dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Inamaan mtot wa mobote CYO wa daimondItakua mondi alilijuaga hili ndo mana dogo wa mobeto hanaga habari nae. Mobeto kawakilisha vyema kesi yakubambikiwa mtoto
Hata namm mkuu cjawasoma kbsa mleta mada nand wapi na wapi na mtoto wa mobetoSijaelewa kabisa ninachojua nandy ni mwanamke sasa iweje ahusiane na huyo mtoto?
Hata Kweli na mm mkuu sijapata hi hbr imekaajeNimesoma comments zote dry. Au labda Nandy msagaji kwamba alimsaga Mobetto? Sasa how mimba?
Kwa Kweli Sasa umenifungua vyema ,kumbe mondi alishikishwa mimbaHapana Mwijaku anamaanisha kwamba Nandy ndo kama Baba wa familia kwa maana majukumu yote ya familia kayabeb yeye ya kwamba Billnass analelewa,So anamtaka Nandy akamchukue mtoto anayedaiwa wa Billnass kwa maana yeye ndiye atakayehusika katika matunzo
Babu huna baya [emoji23]umefafanua vyema bas. Kwa hbr za mastaa was bongo nitakuwa nakufata dm unipassheNarudia tena we fala wewe sasa ndo hujaelewa unajifanya mjuaji,tittle ya thread inasema Mwijaku: Ni wakati sahihi kwa Nandy kuanza kupeleka matumizi ya mtoto kwa Mobetto,inajulikana wazi kwamba Billnas ana mtoto na mobeto lakini kwanini Mwijaku kasema Nandy ndo amchukue mtoto na sio Billnass!!?? Sasa jibu ni hivi siku zote Mwijaku anasema Billnass analelewa na Nandy hivyo hatakuwa na uwezo wa kumlea huyo mtoto thus why amemtaka Nandy(anayemlea Billnass) akamchukue mtoto amtunze na sio Billnass(anayedai analelewa na Nandy) hivi ulikunywa chai kweli!? Leo ndo nimeamin humu jf kuna watu huwa wanaamka na stress wallah
Najuwaa hi ndio idara yako siku nyingi hajaanzisha Uzi sijui why[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa unakataa nn na unakubali nn?
Au umbea na udaku sio fani yako??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwijaku, Lokole kale ka Pimbi na H baba ni mijitu ya hovyo, kutwa kuongelea maisha ya watuWatu Kama mwijaku niwahovyo Sana aiseee
Oyeeeeeeeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uswahilini hoyeeeeeeee
Maajabu ya Dunia baba!Huyu ilikuwaje akazaliwa wa kiume
View attachment 2457831
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kasomeee uzi wa watoto wa mjini.Najuwaa hi ndio idara yako siku nyingi hajaanzisha Uzi sijui why
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oyeeeeeeeeeee
Ni michepuko ya watu plz, watakusikia wenye wao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwijaku, Lokole kale ka Pimbi na H baba ni mijitu ya hovyo, kutwa kuongelea maisha ya watu
Kamaanisha Nini?Ni mimi tu ndyo nimekuelewa!