Mwigulu Vs Jeremy Hunt Waziri wa Fedha UK

Mwigulu Vs Jeremy Hunt Waziri wa Fedha UK

Bajeti ambayo maandalizi yake yamesimamiwa na mtu mwenye fikra duni kama huyo, itakuwa na nini cha maana?? Hakuna lolote la maana zaidi ya mbwembwe za kijinga kama alivyoonesha tangu kuanza safari yake toka nyumvani kuelekea bungeni kwa msafara wa kipuuzi wenye ving'ora.
Yani haumtaki wala kumkubali kabisa.Mimi siwezi kumsamehe alivyotuambia kwa dharau kwamba tuhamie Burundi.Mawaziri wengi(si wote)wa fedha hapa Tanzania huwa wanatoa kauli za kuudhi sana.
 
Mwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024.

Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024.

Huu ni ulimbukeni, ushamba au ujinga.

View attachment 3016883
LIPA KODI KWA MAENDELEO (YAO) YAKO
Tanzania ni nchi Tajiri kama alivyosema MAGUFULI, na utajiri wetu jana tumeuonyesha!
Mlitaka twende na IST bungeni?
 
Dah!Kwa hiyo Mwigulu alitakiwa atembee kwa miguu kutoka wizarani hadi bungeni?Vitu vingine ni vidogo sana.Hasira zetu za maisha magumu tusimuhamishie jamaa.
Hapana, hayo hajasema. Lakini mtu mnyenyekevu asingetaka mbembwe zote hizo. Kwani hivyo ndivyo anavyoenda Bungeni siku zote? Au serikali haioni kwamba hizo escort ni gharama?
 
Hapana, hayo hajasema. Lakini mtu mnyenyekevu asingetaka mbembwe zote hizo. Kwani hivyo ndivyo anavyoenda Bungeni siku zote? Au serikali haioni kwamba hizo escort ni gharama?
Escort si gharama, serikali haina hasara hata siku moja.
Wakihitaji fedha wanaongeza shilingi moja tu kwenye bando ndani ya wiki wana bilioni za kutosha.
Umesahau Serikali inanunua magoli ya yanga na simba kwa milioni tano?
 
Escort si gharama, serikali haina hasara hata siku moja.
Wakihitaji fedha wanaongeza shilingi moja tu kwenye bando ndani ya wiki wana bilioni za kutosha.
Umesahau Serikali inanunua magoli ya yanga na simba kwa milioni tano?
Tatizo ni kwamba viongozi wa Tanzania wamekubuhu kuwapuuza wananchi, kujiona ni miungu watu na kufanya wanachotaka, wakijua wananchi hawatafanya chochote. Ngoja siku JWTZ waanze kukerwa na hizi tabia za viongozi. Majeshi ya nchi nyingi Afrika yameanza kutiwa motisha na mapinduzi ya Bukina Faso na Niger, na viongozi wetu hawalioni hilo, wamejisahau kabisa katika anasa zao.
 
Kwa hio Billion 15 USD ni zaidi ya Billion 1200 USD, kuna yule Mmarekani aliwachana akasema Hawa viongozi wa Africa wanatumia Pesa kula Bata sio kuwasaidia Wananchi

jiulize kabla ya mapinduzi kuna waziri wa fedha aliyejikweza kama mwigulu? haya mambo ya ving‘ora hayakuwepo kabla unafikiri imetokea tu?
 
Huwa nawaambia sijawahi kuona msafara mkubwa 🇬🇧
Hata wanaposhuka airport utaona pikipiki 3 tu na Gari 3 kwisha hata awe king
Barabara inazuiliwa dakika tu zikipita na sisi tunaendelea na safari zetu

Msifananishe hizi nchi mbili maana moja ni maskini jeuri na nyingine tajiri wasiokuwa na makuu
 
Mwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024.

Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024.

Huu ni ulimbukeni, ushamba au ujinga.

View attachment 3016883
LIPA KODI KWA MAENDELEO (YAO) YAKO
Kazi iendeleee..................CCM oyeeee... CCM itatawala Tanzania daima mpaka hapo mutakapo amka WADANGANYIKA............
 
Tatizo ni kwamba viongozi wa Tanzania wamekubuhu kuwapuuza wananchi, kujiona ni miungu watu na kufanya wanachotaka, wakijua wananchi hawatafanya chochote. Ngoja siku JWTZ waanze kukerwa na hizi tabia za viongozi. Majeshi ya nchi nyingi Afrika yameanza kutiwa motisha na mapinduzi ya Bukina Faso na Niger, na viongozi wetu hawalioni hilo, wamejisahau kabisa katika anasa zao.
Hao viongozi wanatoka kwenye jami na wamekubaliana na kinachoendelea.
 
Dah!Kwa hiyo Mwigulu alitakiwa atembee kwa miguu kutoka wizarani hadi bungeni?Vitu vingine ni vidogo sana.Hasira zetu za maisha magumu tusimuhamishie jamaa.
Angeenda na gari lake kama kawaida, angepungukiwa nini, angetumia gari yenye plate namba ya waziri kawaida ingemcost nini? Kuto fanya hivyo hakuongezi ugali mezani kwa mwananchi ila inaonyesha maturity and seriousness
 
Back
Top Bottom