Mwijaku achukua fomu ya kuteuliwa kugombania Uspika

Mwijaku achukua fomu ya kuteuliwa kugombania Uspika

Habari nilizozipata mtangazaji wa Clouds FM kuchukua fomu ya kugombania uspika baada ya spika wa bunge la Tanzania kujiuzulu.

Siasa zetu hazijawahi kuwa serious kama zingekuwa serious hata wapuuzi kama hawa wasingethubutu kuleta hizi Comedy japo ndio ana haki kikatiba ila haya ni matusi kwa siasa zetu na ndio maana hata baadhi ya viongozi wetu wa serikali hawajawahi kuwa serious.

Yaleyale ya ndugu zetu walio amini Mama Manunu wa Maana kisa ana mtaji wa watu Social networks.

images (40).jpeg
images (39).jpeg
 
Master Oogway from Kung Fu Panda 🐼 “to make something special, you’ve got to make people believe it’s special”.

CCM wamefanya nafasi za ma DC, RC, wakuregenzi wa wilaya na mikoa, wabunge, wakurugenzi wa mashirika ya umma; kila mtu anaweza.

Sasa wameanza kwenda juu kunajisi sifa za mtu anaeweza kuwa speaker. Mtazamo wa mtu una akisi tabia zake; hawa watu awapo serious tena kutuongoza.

Makamu wa raisi anawashutumu mawaziri kwa uchawi whilst addressing the nation awajui ata muda gani wa kuwa professionalis simply ni kwamba CCM inatuchukulia poa.
 
Mwijaku amewaacha wengi humu kwa status,fedha, umaarufu,elimu, ujanja nk.
Mwijaku ana digrii mbili UDSM na Mzumbe.
Kila mtu ana haki ya kugombea nafasi.
Kuna watu wanajifanya wana maadili sana kumbe ndio majizi makubwa.
Bongo wajinga wengi sana....fedha,umaarufu,ujanja ndio qualifications za kuwa spika!? Umedanganywa.

Mwijaku ana status gani? Kucheza porn?

Degree ata ziwe 10 bado unaweza kuwa haujaelimika...mjinga,matendo ndio yanakufanya uonekana unafaa au lah na sio elimu.
 
Siasa zetu hazijawahi kuwa serious kama zingekuwa serious hata wapuuzi kama hawa wasingethubutu kuleta hizi Comedy japo ndio ana haki kikatiba ila haya ni matusi kwa siasa zetu na ndio maana hata baadhi ya viongozi wetu wa serikali hawajawahi kuwa serious.

Yaleyale ya ndugu zetu walio amini Mama Manunu wa Maana kisa ana mtaji wa watu Social networks.

View attachment 2080892View attachment 2080893
CDM walimkaribisha Wema kama mwanachama, nadhani mshangao na kebehi zako ungezielekeza kwa CCM waliompa nafasi ya kugombea ubunge.
 
Mwijaku amewaacha wengi humu kwa status,fedha, umaarufu,elimu, ujanja nk.
Mwijaku ana digrii mbili UDSM na Mzumbe.
Kila mtu ana haki ya kugombea nafasi.
Kuna watu wanajifanya wana maadili sana kumbe ndio majizi makubwa.
Thermometer ina degree 100 lakini inaishia kwapani tu.

Huu ujinga muwe mnashare hukohuko kwenye mitandao ya Meta.
 
CDM walimkaribisha Wema kama mwanachama, nadhani mshangao na kebehi zako ungezielekeza kwa CCM waliompa nafasi ya kugombea ubunge.
Hakukua na nafasi kipindi hicho, ila kwa kauli yao "Wema ana mtaji wa watu Social networks......",kama kungekuwa na nafasi angegombea,kumbuka hata hao wanao chukua form ni wanachama.
 
Nafikiri ni vyema sasa tukachagua watu humu ndani ya jf, halafu tiwapigie kura mpaka apatikane mmoja akachukue fomu ya kugombea uspika, nasema uongo ndugu zangu?
 
Hakukua na nafasi kipindi hicho, ila kwa kauli yao "Wema ana mtaji wa watu Social networks......",kama kungekuwa na nafasi angegombea,kumbuka hata hao wanao chukua form ni wanachama.
Sasa kuna tatizo gani juu ya hilo ikiwa hata CCM iliwahi fanya hivyo hivyo, sikia sina tatizo na chama chochote kumpa yeyote kadi ya uanachama au nafasi ya kugombea. Nina tatizo na wewe kuishangaa CDM na kuiacha CCM as if haijawahi kufanya hayo. Hii tuiiteje? Btw, nimeshakusoma sehemu nyingi una tatizo na CDM, ambayo ni haki yako..... Wakati huo huo ukiiponda CDM, unaowashabikia wanafanya hayo hayo na pengine worse zaidi.

Hata hivyo ni haki yako, nilitaka tu kukumbusha uache unafiki!
 
Sasa kuna tatizo gani juu ya hilo ikiwa hata CCM iliwahi fanya hivyo hivyo, sikia sina tatizo na chama chochote kumpa yeyote kadi ya uanachama au nafasi ya kugombea. Nina tatizo na wewe kuishangaa CDM na kuiacha CCM as if haijawahi kufanya hayo. Hii tuiiteje? Btw, nimeshakusoma sehemu nyingi una tatizo na CDM, ambayo ni haki yako..... Wakati huo huo ukiiponda CDM, unaowashabikia wanafanya hayo hayo na pengine worse zaidi.

Hata hivyo ni haki yako, nilitaka tu kukumbusha uache unafiki!
S
Sasa kuna tatizo gani juu ya hilo ikiwa hata CCM iliwahi fanya hivyo hivyo, sikia sina tatizo na chama chochote kumpa yeyote kadi ya uanachama au nafasi ya kugombea. Nina tatizo na wewe kuishangaa CDM na kuiacha CCM as if haijawahi kufanya hayo. Hii tuiiteje? Btw, nimeshakusoma sehemu nyingi una tatizo na CDM, ambayo ni haki yako..... Wakati huo huo ukiiponda CDM, unaowashabikia wanafanya hayo hayo na pengine worse zaidi.

Hata hivyo ni haki yako, nilitaka tu kukumbusha uache unafiki!
Naona na ww una mihemko na chama chako, hiko chama mimi nishakuwa kada tokea 2009 mpaka 2015,tena frontline kuanzia mtaani mpaka chuoni (sikulazimishi ukubali).

Hebu soma paragraph ya kwanza niliyo iandika...

"Siasa zetu hazijawahi kuwa serious kama zingekuwa serious hata wapuuzi kama hawa wasingethubutu kuleta hizi Comedy japo ndio ana haki kikatiba ila haya ni matusi kwa siasa zetu na ndio maana hata baadhi ya viongozi wetu wa serikali hawajawahi kuwa serious."

Hapo kwenye wapuuzi kama hawa (mf Mwijaku, wema.....(unaweza ukaongeza wengineo)),nimetumia lugha jumuishi.

Halafu hii ni demokrasia so kama unakosoa wenzio nawe kubali kukosolewa.
 
Back
Top Bottom