka 10" ataelewa kuwa huu ni uongo.

Wenyewe mnaona kitu cha maana? mnanchekesha!
 
Wa Lumumba aka buku severn msiposimamisha magorofa mwaka huu basi mtakuwa watumiaji wabaya hizo book seven, maana wako busy usiku na mchana pengine ndiyo ajira walizopata.

Mtasema sana, vipi? mambo yanageuka?

Babu anaona gharama kuwalipa viroba, sasa ni gongo kwa kwenda mbele. Jitayarishe.
 
CCM ya Kina Nyerere,Kawawa,Salim A Salim,Sokoine nk ilikuwa imejaa watu wenye busara na maadili sana,ila hii CCM iliyowapa nguvu Kina Mwigulu imeoza na inanuka na ni CHAKAVU,nadhani hawa watu wanatakiwa kubadilishwa kiwekwe chama kingine madarakani ili wajue kwamba hakuna aliye juu ya sheria,na CCM haiwatendei wema waasisi wake kwa kuwaachia watu Kama huyu jamaa Muuaji Mwigulu Nchemba nafasi Kama aliyonayo,alifaa kuwa mbunge wa kawaida sana wa kuongelea jimbo lake tu.
 
[/SIZE]
Duh, hivi ndio vile viwanda vya uongo.

Ilipoletwa hii kwa mara ya kwanza JF, nilisema "hata mtoto wa miaka 10" ataelewa kuwa huu ni uongo.

Wenyewe mnaona kitu cha maana? mnanchekesha!

Kwanza we labda ulikuwa mbeba viroba vya Nchimbi ndio maana unashinda humu kumtetea kwa nguvu zote. Kwanza humji vizuri, uniulize mie ninayemfahamu hata babake ambaye siku za nyuma alikuwa mbunge wa songea. Roho mbaya kama babake, nilishaandika habari hapa jinsi babake alivyokuwa na uroho wa kutaka kunyang'anya mali za vijana walioendelezwa na kanisa na kwa kutishia hata akamfunga padre aliyekuwa mlezi wa vijana hao ndani na kisha viongozi wa mkoa wakamfungua kwa vile walijua ni wivu wa kutaka kuchupa asipopanda. Mtoto wake Nchimbi Emauel naye yuko vile vile.

Ngojeni yuko nje ya offici Kikwete amemshika shati na kumvutia nje utaona mengi yanavyofumuliwa ambayo alikuwa anayaficha.
 
Haijawahi kutokea Ben akaanzisha au akasema kitu mwisho wa siku kisidhihiri kweli rejea kina Shonza na Mwampamba Mwigulu atachemka tu hapa na kukurupuka kwake.
 
Mwigulu Nchemba,

-Nilichoulizwa Polisi mbele ya mwanasheria wangu ndicho nilichoripoti.

-Sasa kama una updates nyingine it's none of my business

-Pia kumbe kuna vijana waliojitaja kuwa wameingilia mawasiliano?Sasa kulikua na haja gani ya Jeshi la polisi kuniita kama wapo vijana wa aina hiyo ?Unasema watakua wameitwa tu kwa kutengeneza email fake za viongozi bila malalamiko?

-Pia barua pepe hizi zilisambaa kwa kasi kwenye mitandao hata kwenye Thread yako uliyoanzisha tarehe 26.11.2013 .Hukutoa ufafanuzi

-Thread ilipoanzishwa ili utoe ufafanuzi ulikaa kimya now one month.Nilikutumia SMS utoe Ufafanuzi maana watu wataamini ni ukweli.Ukakaa kimya.

-Nilishtuka sana waliponiuliza ulipata wapi password ya Nchimbi.Pia niwasaidie kumjua aliyeweka Jamiiforums na kwenye mitandao.Na pia lengo langu la kuanzisha thread (Ku-recreate kwa maneno yao)ni nini?

