Mwijaku kuhusu H Baba kujitoa Konde Gang, mwanaume unaomba hela kwa mwanaume mwenzako, utamlipaje?

Mwijaku kuhusu H Baba kujitoa Konde Gang, mwanaume unaomba hela kwa mwanaume mwenzako, utamlipaje?

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mwijaku kaulizwa kuhusu H Baba kujitoa Konde Ganga na kuonyesha kuelekeza nguvu upande wa pili wa kuwa ‘chawa’ wa Wasafi chini ya Diamond Platinumz, ameyasema haya katika sehemu ya mazungumzo yake:

“Mimi siwezi kukaa naomba hela, mke wangu atanionaje, mwanaume unakaa unaomba hela, nina afya nashukuru Mungu kanipa afya nzuri nafafanya kazi.

“Utalipa kitu gani ukiomba hela kwa mwanaume mwenzako? Mwanamke akiomba atapata hela kwa mwanaume anafadhila ya kulipa, utapata mabusu, atakubimba bimba, atakupetipeti, utaona hela yangu imeenda kihalali.

“Mwanaume unaomba hela kwa mwanaume mwenzio tena unaomba hela ya kodi, mshipa umekusimama unaomba hela, utamlipaje?”

show.jpg
 
Huyo anayemsema H baba na yeye wote walewale hamna tofauti.

Ila sijui kwa nini machawa wote ni watoto wa kiume, kila mara kuwafuata fuata na kuwasifia wanaume wenzao mpaka unahisi may be wamezisaliti jinsia zao.
 
Huyo anayemsema H baba na yeye wote walewale hamna tofauti.

Ila sijui kwa nini machawa wote ni watoto wa kiume, kila mara kuwafuata fuata na kuwasifia wanaume wenzao mpaka unahisi may be wamezisaliti jinsia zao.
Wanawake hawawezi kuwa machawa, kwani uwoya hukumsikia akifafanua kuhusu wale machawa wake, kwann n wanaume tupu na sio wanawake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjini hapa, akili tyuuh, nguvu ni huko kijijini. Uwiiiiiih
 
Wanawake hawawezi kuwa machawa, kwani uwoya hukumsikia akifafanua kuhusu wale machawa wake, kwann n wanaume tupu na sio wanawake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjini hapa, akili tyuuh, nguvu ni huko kijijini. Uwiiiiiih
Wapo wanawake machawi ila hawaitwi machawa, mfano enzi za snura na wema wakawa wanamwita mbeba pochi wa wema.
Mwanamke akiwa chawa kwamwanaume anaishia kuliwa.
 
H Baba angebaki kwa Konde... WCB hawezi kuwa na impact yoyote yeye achukue elfu 20 hizo za Hamo maisha yaende. Ajafikia levels za kupewa gari au deals za mamilion kichwa chake kitupu sana kama mtoto wa darasa la 4.

Mwijaku na BabaLevo wanajitoa akili ila sio wajinga ndio maana watu wanaweka hela. Hbaba ni mtindio.
 
Ningeshangaa sana kama wewe chawa wa WCB usingekuja kutapika hapa.
H Baba angebaki kwa Konde... WCB hawezi kuwa na impact yoyote yeye achukue elfu 20 hizo za Hamo maisha yaende. Ajafikia levels za kupewa gari au deals za mamilion kichwa chake kitupu sana kama mtoto wa darasa la 4.

Mwijaku na BabaLevo wanajitoa akili ila sio wajinga ndio maana watu wanaweka hela. Hbaba ni mtindio.
 
Maisha haya, h baba kafulia mpaka anataka kurud kwao mwanza, anapewa Ela ya kodi na mwanaume mwenziwe, Sasa anajipendekeza kwa mond.
 
Wapo wanawake machawi ila hawaitwi machawa, mfano enzi za snura na wema wakawa wanamwita mbeba pochi wa wema.
Mwanamke akiwa chawa kwamwanaume anaishia kuliwa.
Na mwanaume kwa mwanaume kwann asiitwe mbeba wallet, ila chawa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila uchawa wa mwanaume kwa mwanaume kuna tatzo kidogo lol.
 
H Baba angebaki kwa Konde... WCB hawezi kuwa na impact yoyote yeye achukue elfu 20 hizo za Hamo maisha yaende. Ajafikia levels za kupewa gari au deals za mamilion kichwa chake kitupu sana kama mtoto wa darasa la 4.

Mwijaku na BabaLevo wanajitoa akili ila sio wajinga ndio maana watu wanaweka hela. Hbaba ni mtindio.
Baba levo acha wivu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na mwanaume kwa mwanaume kwann asiitwe mbeba wallet, ila chawa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila uchawa wa mwanaume kwa mwanaume kuna tatzo kidogo lol.
Kwa mwanaume labda aitwe mbeba wallet 😂😂
Siku hizi machawa kama hawafake basi wana maisha mazuri kuliko sisi wenye videgree vyetu
 
Kwa mwanaume labda aitwe mbeba wallet [emoji23][emoji23]
Siku hizi machawa kama hawafake basi wana maisha mazuri kuliko sisi wenye videgree vyetu
Maisha mazuri wapi? Hata wasanii wao wenyew n fakes tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine wana biashara binafsi zao, ila wansingizia uchawa just km connection vile.
 
Maisha mazuri wapi? Hata wasanii wao wenyew n fakes tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine wana biashara binafsi zao, ila wansingizia uchawa just km connection vile.
Bongo fakero wengi, ni ngumu kujua yupi anazungumza ukweli na yupi muongo, una watu wanakunywa ma hannessy tu sijui uwa wanaomba wapige picha na chupa au aje.... Sasa ngoja waugue ndo unabaki haaa¡
 
Back
Top Bottom