Mwijaku na Baba Levo wanapata utajiri kwa kujifanya wajinga, huku Wasomi wanalia njaa

Mwijaku na Baba Levo wanapata utajiri kwa kujifanya wajinga, huku Wasomi wanalia njaa

Hao uwezo wao wa akili umeishia hapo , Tanzania haiwez toa nafas hata 20 za watu kujifanya fyatu kama hao vilaza na wote wakamake money , hata hvyo nchi ina nafas nyingi Zaid katika field nyingi zaidi Kwa watu kufanya .... Hii nchi ina wazembe wengi na wapenda umbea thus why hao machawa wanatembea ....na makampuni badala ya kuwekeza kwa vijana wanaotoa mwanga mfano wale vijana wa Arusha waliotengeneza bajaji , badala yake kampuni linalofanya vitu scientifically linapeleka endorsement Kwa machawa walioishia la Saba ..
Wako wapi hao vijana?
 
Hao wasomi "wakizima data" mnaanza kuwaita wasomi uchwara. Profesa Lipumba alizima data akashambuliwa, Dr Slaa nae alizima data akashambuliwa juzi kati hapa Profesa mmoja alizima data na kutoa ripoti mchongo ya maji ya mto Mara hakukukalika, wapumzisheni basi hao wasomi wakizima data Mwijaku na Baba Levo yatosha!
Usisahau yule aliyezima data akaenda kuibukia jalalani
 
Hao wasomi "wakizima data" mnaanza kuwaita wasomi uchwara. Profesa Lipumba alizima data akashambuliwa, Dr Slaa nae alizima data akashambuliwa juzi kati hapa Profesa mmoja alizima data na kutoa ripoti mchongo ya maji ya mto Mara hakukukalika, wapumzisheni basi hao wasomi wakizima data Mwijaku na Baba Levo yatosha!
Kuna mmoja alijizima data na kusema pamoja na uprof wake lakini kaokotwa majalalani wakaanza kumshambulia... Binadam hawana jema kabisa
 
FACT OF LIFE. Hawa Jamaa wamejizima data vichwani lakini ndio maisha yanaenda hivyo, watukane, wakejeli, wakashfu lakini mara leo wameingia mkataba huu mara kesho ule.

Ndivyo dunia ya kibepari ilivyo sio kwamba hawana akili timamu, wanazo. Wameamua tu kuzima data. Wakati mwingine ukijifanya una akili sana maisha hayaendi maana hizi ni zama za Capitalism duniani. Watoto wao ndio watatumia akili nzuri, si wanapelekwa shule nzuri kwa sasa?

Wao Mwijaku na Baba Levo wamejifanya wamezima data kidogo maisha yaende. Kahesabu maelfu ya vijana wanaograduate kila mwaka na kukosa ajira.

Kipato cha mwijaku na baba levo kwa mwaka ni zaidi ya wasomi wengi sana Tanzania
Smart don't make much in life
 
FACT OF LIFE. Hawa Jamaa wamejizima data vichwani lakini ndio maisha yanaenda hivyo, watukane, wakejeli, wakashfu lakini mara leo wameingia mkataba huu mara kesho ule.

Ndivyo dunia ya kibepari ilivyo sio kwamba hawana akili timamu, wanazo. Wameamua tu kuzima data. Wakati mwingine ukijifanya una akili sana maisha hayaendi maana hizi ni zama za Capitalism duniani. Watoto wao ndio watatumia akili nzuri, si wanapelekwa shule nzuri kwa sasa?

Wao Mwijaku na Baba Levo wamejifanya wamezima data kidogo maisha yaende. Kahesabu maelfu ya vijana wanaograduate kila mwaka na kukosa ajira.

Kipato cha mwijaku na baba levo kwa mwaka ni zaidi ya wasomi wengi sana Tanzania
Kwani mwijaku sio graduate?
 
Kuna mmoja alijizima data na kusema pamoja na uprof wake lakini kaokotwa majalalani wakaanza kumshambulia... Binadam hawana jema kabisa
Kuna yule mwingine alikuwa mkuu wa Mkoa Morogoro...alivyotumbuliwa akazima data na kuanza kujitetea kuwa nimekosa mie! nimekosa mie! weeeeeh! wananzengo walivyomshukia we acha tu!
 
Hao wasomi "wakizima data" mnaanza kuwaita wasomi uchwara. Profesa Lipumba alizima data akashambuliwa, Dr Slaa nae alizima data akashambuliwa juzi kati hapa Profesa mmoja alizima data na kutoa ripoti mchongo ya maji ya mto Mara hakukukalika, wapumzisheni basi hao wasomi wakizima data Mwijaku na Baba Levo yatosha!
Nimecheka mbavu cna woiiiiih. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pamoja na yote, utu ni muhimu kuliko pesa na pia kila mtu anatafsiri utajiri kwa namna yake. Mbona wasomi wengi tuna utajiri na maisha yanaendelea sio mpaka ujidharirishe.
 
Kesho ukiskia wamepakwa kulainisha kisa kuzima data, Rudi usifie tena
Wapakwe Mara ngapi mkuu

Kaz.kubwa waliyonayo kwa Sasa n kubana vijambio vyao kinyesi kisitoke nje n Kaz ngumu Sana wanayo kwa sasa
 
Back
Top Bottom