Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wako mkoaniNdio kina nani hao huko Daslamu?
Mgogo leo umeandka vitu vya maana sana!I better stay poor on earth and die poorest but money can't buy DIGNITY.
Swali zuri hili😎Vipi wakiugua hawata kuja kutuchangisha
Wasomi wengi wapo kwenye kazi nyingi sana na vipato vyoa ni vikubwa kulingana na elimu zao labda ungesema wamewazidi wasomi ambao hawajapata kaziFACT OF LIFE. Hawa Jamaa wamejizima data vichwani lakini ndio maisha yanaenda hivyo, watukane, wakejeli, wakashfu lakini mara leo wameingia mkataba huu mara kesho ule.
ndivyo dunia ya kibepari ilivyo...sio kwamba hawana akili timamu, wanazo. Wameamua tu kuzima data. Wakati mwingine ukijifanya una akili sana maisha hayaendi maana hizi ni zama za Capitalism duniani. Watoto wao ndio watatumia akili nzuri, si wanapelekwa shule nzuri kwa sasa?
Wao mwijaku na baba levo wamejifanya wamezima data kidogo maisha yaende. Kahesabu maelfu ya vijana wanaograduate kila mwaka na kukosa ajira.
Kipato cha mwijaku na baba levo kwa mwaka ni zaidi ya wasomi wengi sana Tanzania
FPA stands for what!?Mwijaku ni msomi wa UDSM..alichosomea anakifanyia kazi.alikua kule FPA
Mtafuteni kwanza Mungu hayo mengine mtazidishiwa.
Kabla ya uchawa walikuwepo wapambe,haya mambo yako tokea zamani
Sema chawa,wapambe wa sasa wanajionesha mpaka kwenye media
Mitandao ya kijamii
Kuna watu mjini walikuwa wanaishi tu kwa kuwatafutia watu fulani maarufu wanawake tu na kuwasifiaaa
Ova
We kuwaona hao wajinga wawili wanapesa,basi umeona wasomi wote hawana pesa?wasomi hawana majigambo,huu uwanja unaoutumia unajua ulianzishwa na msomi?Tena sio wa IT,ni injinia wa civil,FACT OF LIFE. Hawa Jamaa wamejizima data vichwani lakini ndio maisha yanaenda hivyo, watukane, wakejeli, wakashfu lakini mara leo wameingia mkataba huu mara kesho ule.
ndivyo dunia ya kibepari ilivyo...sio kwamba hawana akili timamu, wanazo. Wameamua tu kuzima data. Wakati mwingine ukijifanya una akili sana maisha hayaendi maana hizi ni zama za Capitalism duniani. Watoto wao ndio watatumia akili nzuri, si wanapelekwa shule nzuri kwa sasa?
Wao mwijaku na baba levo wamejifanya wamezima data kidogo maisha yaende. Kahesabu maelfu ya vijana wanaograduate kila mwaka na kukosa ajira.
Kipato cha mwijaku na baba levo kwa mwaka ni zaidi ya wasomi wengi sana Tanzania
Si kweli!Duniani kote wasomi hasa wa Sayansi hufa njaa huku wajinga wajinga wakiwa ma-billionea. Dunia ndiyo ilivyo ndugu.
Copy & pasteFACT OF LIFE. Hawa Jamaa wamejizima data vichwani lakini ndio maisha yanaenda hivyo, watukane, wakejeli, wakashfu lakini mara leo wameingia mkataba huu mara kesho ule.
ndivyo dunia ya kibepari ilivyo...sio kwamba hawana akili timamu, wanazo. Wameamua tu kuzima data. Wakati mwingine ukijifanya una akili sana maisha hayaendi maana hizi ni zama za Capitalism duniani. Watoto wao ndio watatumia akili nzuri, si wanapelekwa shule nzuri kwa sasa?
Wao mwijaku na baba levo wamejifanya wamezima data kidogo maisha yaende. Kahesabu maelfu ya vijana wanaograduate kila mwaka na kukosa ajira.
Kipato cha mwijaku na baba levo kwa mwaka ni zaidi ya wasomi wengi sana Tanzania