FACT OF LIFE. Hawa Jamaa wamejizima data vichwani lakini ndio maisha yanaenda hivyo, watukane, wakejeli, wakashfu lakini mara leo wameingia mkataba huu mara kesho ule.
Ndivyo dunia ya kibepari ilivyo sio kwamba hawana akili timamu, wanazo. Wameamua tu kuzima data. Wakati mwingine ukijifanya una akili sana maisha hayaendi maana hizi ni zama za Capitalism duniani. Watoto wao ndio watatumia akili nzuri, si wanapelekwa shule nzuri kwa sasa?
Wao Mwijaku na Baba Levo wamejifanya wamezima data kidogo maisha yaende. Kahesabu maelfu ya vijana wanaograduate kila mwaka na kukosa ajira.
Kipato cha mwijaku na baba levo kwa mwaka ni zaidi ya wasomi wengi sana Tanzania
Ndivyo dunia ya kibepari ilivyo sio kwamba hawana akili timamu, wanazo. Wameamua tu kuzima data. Wakati mwingine ukijifanya una akili sana maisha hayaendi maana hizi ni zama za Capitalism duniani. Watoto wao ndio watatumia akili nzuri, si wanapelekwa shule nzuri kwa sasa?
Wao Mwijaku na Baba Levo wamejifanya wamezima data kidogo maisha yaende. Kahesabu maelfu ya vijana wanaograduate kila mwaka na kukosa ajira.
Kipato cha mwijaku na baba levo kwa mwaka ni zaidi ya wasomi wengi sana Tanzania