Kuna wakati maneno ya watu kama P.W.Botha, D.J.Trump na wengineo yanaonekana kuwa na ukweli kabisa. Ngozi nyeusi ina tatizo kubwa sana, huo msfara wote na bado bajeti yenyewe ni tegemezi, bado safari zisizoisha kwenda kuombaomba.Mwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024.
Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024.
Huu ni ulimbukeni, ushamba au ujinga.
View attachment 3016883
LIPA KODI KWA MAENDELEO (YAO) YAKO