Mwijaku amwandikia Waraka Mzito Masoud Kipanya, adai anafanya biashara haramu

Mwijaku amwandikia Waraka Mzito Masoud Kipanya, adai anafanya biashara haramu

Nilitaka nishangae kweli kuchora katibu kunalipa kiasi kile asante mwijaku kutusanua
Unatakiwa kujua maisha ya mjini yamewakuta kina masoud na maana kwamba kama kupiga pesa washapiga kunyonya wasanii, kusimamia event mbali mbali, kuongoza harakati mbali mbali kwenye media nk mfano mdogo tu idea ya maisha plus kama umaskini unauaga mikataba ya wadhamini na pesa walizojipatia nk so masoud kuwa na maisha si jambo la kushangaa cause kuna vitu vingi washafanya kabla kina mwijaku hawajaja mjini wao washavifanya kama umarufu na uchawa washafanya masoud is famous kuanzia kiongozi wa nchi namba moja nchi hii marehemu nyerere kafa anamjua masoud ni nani awamu zote unazozijia nchi hii mpaka sasa mama kizimkazi anamjua masoud ni nani na anaushawishi upi kwenye jamii ya kitanzania wanamjua kwa kazi yake ya kikatuni pengini nikukumbushe unakumbuka kipindi cha sakata la kuteka teka watu kupotea ikaja tarifa masoud kachukuliwa na watu wasiojulikana uliona reaction yake jamii ilivyochukulia

KP angeamua awe kiongozi wa kisiasa nchi hii angepata cause yupo kwenye game kitambo anajua figisu zote na kurob mifumo nk anajua hata angetaka teuzi angepata cause anajua A to Z kwakua ashajipata na anajua ukweli wa mambo katulia zake clouds anafanya anachopenda so mtu kama mwijaku kumtusi masoud ni dharau kubwa sana mwijaku kaonyesha kuwa ni ushamba na kamjua masoud baada ya kuja mjini hana profile la masoud pamoja na kukaa naye clouds hakumjua KP cause masoud ana uwezo kuwatengeneza kina mwijaku 50 mjini katika mwaka mmoja ila mwijaku hana uwezo kuwatengeza kina KP hata mmoja mjini

Kwaiyo ukisikia masoud kipanya is brand born town kitambo anajua mambo
 
Unatakiwa kujua maisha ya mjini yamewakuta kina masoud na maana kwamba kama kupiga pesa washapiga kunyonya wasanii, kusimamia event mbali mbali, kuongoza harakati mbali mbali kwenye media nk mfano mdogo tu idea ya maisha plus kama umaskini unauaga mikataba ya wadhamini na pesa walizojipatia nk so masoud kuwa na maisha si jambo la kushangaa cause kuna vitu vingi washafanya kabla kina mwijaku hawajaja mjini wao washavifanya kama umarufu na uchawa washafanya masoud is famous kuanzia kiongozi wa nchi namba moja nchi hii marehemu nyerere kafa anamjua masoud ni nani awamu zote unazozijia nchi hii mpaka sasa mama kizimkazi anamjua masoud ni nani na anaushawishi upi kwenye jamii ya kitanzania wanamjua kwa kazi yake ya kikatuni pengini nikukumbushe unakumbuka kipindi cha sakata la kuteka teka watu kupotea ikaja tarifa masoud kachukuliwa na watu wasiojulikana uliona reaction yake jamii ilivyochukulia

KP angeamua awe kiongozi wa kisiasa nchi hii angepata cause yupo kwenye game kitambo anajua figisu zote na kurob mifumo nk anajua hata angetaka teuzi angepata cause anajua A to Z kwakua ashajipata na anajua ukweli wa mambo katulia zake clouds anafanya anachopenda so mtu kama mwijaku kumtusi masoud ni dharau kubwa sana mwijaku kaonyesha kuwa ni ushamba na kamjua masoud baada ya kuja mjini hana profile la masoud pamoja na kukaa naye clouds hakumjua KP cause masoud ana uwezo kuwatengeneza kina mwijaku 50 mjini katika mwaka mmoja ila mwijaku hana uwezo kuwatengeza kina KP hata mmoja mjini

Kwaiyo ukisikia masoud kipanya is brand born town kitambo anajua mambo
Mbona nguvu nyingi kwenye utetezi vp !!??

Ww chawa nini?
 
