Mwijaku amwandikia Waraka Mzito Masoud Kipanya, adai anafanya biashara haramu

Mwijaku amwandikia Waraka Mzito Masoud Kipanya, adai anafanya biashara haramu

Mbona yule dogo alie mpandisha mwijaku Rolls-Royce dubai ni tapeli, (Ibrahim inano Katapeli watu wanalia huko YouTube)

Wanajifanya pesa mtandaoni Kisha kaja na issue za copycus investment kalala mbele na hela za watu

Unaposema wenzio wana promote vitu viovu mbona na yeye anapromote scammers
 
Kitu kimoja watu wengi hawakijui na ni kama trend watu wanaofanya baishara zenye kiza wengi wao hata wanasiasa huwa ni watu wema sana na watu wa kawaida sana ndani ya jamii.
Ukiwahi kukutana na " Babu" alias Mtama mchungu ukiongea nae huwezi jua kama huyu mtu ni mafia maana ni mtu mcheshi, habagui na hana muenekano ulio na wasiwasi. na anaswali swala tano. Utaweza kumtambua tuu sababu ya substance inayotoka akilini mwake utajua huyu mtu ni intelligent and travelled a lot.
samahanini waislamu ila wauza ngada wengi wa kiislamu msikitini ni swala tano, wanasaidia sana jamii, wacheshi ila ukiingia kwenye 18 zao ndio utajua rangi zao.
 
May be Ndio maana makonda aliendaga bila taarifa na mitutu kufanya ukaguzi pale clouds then wakazusha alienda kuwavamia I think makonda alipata data kuhusu kinachoendelea nyuma ya clouds

Lakini wale watu wananguvu ya kujiprotect na serikali kwa KIASI chake wameishika mfano nape na clouds ni pete na kidole na hata aling'olewa na JPM kwa kusimama upande wa clouds Wakati ule akiwa waziri wa mawasiliano na HABARI

Nafikiri up to now makonda na clouds haviwaki
 
Back
Top Bottom