Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

hii kitu ndugu ni abstract ingekuwa inahusu physics ningesema ni metaphysics yaan unywele wa kiumbe kilichokufaga ukipatikana ukirudishe hicho kiumbe upyaaaa hakika hakika haitatokeaaa hiyo
Yaani mkuu,nimeshindwa kuelewa mpaka sasa,,but anadai kua kiumbe kipya kitakua na tabia na sura kama ya kilichokufa
 
MKuu hi research yakufanikisha mungano kati ya computer na ubongo wa binadamu wanadai itafanikiwa kwa kiwango kikubwa pia itamfanya binadamu aweze kujifunza kwa haraka pia kumfanya aweze kuishi milele but this would be electronically
kwa tetesi hiyo tayari kaka ipo kwenye blue beam project watu wamewekewaga macroship kama chanjo wakati wa wanaenda clinic bila kujua so now wote wanaweza kucontroliwa na computer inayomilikiwa na hawa majamaa wa blue beam pia sasa wanaweza hata kucontrol mawazo yako na kukucomand hata ujinyonge bila wewe kujua mkuu

yajayo kwenye new world order yanatishaaaa
 
hii ishu kuna sehemu niliisoma mwaka jana nikabaki natafakari sana hapo kwenye kurudisha uhai ila ngojaa tuwangojee
 
hujui tumeumbwa kwa mfano wake
 






hawa jamaa wanandoto lakini hazina maono ya kweli wanajikuta wanaconfidence balaa hizo ni screenshot za website yao wao wanaamini ipo siku watafanikiwa je wew unaamini hivyo au utaamini ipo siku watafanikiwa kwa mimi mpaka sasa sijashawishika kuamini mwenye nondo alete akosolewe



 
[HASHTAG]#lifecoded[/HASHTAG] njoo tusolvie hapa aise hiyo hata kama ni kuangalia DNA amevuka mpaka labda na supernatural force itumike hapo
nywele ,kucha ,ngozi,cell,nyama na mifupa hutumika kustudy DNA analysis ya mwanadamu husika..kwa hiyo ukipata kimoja wapo kinaweza kukupa picha halisi ya huyo mtu kupitia vifaa vinavyoitwa DNA image analyser kinakupa sequence nzima ya mfumo wake halafu wanarepricate gene zake [copy] na kuzifanyia cloning ndipo huyo mtu anaweza patikana..gene clonning in relation to genetic analysis inakupa picha halisi in phenotypic manner ya kiumbe huyo,,nahis inawezekana but gene clonning imepigwa marufuku duniani kwani ni hatari sana ile ..yan kupitia gene clonning unaweza unganisha gene za mbwa na binadamu halafu outcome ikaja sura ya binadamu lakini miguu na masikio ya mbwa....ni hatari sana hiyo..watabe wa gene clonning wapo Australia huko ndo wanazalisha viumbe wa ajabu sana kama result za experiment zao...kwa hiyo naamini wakipata gene za huyo mtu wanaemtaka wanaweza mpandikizia hata mnyama yoyote lakini akizaa anazaa binadamu..hiyo haipingiki kabsaa,,ndo mana ile technologia wameipiga marufuku make ni kama uzalilishaji wa utu
 
upo correct mkuu nimeshagundua kitu kutoka kwa hawa washenzi
 
upo correct mkuu nimeshagundua kitu kutoka kwa hawa washenzi
unambiwa hivi mwaka 2008 jamaa walizalisha viumbe vya ajabu sana vilikuwa na vichwa vya binadamu halafu miguu ya ng'ombe,,unambiwa mpaka papa alilani sana kitendo kile ..yani ukitazama usoni ni sura za binadamu kabsa ila miguuni ni ng'ombe kabsaa...waliamua kuwapiga sindano za sumu wakafa na wakaambiwa wafunge mara moja maabara ile...lakini naamini wale jamaa bado wanendelea kufanya mambo yao mpaka sasa hivi sema hawapublish tu
 
Craziest idea ever! But they should try or proceed with Cloning. It is easier and proven
 
Me too
 
katika kuchunguza sana nimeconfirm hii project wanamafanikio haya

1. wamefanikiwa kuwatoa mbwa na nyani damu yao yote na kuwafanyia cryon preservation yaani wakawaikea hiyo protective solution na kuwashusha kwenye liquid nitrogen na baada ya siku kadha wakawarm na kuwafufua upya hili wamefaulu na limedhibitishwa

2.wamefanikiwa kufufua minyoo iliyokufa (nematode worm)

3. wamefanikiwa kufufua figo ya sungura iliyokufa kabisa kwa hiyo njia ya cryon prservation na figo ilifufuka na imefanyiwa transplation kwa sungura mwingine now inafanya kazi

4. wamefanikiwa kukuuza human embryo mpaka kuwa mtoto mwenye organ zote pia wamefanikiwa kukuza tissue na kuhifadhi organ mbalimbali za mwanadamu na zipo hai mpaka sasa ila mwanadamu bado hawajafanikiwa kumrudishia uhai ila mpaka sasa wanaamini ipo siku moja watafanikiwa

5. wamefanikiwa kufufua brain tissues pia na human embryo aliyofanyiwa cryonpreserve alifufuliwa na kusurvive na kukua mpaka kuwa mwanadamu mwenye afya

6. wamefanikiwa kufanya cell regeneration na kumrudishia mtu ujana japo si asilimia mia moja bado kuna error

MASWALI MENGINE YALIYOJIBIWA NA HAWA

1. Ka mtu alikufa kwa ugonjwa basi atafufuka na ugonjwa wake kwa maana hiyo pale hata hivyo visababishi vya ugonjwa vitafufuliwa nae

2.wanamini wakifanikiwa hilo tiba ya kila ugonjwa itapatikana pia wataweza kureverse umri kirahisi na kwa ufanisi pamoja na kurepair cell zilizoharibikaa



HITIMISHO
UZI WANGU ULIKUWA NA DOCUMENT ZA ZAMANI SANA ILA HII NI CURRENT DOCUMENT NA HAPA HII KAMPUNI NDIPO ILIPOFIKIA SWALI LINABAKI PALE PALE JE WATAFANIKIWA KUFUFUA MWILI? KWA SASA SINA JIBU ILA NIWASILISHE HILI
 
keep watching every step in your life,nanotechnology is so fantastic
 
Du huku ni kupimana uwezo na mungu na mwishoni ndipo watamletea dharau mungu kama ilivyotabiriwa kwenye vitabu vya kiimani
 
keep watching every step in your life,nanotechnology is so fantastic
now nitafuatiliaaaaa hii kitu japokuwa kurudisha uhai wa mwanadamu ukakasi bado upo kama wamerudisha uhai wa mbwa je uhai wa mwanadamu walishindwa kuurudisha au wanaogopa kusema ukweli hadharani huenda watauliwa na manyamera na pia huenda wanadawa za magonjwa yote ila wanaogopa hawa manyamera wanaotengeneza ARVs watawapoteza? hapa ni unajiongeza na kukaa kimya unajaribu kuimba ule wimbo TAZAMA RAMANI UTAONA NCHI NZURI YENYE MITO NA MABONDE MENGI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…