WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Na itakuja kuwa hivyo siku moja.Mungu ni fundi.In whichever way lakini hakuwa na msafara wa ma LC 300 kumi yenye vibao BAJETI KUU
Mimi bado nina imani atakuja kutokea kiongozi atawahukumu hawa kina Mwigulu kwa matendo yao. Mungu anipe uzima tu nishuhudie haya
Hatuwezi fika mbali kwa hizo hoja hata kama ni ndugu yako Mwigulu anaboa balaa.Hatuna jema.Hata angetembea kwa magoti barabara yote,bado angeambiwa anaigiza tu.Tutaacha yaliyomo kwenye bajeti tuanze kujadili uzungukaji wa matairi ya gari la waziri yanavyojizungusha kwa madaha.
Waafrika ni washenzi tuMwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024.
Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024.
Huu ni ulimbukeni, ushamba au ujinga.
View attachment 3016883
LIPA KODI KWA MAENDELEO (YAO) YAKO
Uwezo wako wa kuelewa ni mdogo sanaDah!Kwa hiyo Mwigulu alitakiwa atembee kwa miguu kutoka wizarani hadi bungeni?Vitu vingine ni vidogo sana.Hasira zetu za maisha magumu tusimuhamishie jamaa.
Mambo mengine ni ya aibu sana.Ingekuwa nchi zenye viongozi wenye busara angekuwa hana kaziMwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024.
Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024.
Huu ni ulimbukeni, ushamba au ujinga.
View attachment 3016883
LIPA KODI KWA MAENDELEO (YAO) YAKO
Dah,this is news to me.Really?ana demostrate power, siyo ulimbukeni wala ushamba bali ni power aliyonayo, huyo wa uingereza ni waziri tu wa fedha can be fired muda wowote, mwigulu hufukuziki ni mhimili unaojitegemea …
Shida sisi watanzania ni waoga Kenya kodi ikibanda kidogo watu wanaandamana lakini bongo watu wanaishia kulalamika chini kwa chini haswa hapa jfUK hawana mbunga za wanyama, bahari, mito, madini, ardhi na mifugo lakini ni matajiri wa kutupwa sisi tuna viongozi wajinga haswa
Ndiyo hitimisho lako la kufikiria?Such a stupid girl!Uwezo wako wa kuelewa ni mdogo sana
We ni wivu tu unakusumbua,Mwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024.
Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024.
Huu ni ulimbukeni, ushamba au ujinga.
View attachment 3016883
LIPA KODI KWA MAENDELEO (YAO) YAKO
Tunaongozwa na majangili tupuSijui nani alituloga waafrika
CCM imetujengea uoga wa kijinga snShida sisi watanzania ni waoga Kenya kodi ikibanda kidogo watu wanaandamana lakini bongo watu wanaishia kulalamika chini kwa chini haswa hapa jf
Kabisa lo