Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Acha tu wamuone mwijaku mzee wa kubwabwaja,masud ni namba mbayaTuulize watoto wa Magomeni kuhusu Masoud Kipanya!!! Kwa kifupi jamaa ni Mafia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu wamuone mwijaku mzee wa kubwabwaja,masud ni namba mbayaTuulize watoto wa Magomeni kuhusu Masoud Kipanya!!! Kwa kifupi jamaa ni Mafia!
Billion 1.3 sio 2Kwaiyo masoud anataka Jumba la mwinjaku la Bil 2 liuzwe.?
Kivip mkuu 😁Acha tu wamuone mwijaku mzee wa kubwabwaja,masud ni namba mbaya
Umenikumbusha mafia moja ya Kariakoo ilikuwa inatoa sadaka misikitini na mtaani ni mtu mwema sana.Kitu kimoja watu wengi hawakijui na ni kama trend watu wanaofanya baishara zenye kiza wengi wao hata wanasiasa huwa ni watu wema sana na watu wa kawaida sana ndani ya jamii.
Ukiwahi kukutana na " Babu" alias Mtama mchungu ukiongea nae huwezi jua kama huyu mtu ni mafia maana ni mtu mcheshi, habagui na hana muenekano ulio na wasiwasi. na anaswali swala tano. Utaweza kumtambua tuu sababu ya substance inayotoka akilini mwake utajua huyu mtu ni intelligent and travelled a lot.
samahanini waislamu ila wauza ngada wengi wa kiislamu msikitini ni swala tano, wanasaidia sana jamii, wacheshi ila ukiingia kwenye 18 zao ndio utajua rangi zao.
Lopolopo Bashite ajue kuna ngada asiseme?😂😂May be Ndio maana makonda aliendaga bila taarifa na mitutu kufanya ukaguzi pale clouds then wakazusha alienda kuwavamia I think makonda alipata data kuhusu kinachoendelea nyuma ya clouds
Lakini wale watu wananguvu ya kujiprotect na serikali kwa KIASI chake wameishika mfano nape na clouds ni pete na kidole na hata aling'olewa na JPM kwa kusimama upande wa clouds Wakati ule akiwa waziri wa mawasiliano na HABARI
Nafikiri up to now makonda na clouds haviwaki
Madudu na ana degree 2 zote za UDSMMkuu, Kwani huyo Jamaa kaandika nini? Sijajua alichoandika.
Kile kigorofa uchwara thamani yake haizidi m200Kwaiyo masoud anataka Jumba la mwinjaku la Bil 2 liuzwe.?
Alisema B 1.3 Ila za Mchongo MaKile kigorofa uchwara thamani yake haizidi m200
Ila kuwa na degree 2 au hata zaidi hakumfanyi mtu akawa anajua kila kitu.Madudu na ana degree 2 zote za UDSM
Ndio ndio kabisa MkuuIla kuwa na degree 2 au hata zaidi hakumfanyi mtu akawa anajua kila kitu.
(A jack of all Trades). Labda alichosomea huko hadi kupata degree ni cha fani tofauti na hivyo tukirudi kwenye hiki alichoandika, inawezekana ameandika tu kama layman mwingine.
Ils watz wanachukulia poa sana thamani ya pesa..vyombo vya uchunguzi vikiwa serious tutakimbia magari yetu.Masoud ni Moja ya born town kuhusu deal chafu siwezi kabisa kusema hapana au ndio masoud kaendesha Benz wakati kusaga akiendesha Pajero kitambo sana "kwa kuchora katuni"
Sio kazi mbili mbili yule kweli 🤔Masoud ni Moja ya born town kuhusu deal chafu siwezi kabisa kusema hapana au ndio masoud kaendesha Benz wakati kusaga akiendesha Pajero kitambo sana "kwa kuchora katuni"