Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
Habari nilizozipata mtangazaji wa Clouds FM kachukua fomu ya kugombania uspika baada ya spika wa bunge la Tanzania kujiuzulu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atumie ile video yake ya kikubwa kuombea kuraHabari nilizozipata mtangazaji wa Clouds FM kuchukua fomu ya kugombania uspika baada ya spika wa bunge la Tanzania kujiuzulu.
Chanzo Clouds FM
Akijua fika hawezi shinda.Hio ni Publicity na kuuza Sura kwa gharama ya 1m Tshs
Chadema iliwahi kuongoza NchiHuu ndo utamu wa demokrasia ndani ya CCM lakini CHADEMA hakuna kinachofanyika kwa sababu Mwenyekiti wao yupo ndani
Hayaaa! Unajibanza kwenye demokrasia halafu ni kama unataka iwe "lazima" kwa CHADEMA?Kwa nini wasiwe NRA?Au unataka tu CHADEMA itumike kushiriki hizo chaguzi za kihuni ili mataifa mengine na wafadhili/mabeberu waone Tanzania kuna demokrasia?Huu ndo utamu wa demokrasia ndani ya CCM lakini CHADEMA hakuna kinachofanyika kwa sababu Mwenyekiti wao yupo ndani
Hakuna lolote subiri 2025 tutaona chama kitachapa fomu ngapi za uraisHuu ndo utamu wa demokrasia ndani ya CCM lakini CHADEMA hakuna kinachofanyika kwa sababu Mwenyekiti wao yupo ndani