-Sasa polisi niliwaambia wao watafute ni nani aliingilia mawasiliano hayo ambayo tulikubaliana ni kinyume cha sheria.Pia watafute chanzo na sehemu ambazo mawasiliano hayo yalipita maana lengo la kuanzisha thread kwa kufanya Copy and Paste ya kilichokua kinazunguka ni kuhakikisha wahusika ambao majina yanayofanana na ya Nchimbi na Mwigulu walitakiwa kutoa ufafanuzi na wewe ulikua online.Thread ilianzishwa at 13:51 na kisha masaa matatu baadae nikaona kimya kimezidi nikakutumia SMS wewe na Nchimbi ambao majina yanayofanana na yenu yalihusishwa .Niliwatumia SMS masaa 3 baadae exactly.Nitaiweka hapa na hata polisi niliwaonyesha kwa kuwa bado ipo ndani ya simu yangu na nilishaichapisha

Polisi walisema pia bado watamhoji Mhe. Nchimbi.Sijui kwanini so far haujahojiwa na Polisi

"Ben,Look at you.!"-By,Mwigulu Nchemba. (Sijui unamaanisha nini)

SMS niliyotuma ni hii

" Hon'ble Nchimbi,

Mawasiliano ya Barua pepe yanayoonyesha kati ya jina la Emmanuel Nchimbi na Mwigulu Nchemba kama yanavyosambaa JamiiForums na Mitandao mingine ya kijamii yanayoainisha njama ovu dhidi ya CHADEMA ni za kweli?Muda wote wahusika mmekaa kimya bila ufafanuzi sasa nimeanzisha thread ili mtoe ufafanuzi.Vinginevyo tutaendelea kuamini ni ukweli.

Mh.Mwigulu nawe umekua kimya pamoja na kuwa member wa JF na Facebook.Ben Saanane

CC:Mwigulu '"



mh. mwigulu usinichekeshe! hivi kweli pamoja na majukumu yote ya kichama na ubunge uliyonayo bado unapoteza muda wa kujibishana na hivi VICHINDA humu mtandaoni?!!! kwa ushauri tu ni kwamba hao jamaa, km huyo saanane (na wapo wengine wengi) wameandaliwa na wanawezeshwa vizuri kabisa kwa kazi hiyo tu ya kuzusha hili na lile au kubuni hiki na kile. litakuwa jambo la busara kwako kuwatupia kapuni kule na ujikite kwny majukumu uliyonayo kisha wakitupia upuuzi wowote humu basi we unawajibu kwa kuyaweka mafanikio ulioyapata km vile wanachama wapya mliyovuna n.k. lkn k namna hii utaumiza kichwa tu sababu kila siku wanacreate kitu kipya, hv hapo tayari wameshayabuni mengine kibao, likichuja hili wanaweka hili ili wakupotezee timing! piga kazi mkuu, 2015 tunataka asilimia 70+ na si ile 61 ingawa ilikuwa kubwa mno ukilinganisha na sijui 27 au 28 vile.
 
kuna watu ni mahiri kwa utunzi wa hadithi kama hawa makamanda wa CHADEMA, haiingii akilini mtu unayeonana nae kila mara bado umwamndikie email, ambapo mnaweza onana mda wowote na kujadili,

Wewe wa ajabu kweli.kwani hawa ni wanandoa mpaka waonane wakati wote?
 
Mtasema sana, vipi? mambo yanageuka?

Babu anaona gharama kuwalipa viroba, sasa ni gongo kwa kwenda mbele. Jitayarishe.
Andika maelezo yanayoonyesha uwezo wako wa kufikiri na kujenga hoja! Mi nachoshwa na Maneno ya taarabu.

