Mwili wa Daktari Dismas Chami aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Ulyankulu waokotwa maeneo ya Malolo, Tabora

Kuna uwezekano pakawa na changamoto kubwa ndani ya vyombo vyetu vya usalama, je tuna uhakika hawa wanaopoteza maisha hawajawahi kujihusisha na chombo chochote cha usalama?

Vipi kama kuna tatizo limetokea hivyo wanaondolewa waliokua sehemu ya hilo tatizo, maana siamini kuwa huyu Daktari ameponzwa na yaleyale tunayodhania.
 
Wazungu wanasema no loose end.wote waliokuwepo kweye mission wanafutwa .
 

Kijana mdogo sana. Sijui nini kinaendelea sasa hivi
 
Nchi hii kwasasa hali si shwari yani tunapoendea tutaanza kuogopana sisi kwa sisi.Kile kisiwa cha amani kimekuwa kisiwa chenye hofu kubwa.

E Mungu tesaidie.
 
Mkiambiwa mzungu fulani alianza kwenye store (garage) ya wazazi wake kwao na sasa ni millionaire tunakenua na kuona linawezekana
Lakini kwa sisi mtu akisema nilianza kuuza dagaa na leo namiliki meli mnaguna
Kila mmoja apambane kivyake
Anaweza akawa hivi, kafanya vile
Hayatuhusu 😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…