Mwijaku amwandikia Waraka Mzito Masoud Kipanya, adai anafanya biashara haramu

Mwijaku amwandikia Waraka Mzito Masoud Kipanya, adai anafanya biashara haramu

Masudi mtoto wa magomeni pale karibu na ekenywa hospital,primary mwamba kapiga mzimuni badala ya karume ambapo ni mita 100 tu toka nyumbani kwao,kwa tunaomjua masud tunasema acha tu waone mwijaku ni mropokaji ila kapiga mule mule
HIvi jamaa ana miaka mingapi? Niko primary naona katuni zake... sasa hivi mimi mzee kabisa.. au alirithi kazi ya uchoraji kutoka kwa mshua wake labda?
 
Ila bongo ukitoboa tu chuki zinaanza, mara freemason mara mzungu wa poda..
 
JF kuwajadili mashoga kama huyu Mwijaku ni kuishushia heshima na viwango JF yetu.

Huu upuuzi mwingine muwe mnauacha hukohuko Instagram.
Naunga Mkono hoja

Kuna habari za kizushi zinazopaswa kuishia huko facebook na Insta na kuna habari za kujadiliwa humu JF

Hizi za kina Shoga Mwijaku ni takataka mbichi
 
Back
Top Bottom