Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' waagwa leo katika viwanja vya Leaders

Kidato cha pili? itakuwa mimba ya huyo mtoto wake nini?
 
wewe ulitakaje sasa?
 
Wakuu mlioko dsm na vitongoji vyake na hata wale walioudhuria msiba wa mrembo masogange nilikuwa naomba kufahamishwa kama msanii wa bongo fleva Belle 9 alihudhuria kwenye msiba wa masogange
HUU NDO UCHOCHEZ
 
Hakika sisi ni waja na kwake tutarejea [emoji144]. Pumzika kwa amani Aggy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…