Mwijaku amwandikia Waraka Mzito Masoud Kipanya, adai anafanya biashara haramu

anafanya biashara haramu?!!
Mwijaku tafadhali ufike polisi ili uweze kulisaidia Jeshi la Polisi.
Mwijaku tafadhali fika ktk kituo cha polisi ili utoe ufafanuzi juu ya biashara haramu anayo ifanya ili hatua kali zichukuliwe dhidi yake.
 
Umenikumbusha mafia moja ya Kariakoo ilikuwa inatoa sadaka misikitini na mtaani ni mtu mwema sana.

Lakini blood Handy
 
Lopolopo Bashite ajue kuna ngada asiseme?😂😂
 
Madudu na ana degree 2 zote za UDSM
Ila kuwa na degree 2 au hata zaidi hakumfanyi mtu akawa anajua kila kitu.
(A jack of all Trades). Labda alichosomea huko hadi kupata degree ni cha fani tofauti na hivyo tukirudi kwenye hiki alichoandika, inawezekana ameandika tu kama layman mwingine.
 
Ndio ndio kabisa Mkuu
 
Huyu Mwijaku kama Nabii Tito, iko siku atakuja kutwambia lini alianza kuwa bwabwa na nani alimfanya awe bwabwa kazidi mdomo, yani duh.
 
Masoud ni Moja ya born town kuhusu deal chafu siwezi kabisa kusema hapana au ndio masoud kaendesha Benz wakati kusaga akiendesha Pajero kitambo sana "kwa kuchora katuni"
Ils watz wanachukulia poa sana thamani ya pesa..vyombo vya uchunguzi vikiwa serious tutakimbia magari yetu.
 
Wengi wasichokielewa pia hawa watu walio kwenye tasnia ya habari, utangazaji, upiga picha na media houses wengi ni part ya mfumo wa usalama wa nchi. Wajua mtu kama masoud uki mrecruit kama asset anaweza aka gather lots of information sababu ana fanya kazi nyingi na NGOs hasa za elimu zinazotomia fine art, Masoud marekani anaendaga kwa mialiko ya serikali ya marekani kwenye trainings and capacity building kupitia fine arts. Si rahisi sana mtu kama huyu kujihusisha na mambo ya kihuni. Embassy kama Us ina screen sana stakeholders wake.
 
Masoud ni Moja ya born town kuhusu deal chafu siwezi kabisa kusema hapana au ndio masoud kaendesha Benz wakati kusaga akiendesha Pajero kitambo sana "kwa kuchora katuni"
Sio kazi mbili mbili yule kweli 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…