Kila wakati gongo gongo gongo, hakuna jingine?
 
mh. mwigulu usinichekeshe! hivi kweli pamoja na majukumu yote ya kichama na ubunge uliyonayo bado unapoteza muda wa kujibishana na hivi VICHINDA humu mtandaoni?!!! kwa ushauri tu ni kwamba hao jamaa, km huyo saanane (na wapo wengine wengi) wameandaliwa na wanawezeshwa vizuri kabisa kwa kazi hiyo tu ya kuzusha hili na lile au kubuni hiki na kile. litakuwa jambo la busara kwako kuwatupia kapuni kule na ujikite kwny majukumu uliyonayo kisha wakitupia upuuzi wowote humu basi we unawajibu kwa kuyaweka mafanikio ulioyapata km vile wanachama wapya mliyovuna n.k. lkn k namna hii utaumiza kichwa tu sababu kila siku wanacreate kitu kipya, hv hapo tayari wameshayabuni mengine kibao, likichuja hili wanaweka hili ili wakupotezee timing! piga kazi mkuu, 2015 tunataka asilimia 70+ na si ile 61 ingawa ilikuwa kubwa mno ukilinganisha na sijui 27 au 28 vile.

Kwa nini unamfundisha mtu mzima kazi za kufanya? Wee ni mgeni ndani ya JF. Meseji hii ulistahili uitume kwake tu maana kwa wengine Haina matumizi. Hapa lete hoja. Jibizana na mtu kwa hoja.

Jaribu pia kujifunza uandikaji. Weka aya ili msomaji aweze kufuatilia kwa urahisi. Bado kuna mengi ya kujifunza usiwe na haraka ya kuchangia baada tu ya kujiunga, hata kama unalipwa.

JINDUNGA
Join Date : 22nd December 2013
Posts : 5
Rep Power : 302
Likes Received 1
Likes Given 1
 
And then unakuwa kibaraka wa Dr Slaa na Mchumba wake kuja kuwa msemaji wao??

You are nobody but A HOUSE NEGRO...!!
THE BIG SHOW vipi kuhusu gesi ya Mtwara? Nikikumbuka posts zako wakati unapambana kupata haki ya wanakusini kutokana na gesi,sikutegemea kama utabadilika hivi. Mmeshapata mnachokitaka? Au umeamua kusaliti jamii yako baada ya wewe kutupiwa fupa? Sawa umeamua kubadilika,matusi ya nini badala ya kujenga hoja?Bado naamini wewe ni kati ya wastaarabu.
 
Jamaa kasomea India vile vyuo vya uchochoroni mtu amekula dengu na mbaazi karibu miaka 3 akili yake lazima iwe finyu; na hasira imeongezeka zaidi baada ya kukosa kazi serikalini! jamaa yake Yericko Nyerere alijitutumua eti kasoma China wakati hata cheti cha VETA hana hao ni waganga njaa wakubwa hapo mjini!

Mkuu leo kubali tu umezidiwa kwa hoja,unaonaje ukipumzika kwa muda ukaupa muda ubongo wako kutulia?
 
Last edited by a moderator:
Mwigulu Nchemba na Nchimbi najisikiaje kusherekea sikukuu ya xmass na damu za mauaji zikiwa mikononi mwenu na kwenye nyuso zenu?
 
