WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Na itakuja kuwa hivyo siku moja.Mungu ni fundi.In whichever way lakini hakuwa na msafara wa ma LC 300 kumi yenye vibao BAJETI KUU
Mimi bado nina imani atakuja kutokea kiongozi atawahukumu hawa kina Mwigulu kwa matendo yao. Mungu anipe uzima tu nishuhudie haya
