Mwijaku: Ni wakati sahihi kwa Nandy kuanza kupeleka matumizi ya mtoto kwa Mobetto

Hapana Mwijaku anamaanisha kwamba Nandy ndo kama Baba wa familia kwa maana majukumu yote ya familia kayabeb yeye ya kwamba Billnass analelewa,So anamtaka Nandy akamchukue mtoto anayedaiwa wa Billnass kwa maana yeye ndiye atakayehusika katika matunzo
Kwa Kweli Sasa umenifungua vyema ,kumbe mondi alishikishwa mimba

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Babu huna baya [emoji23]umefafanua vyema bas. Kwa hbr za mastaa was bongo nitakuwa nakufata dm unipasshe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wasanii kwa ku-fake maisha, alafu eti kuna mtu anaenda kuficha 'siri' na Mwijaku. Bongo bhana.
 
BiliNandy na mobetto wamezaa lini.!?

Inawezekana Niko bize sana na maisha yangu. Matukio yananipita.
 
Kwel maisha ni kugawana majukum ili kubalance ecosystem ya uchumi maana muda huu wanaume wa kazi wako na miradi chaka huko wanapiga mihela af wengine wako nyuma ya mic wanaongea umbea umbea tena wanawaongelea wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…