Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' waagwa leo katika viwanja vya Leaders

Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' waagwa leo katika viwanja vya Leaders

Libayaaaa, Cheki vinywele kama vya yule mwigizaji wa Filamu ya God's Must be Crazy. Miguu ina madoa madoa kama tumbo la mamba.

Vidole vya miguu vibaya kama mdomo wa kuku Kuchi.
 
Marehemu kazaliwa utengule karibu kabisa na kiwanda chetu cha nyama kijulikanacho kama Tanganyika parkers pia ni jirani wa ndugu yetu kmjenzi wa nyumba 75 aliekua mkurugenz TRA alietumbuliwa na magufuli si mbali sana kutok katikati mwa mji wa mbeya nauli mpaka nyumbani kwao ni shilingi buku mpaka mlangoni ukitokea mbeya mjini sehemu ikiwa na mazingira halisi ya ukijani
Hakuna camera 360 wala photoshop hapa mkuu
 
Libayaaaa, Cheki vinywele kama vya yule mwigizaji wa Filamu ya God's Must be Crazy. Miguu ina madoa madoa kama tumbo la mamba.

Vidole vya miguu vibaya kama mdomo wa kuku Kuchi.
Mkuu alikukataa nini mbona unamnanga sana,

Sura yake inaonesha ni mwenye huzuni nyingi, hiyo vazi tu na hajavunja sheria za nchi
 
30867837_438788406552984_4000292046542733312_n.jpg
 
Back
Top Bottom