Last edited by a moderator:
wewe mganga njaa Ben Saanane; elimu usiyoitumia ina manufaa gani? ni sawa kuwa na jembe na kuliweka chini ya uvungu wa kitanda; wewe ni hasira za maisha vijana wa kitanzania tunaelewa CCM ni kitu gani na imetufanyia nini katika maisha yetu; hivi kama sio serikali ya CCM ungesoma ? unegekuwa mpiga au muedesha bodaboda; nadhani umesahau ulivyokuwa unajidi India kaa chini uyakumbuke vizuri; leo unaadhirika mjini kwasababu elimu uliyonayo haikusaidii kimaisha wala kifikra matokeo yake ni hayo ya kutumiwa na kuvuliwa kama chupi. elimu uliyo nayo mwajiri mkubwa ni serikali ya JMT na huo ndio ulikuwa mtego wako; hivi kwa akili yako kituko kama wewe uajiriwe mambo ya nje ili iweje? Endelea kutumiwa na hao mabwana zako hapo Chadema na ukweli hawakutaki ila unajipendekeza; wewe ni nyoka mwenye sumu kali ya unafiki; hivi unafikiri Mbowe na Heche hawalijui hilo??? walitaka kukutumia kumamliza Zitto kazi ilikushinda ulichobaki ni kujipendekeza humu Jamii Forum ili uonekane ni mtetezi wa Mbowe; wewe ni mganga njaaa huna lolote la kuniambia maisha mgogoro ndio maana unajikombakomba!!! sasa unatumika kutengeneza email za uongo za viongozi angalia sana utaishia pabaya hivi hizi elimu za kihindi hazikundishi madhara ya athari ya kutengeneza vitu vya uongo na kuviweka kwenye mitandao??

Yaan wewe ni mjinga na mpu.mbvu kabisa,unaona serikali kukusomesha ndio kete ya kuitetea.Je,akina Prof.Lipumba walisomeshwa na nani kama sio serikali? Huu ni ushamba na unaonesha ni jinc gani ulivyo mzembe kufikiri. Kumbe wewe serikali inaweza hata kukfnyia lolote kisa tu imekusomesha? Wajinga kama wew ndio bado mko ccm.
 
mimi naamini hayo mawasiliano ni ya kweli na yaliingiliwa,mm siwezi kukuamini tena Nchemba baada ya kuhindwa kutoa ushahidi mbinguni dhidi ya Lwakàtare na cdm
NB ni muhimu chadema kutumia njia zozote ili kulinda uhai wake!
 
Yaan wewe ni mjinga na mpu.mbvu kabisa,unaona serikali kukusomesha ndio kete ya kuitetea.Je,akina Prof.Lipumba walisomeshwa na nani kama sio serikali? Huu ni ushamba na unaonesha ni jinc gani ulivyo mzembe kufikiri. Kumbe wewe serikali inaweza hata kukfnyia lolote kisa tu imekusomesha? Wajinga kama wew ndio bado mko ccm.

natamani angekuwa ni wazazi wake au yeye mwenyewe aliyebakwa kisha kuingiziwa chupa sehemu za siri, au kugongewa msumari 6" kichwani mpaka kufa labda akili ingekaa sawa..
 
Sijawahi kuwa mlamba viatu vya mtu hata siku moja,hiyo elimu yako ya dengu imekusaidia nini zaidi yakupiga majungu tu pale ufipa?
Msomi gani aliyeshindwa kujitegemea na kusimama mwenyewe? Umekaa kutumwa kama house Boy kulamba viatu vya kina Mbowe ndio mwisho wa elimu yako?

Ningekua mlamba viatu au mtu wa kuburuzwa ningekua CCM leo hii.Natumia taaluma yangu ipasavyo na imenisaidia katika umri mdogo tofauti na wewe mtu mzima mwenye familia unashinda mitandaoni kutukana watu halafu unajidai kuwa una familia.Huna hata basic qualifications za kuwa mzazi.Hata kama elimu ya darasani hauna lakini pia common sense na busara zingekuongoza jinsi ya kujadiliana on public forums.Unaidhalilisha familia yako.

Kwa kukusaidia,Sitajadiliana na wewe zaidi ya kukuelimisha hapa.Asubuhi njema na isalimie familia na uwe mkweli uiombe radhi kwa kuja kuidhalilisha kiasi hicho humu.

Post zako zilizopita ni aibu kwa mtu mwenye family ambayo ni decent.Kuibadili taswira ya Jamii ni lazima tuanzie na malezi kwenye family Level.Sasa kwa post zako hizi hazionyeshi dalili nzuri na zinatoa taswira nzima ya family na waliokuzunguka.Jiheshimu na omba radhi familia yako kama unaiheshimu
 
Back
Top Bottom