kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
I better stay poor on earth and die poorest but money can't buy DIGNITY.
[mention]Kelsea [/mention] hapa kasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I better stay poor on earth and die poorest but money can't buy DIGNITY.
Wako wapi hao vijana?Hao uwezo wao wa akili umeishia hapo , Tanzania haiwez toa nafas hata 20 za watu kujifanya fyatu kama hao vilaza na wote wakamake money , hata hvyo nchi ina nafas nyingi Zaid katika field nyingi zaidi Kwa watu kufanya .... Hii nchi ina wazembe wengi na wapenda umbea thus why hao machawa wanatembea ....na makampuni badala ya kuwekeza kwa vijana wanaotoa mwanga mfano wale vijana wa Arusha waliotengeneza bajaji , badala yake kampuni linalofanya vitu scientifically linapeleka endorsement Kwa machawa walioishia la Saba ..
Washafunikwa na drama za machawaWako wapi hao vijana?
Usisahau yule aliyezima data akaenda kuibukia jalalaniHao wasomi "wakizima data" mnaanza kuwaita wasomi uchwara. Profesa Lipumba alizima data akashambuliwa, Dr Slaa nae alizima data akashambuliwa juzi kati hapa Profesa mmoja alizima data na kutoa ripoti mchongo ya maji ya mto Mara hakukukalika, wapumzisheni basi hao wasomi wakizima data Mwijaku na Baba Levo yatosha!
Kuna mmoja alijizima data na kusema pamoja na uprof wake lakini kaokotwa majalalani wakaanza kumshambulia... Binadam hawana jema kabisaHao wasomi "wakizima data" mnaanza kuwaita wasomi uchwara. Profesa Lipumba alizima data akashambuliwa, Dr Slaa nae alizima data akashambuliwa juzi kati hapa Profesa mmoja alizima data na kutoa ripoti mchongo ya maji ya mto Mara hakukukalika, wapumzisheni basi hao wasomi wakizima data Mwijaku na Baba Levo yatosha!
Unaweza niunganisha nao?Washafunikwa na drama za machawa
Smart don't make much in lifeFACT OF LIFE. Hawa Jamaa wamejizima data vichwani lakini ndio maisha yanaenda hivyo, watukane, wakejeli, wakashfu lakini mara leo wameingia mkataba huu mara kesho ule.
Ndivyo dunia ya kibepari ilivyo sio kwamba hawana akili timamu, wanazo. Wameamua tu kuzima data. Wakati mwingine ukijifanya una akili sana maisha hayaendi maana hizi ni zama za Capitalism duniani. Watoto wao ndio watatumia akili nzuri, si wanapelekwa shule nzuri kwa sasa?
Wao Mwijaku na Baba Levo wamejifanya wamezima data kidogo maisha yaende. Kahesabu maelfu ya vijana wanaograduate kila mwaka na kukosa ajira.
Kipato cha mwijaku na baba levo kwa mwaka ni zaidi ya wasomi wengi sana Tanzania
Kwani mwijaku sio graduate?FACT OF LIFE. Hawa Jamaa wamejizima data vichwani lakini ndio maisha yanaenda hivyo, watukane, wakejeli, wakashfu lakini mara leo wameingia mkataba huu mara kesho ule.
Ndivyo dunia ya kibepari ilivyo sio kwamba hawana akili timamu, wanazo. Wameamua tu kuzima data. Wakati mwingine ukijifanya una akili sana maisha hayaendi maana hizi ni zama za Capitalism duniani. Watoto wao ndio watatumia akili nzuri, si wanapelekwa shule nzuri kwa sasa?
Wao Mwijaku na Baba Levo wamejifanya wamezima data kidogo maisha yaende. Kahesabu maelfu ya vijana wanaograduate kila mwaka na kukosa ajira.
Kipato cha mwijaku na baba levo kwa mwaka ni zaidi ya wasomi wengi sana Tanzania
Kuna yule mwingine alikuwa mkuu wa Mkoa Morogoro...alivyotumbuliwa akazima data na kuanza kujitetea kuwa nimekosa mie! nimekosa mie! weeeeeh! wananzengo walivyomshukia we acha tu!Kuna mmoja alijizima data na kusema pamoja na uprof wake lakini kaokotwa majalalani wakaanza kumshambulia... Binadam hawana jema kabisa
"Kila mjinga na fani yake"Almajunuunu fununu
Ila umesahau kitu. Huwezi kuwa na dignity ukiwa masikini. Ni kanuni ya maisha!I better stay poor on earth and die poorest but money can't buy DIGNITY.
Nimecheka mbavu cna woiiiiih. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao wasomi "wakizima data" mnaanza kuwaita wasomi uchwara. Profesa Lipumba alizima data akashambuliwa, Dr Slaa nae alizima data akashambuliwa juzi kati hapa Profesa mmoja alizima data na kutoa ripoti mchongo ya maji ya mto Mara hakukukalika, wapumzisheni basi hao wasomi wakizima data Mwijaku na Baba Levo yatosha!
Acha weee, kanuni yako hiyo bwana mdogo. Naomba unisaidie, nini maana ya umaskini na unapimwaje?Ila umesahau kitu. Huwezi kuwa na dignity ukiwa masikini. Ni kanuni ya maisha!
Wapakwe Mara ngapi mkuuKesho ukiskia wamepakwa kulainisha kisa kuzima data, Rudi usifie tena