Mwijaku achukua fomu ya kuteuliwa kugombania Uspika

Mwijaku achukua fomu ya kuteuliwa kugombania Uspika

Mwijaku amewaacha wengi humu kwa status,fedha, umaarufu,elimu, ujanja nk.
Mwijaku ana digrii mbili UDSM na Mzumbe.
Kila mtu ana haki ya kugombea nafasi.
Kuna watu wanajifanya wana maadili sana kumbe ndio majizi makubwa.
Unataka kutuaminisha ukiwa na Degree teyari unaakili sawia?
 
Back
Top Bottom