Mkuu...Last weekend???? Mtu kapotea tarehe 4 na last weekend ilikuwa tarehe 7!!!!
Hiyo ni wiki mbili zilizopita hapo sawaMkuu...
Huyu kijana tulihama nae kutoka Beielekezi, tukavuka road tuakazama Tere's.
And last weekend ilikua tarehe 1 September mazee
akiiba mke wa mtu mwenye jukumu la kumlinda afikishwe kwenye vyombo vya sheria ni naniTusikimbilie kusingizia vyombo vya usalama wala fidiemu. Wengine waliiba wake za watu labda
Simulia mzeeHapa Tabora stori imetrend sana, sema nikiwasimulia mtayazagaza
Sema semaHapa Tabora stori imetrend sana, sema nikiwasimulia mtayazagaza
I'm humble mkuu...😔Hiyo ni wiki mbili zilizopita hapo sawa
Pole kwa msiba mkuuI'm humble mkuu...😔
Asante bro...😥Pole kwa msiba mkuu
Unanichekesha msibani?Asante bro...😥
Tupe za ndani mzeeHapa Tabora stori imetrend sana, sema nikiwasimulia mtayazagaza
Ebu kausha mazee...Unanichekesha msibani?
Wewe jamaa umenikumbusha mbali sana.Tulikua tunapaita Mkwakwani pale pembeni kidogo ni Isungu Honey pot.Mwaka 1960 kabla ya uhuru wa Tanganyika. 🤔
Poleni sana mkuu, kumbe unafaidi zizini uhazili na oxygen! Vipi Orion Tabora hotel bado pananoga sasa au pamepoa?Ebu kausha mazee...
Tupo Oxygen tunaomboleza taratibu na...🍻
General Mahele alikuwa Waziri wa Ulinzi na wala hakuuliwa na Mobutu mwenyewe bali mtoto wa Mobutu ambaye alikuwa anaona nchi ni shamba la familia yao. Of course ni yaleyale pipa na mfuniko.Exactly.
Sms fake ya kutengenezwa yenye nia ovu ya kutaka kuwaghiribu watu ili wasijue kiini halisi Cha Mauaji hayo.
Just a spinning Propaganda.
Hali mbaya kabisa Kama Hii inanikumbusha wakati ule wa nyakati za mwisho mwisho kabisa kabla ya kuanguka kwa Utawala dhalimu wa Dikteta Mobutu Sesseseko aliyekuwa Rais wa zamani wa Zaire (Sasa Congo DR), Watu wengi sana walikuwa wakitekwa na kuuawa katika Mazingira ya kutatanisha Sana kama hivi inavyotokea hivi sasa hapa Tanzania. Maiti za Watu wakosoaji wa Utawala wake zilitakapaa mitaani, kila siku Wananchi walikuwa wanaokota miili ya Watu mitaani.
Aidha, kila siku (hususani nyakati za usiku) ndege na helikopta za Jeshi zilikuwa zinatua nyumbani kwa Rais Mobutu kijijini kwake Gbadolite zikiwaleta 'Mateka' waliokusanywa kutoka katika miji na mikoa mbalimbali iliyopo kwenye nchi hiyo ya Zaire ili wàweze kuteswa mbele ya Rais Mobutu mwenyewe akishuhudia kwa macho yake na mwishowe mateka hao waliuliwa kikatili sana. But all in all, mwisho wa dhahama yote hiyo, Dikteta Mobutu aliishia kumteka hata Mkuu wake wa Majeshi (CDF) General Mahele na kumuua kikatili kama nguruwe pori, na hapo ndipo Utawala wake wa kidikteta ulipofika mwisho wake.
Watanzania tuzidishe sala na maombi kwani kunakaribia kukucha, Wakimaliza kututeka sisi Wananchi basi watageukiana wao kwa wao, kama ilivyofanyika nchini Zaire kwa Rais Mobutu.
Baada ya waasi kulishinda nguvu jeshi uchwara la Dikteta Mobutu, jeshi lililozoea kuua na kuteka ila kupigana halijui kitu. Basi Jenerali Mahele aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na vigogo wauaji wengine wakamwambia Mobutu hawawezi kuulinda mji mkuu Kinshasa.Duuh na maCDF wanatekwa? Hakuna aliye salama