Unatakiwa kujua maisha ya mjini yamewakuta kina masoud na maana kwamba kama kupiga pesa washapiga kunyonya wasanii, kusimamia event mbali mbali, kuongoza harakati mbali mbali kwenye media nk mfano mdogo tu idea ya maisha plus kama umaskini unauaga mikataba ya wadhamini na pesa walizojipatia nk so masoud kuwa na maisha si jambo la kushangaa cause kuna vitu vingi washafanya kabla kina mwijaku hawajaja mjini wao washavifanya kama umarufu na uchawa washafanya masoud is famous kuanzia kiongozi wa nchi namba moja nchi hii marehemu nyerere kafa anamjua masoud ni nani awamu zote unazozijia nchi hii mpaka sasa mama kizimkazi anamjua masoud ni nani na anaushawishi upi kwenye jamii ya kitanzania wanamjua kwa kazi yake ya kikatuni pengini nikukumbushe unakumbuka kipindi cha sakata la kuteka teka watu kupotea ikaja tarifa masoud kachukuliwa na watu wasiojulikana uliona reaction yake jamii ilivyochukulia

KP angeamua awe kiongozi wa kisiasa nchi hii angepata cause yupo kwenye game kitambo anajua figisu zote na kurob mifumo nk anajua hata angetaka teuzi angepata cause anajua A to Z kwakua ashajipata na anajua ukweli wa mambo katulia zake clouds anafanya anachopenda so mtu kama mwijaku kumtusi masoud ni dharau kubwa sana mwijaku kaonyesha kuwa ni ushamba na kamjua masoud baada ya kuja mjini hana profile la masoud pamoja na kukaa naye clouds hakumjua KP cause masoud ana uwezo kuwatengeneza kina mwijaku 50 mjini katika mwaka mmoja ila mwijaku hana uwezo kuwatengeza kina KP hata mmoja mjini

Kwaiyo ukisikia masoud kipanya is brand born town kitambo anajua mambo
Kweli kabisa. Masoud ni legend anaeishi.
 

Pia Soma:

Kwa uandishi huu huyu jamaa ni mpumbavu
Lakini Hawa wapumbavu ndo ccm inawatumia kutawala

Tunayo safari ndefu tuendako
 
Unatakiwa kujua maisha ya mjini yamewakuta kina masoud na maana kwamba kama kupiga pesa washapiga kunyonya wasanii, kusimamia event mbali mbali, kuongoza harakati mbali mbali kwenye media nk mfano mdogo tu idea ya maisha plus kama umaskini unauaga mikataba ya wadhamini na pesa walizojipatia nk so masoud kuwa na maisha si jambo la kushangaa cause kuna vitu vingi washafanya kabla kina mwijaku hawajaja mjini wao washavifanya kama umarufu na uchawa washafanya masoud is famous kuanzia kiongozi wa nchi namba moja nchi hii marehemu nyerere kafa anamjua masoud ni nani awamu zote unazozijia nchi hii mpaka sasa mama kizimkazi anamjua masoud ni nani na anaushawishi upi kwenye jamii ya kitanzania wanamjua kwa kazi yake ya kikatuni pengini nikukumbushe unakumbuka kipindi cha sakata la kuteka teka watu kupotea ikaja tarifa masoud kachukuliwa na watu wasiojulikana uliona reaction yake jamii ilivyochukulia

KP angeamua awe kiongozi wa kisiasa nchi hii angepata cause yupo kwenye game kitambo anajua figisu zote na kurob mifumo nk anajua hata angetaka teuzi angepata cause anajua A to Z kwakua ashajipata na anajua ukweli wa mambo katulia zake clouds anafanya anachopenda so mtu kama mwijaku kumtusi masoud ni dharau kubwa sana mwijaku kaonyesha kuwa ni ushamba na kamjua masoud baada ya kuja mjini hana profile la masoud pamoja na kukaa naye clouds hakumjua KP cause masoud ana uwezo kuwatengeneza kina mwijaku 50 mjini katika mwaka mmoja ila mwijaku hana uwezo kuwatengeza kina KP hata mmoja mjini

Kwaiyo ukisikia masoud kipanya is brand born town kitambo anajua mambo
Nakazia mkuu.

100% correct
 
Duh!
anafanya biashara haramu?!!
Mwijaku tafadhali ufike polisi ili uweze kulisaidia Jeshi la Polisi.
Mwijaku tafadhali fika ktk kituo cha polisi ili utoe ufafanuzi juu ya biashara haramu anayo ifanya ili hatua kali zichukuliwe haraka.
 
Masoud ni Moja ya born town kuhusu deal chafu siwezi kabisa kusema hapana au ndio masoud kaendesha Benz wakati kusaga akiendesha Pajero kitambo sana "kwa kuchora katuni"
Masudi mtoto wa magomeni pale karibu na ekenywa hospital,primary mwamba kapiga mzimuni badala ya karume ambapo ni mita 100 tu toka nyumbani kwao,kwa tunaomjua masud tunasema acha tu waone mwijaku ni mropokaji ila kapiga mule mule
 
Back
Top Bottom