Mwigulu Vs Jeremy Hunt Waziri wa Fedha UK

In whichever way lakini hakuwa na msafara wa ma LC 300 kumi yenye vibao BAJETI KUU

Mimi bado nina imani atakuja kutokea kiongozi atawahukumu hawa kina Mwigulu kwa matendo yao. Mungu anipe uzima tu nishuhudie haya
Na itakuja kuwa hivyo siku moja.Mungu ni fundi.
 
Mambo mengine ni ya aibu sana.Ingekuwa nchi zenye viongozi wenye busara angekuwa hana kazi
 
ana demostrate power, siyo ulimbukeni wala ushamba bali ni power aliyonayo, huyo wa uingereza ni waziri tu wa fedha can be fired muda wowote, mwigulu hufukuziki ni mhimili unaojitegemea …
Dah,this is news to me.Really?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…