Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Lini bunge litatangaza utaratibu wa kugombea hiyo nafasi kwa watu vyama vyote?Huu ndo utamu wa demokrasia ndani ya CCM lakini CHADEMA hakuna kinachofanyika kwa sababu Mwenyekiti wao yupo ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini bunge litatangaza utaratibu wa kugombea hiyo nafasi kwa watu vyama vyote?Huu ndo utamu wa demokrasia ndani ya CCM lakini CHADEMA hakuna kinachofanyika kwa sababu Mwenyekiti wao yupo ndani
Burton naye anautaka?Habari nilizozipata mtangazaji wa Clouds FM kuchukua fomu ya kugombania uspika baada ya spika wa bunge la Tanzania kujiuzulu.
kuna wacheza X wabunge pia. Hii nchi ni ya kipekee.Hadi wacheza X wanachukua fomu za kiti cha uspika..?!
Huu ndo utamu wa demokrasia ndani ya CCM lakini CHADEMA hakuna kinachofanyika kwa sababu Mwenyekiti wao yupo ndani
ama kweli vijana wameiona fursa.Habari nilizozipata mtangazaji wa Clouds FM kuchukua fomu ya kugombania uspika baada ya spika wa bunge la Tanzania kujiuzulu.
wee unauhakika gani kama huko bungeni hakuna mashoga? na hukohuko ndiko hutoka wa kwenda kuchukua hizo fomu za kugombea uraisTunapo elekea hadi mashoga watachukua fomu ya kugombea uraisi wa nchi
Kila mTanzania ana haki sawa. Punguza kuwaza ujinga.Huu muhimili sasa dharau zimezidi
Nafasi ya Spika Ndugai ameinajisi imeonekana ni nafasi ya hovyo mtu yoyote anaweza kuwa SpikaMtangazaji wa Clouds FM kipindi cha leo tena Burton Mwemba maarufu kwa jina la MWIJAKU amefika katka ofisi za CCM lumumba DSM kuchukua fomu ya kugombea kiti cha uspika wa bunge,
Fomu hizo zinatolewa ili kupata mtu atakae ziba pengo la Mh Dugai aliejihuzuru hivi karbuni.View attachment 2080733
Hata kichaa anaweza kuwa SpikaMwijaku amewaacha wengi humu kwa status,fedha, umaarufu,elimu, ujanja nk.
Mwijaku ana digrii mbili UDSM na Mzumbe.
Kila mtu ana haki ya kugombea nafasi.
Kuna watu wanajifanya wana maadili sana kumbe ndio majizi makubwa.
Unataka akachukue kwa jina gani? Mrangi au ?Jf members mbona tunaangushana
Mkachukue form
Ova
Kabisa...Ndugai Mungu anamuona kwa kudunisha nafasi ya spika kiasi kila mtu anafikiri anaweza kuimudu nafasi hiyo people the like of Musukuma, Mwijaku are just mockery to the position!Mmmh, Udhalilishaji wa nafasi ya uspika
Dogo Mwijaku ndo nani?Habari nilizozipata mtangazaji wa Clouds FM kuchukua fomu ya kugombania uspika baada ya spika wa bunge la Tanzania kujiuzulu.