city bookstore
JF-Expert Member
- Oct 27, 2022
- 375
- 987
Dogo wapalestina wanazidi kuuwawa huko GazzaHuu muandiko ukiuangalia tu unajua tu ... One Man Down (OMD)
Ushoga na uchawa vinatenganishwa na mstari mdogo sana...
Wapalestina wanapigana vita ya ukombozi, vita ya kishujaa, sio huku mnanyonywa mmekaa kimya tu.Dogo wapalestina wanazidi kuuwawa huko Gazza
Tuulize watoto wa Magomeni kuhusu Masoud Kipanya!!! Kwa kifupi jamaa ni Mafia!Masoud ni Moja ya born town kuhusu deal chafu siwezi kabisa kusema hapana au ndio masoud kaendesha Benz wakati kusaga akiendesha Pajero kitambo sana "kwa kuchora katuni"
Sikutaka kusema umetoboa, na kuna zingine mbili kaziainisha , ila tuyaache hizi ni issue binafsi UKute hata yeye nae ametumwa" Umekua mwiba kwa vijana kuharibikiwa maisha yao"
Kwa maneno hayo tumeshajua hiyo biashara haramu ambayo mlalamikaji anaizungumza
SubhanAllah!🤔Mwijaku uwa ni Bwabwa ila Masoud na clouds yake mwijaku anajua uhalamu wanaoufanya.
Kwakuwa tuhuma alizotoa ni nzito iwapo atashtakiwa..Sasa mbona nasikia karudisha mpira kwa kipa ( kaomba radhi) ?...
Duuu! Tupe info mkuuTuulize watoto wa Magomeni kuhusu Masoud Kipanya!!! Kwa kifupi jamaa ni Mafia!
Naomba kuuliza, Watoto wa Magomeni mna tofauti na Watoto wa Kino?Tuulize watoto wa Magomeni kuhusu Masoud Kipanya!!! Kwa kifupi jamaa ni Mafia!
Kipanya yeye amekaushia hizo shutuma za Mwijaku?.Kwakuwa tuhuma alizotoa ni nzito iwapo atashtakiwa..
ila meseji SENT ni muuza NGADA
yapu kakaushaKipanya yeye amekaushia hizo shutuma za Mwijaku?.
Naunga mkono hoja ya DrJF kuwajadili mashoga kama huyu Mwijaku ni kuishushia heshima na viwango JF yetu.
Huu upuuzi mwingine muwe mnauacha hukohuko Instagram.
Nifah atakuwa anafahamu coz amekaa Magomeni kitambo ingawaje hakuzaliwa na kukulia lakini info atakuwa nazo za kutosha kwani source zake ni kali!Duuu! Tupe info mkuu
Anauza madawa au anakundi la kukaba watu?Tuulize watoto wa Magomeni kuhusu Masoud Kipanya!!! Kwa kifupi jamaa ni Mafia!
Tena yuko seat ya mbelee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili Mwijaku nae yuko kwenye foleni ya kuitwa mwana...me