Mwili wa Dkt. Mwele Malecela wawasili Tanzania ukitokea Uswisi

Mange ana akili kukuzidi wewe mpumbavu na ndio maana hata kuandika PhD hujui.
Vutu lako
haha yani wewe, Mange mwenzio ana Masters hapo alipo, wewe una nini ?, acheni kuowaita majina mabaya wengine nanyi msiitwe, uko ka jinga flani hivi , hebu pitia comment zako ujione ulivo hayawani.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Huyo utotoni alikunywa sana mafuta ya taa, ubongo unanuka moshi.
 
Maisha ni kuchagua
 
Poleni wafiwa,
Ila watz wakiwa hai kila mmoja anataka kwenda majuu, bahati mbaya au nzuri umri ukiishia huko kwanini lazima warudishwe wasizikwe huko huko?
 
Pita kimya kimya tu msiba wa jirani.
Hata sisi huwa tunafiwa nawapendwa wamaana Ila hatujitangaaaazi!!
Isiwe kunawatu msibawao ndiokilamtu aguswe wakati mingine kawaida.... Mnataka mativiini kote tuufatilie mbona waislam wao chapu marehemu hupumzishwa!!! Tujifunze...
 
Mpambe nambari wani mhusika na kutimuliwa Dr Mwele , Ummy Mwalimu, hakuwepo kabisa katika safu ya viongozi.
Yeye marwhemu Dr alikuwepo kwenye msiba wa marehemu rais Magufuli? Mbali ya Ummy wapo waru wengi tu mashuhuri hapa nchini hawakuwepo, la sivyo masaa machache yaliyotumika kumuaga pale Karimjee yasingetosha.
 
Duh! Humu matusi yanarushwa kama mchwa utadhani kila mmoja alikuwa anamfahamu marehemu personally! Kila mmoja humu anataka aonekane kuwa alikuwa anamfahamu sana marehemu kumbe ni kinyume chake! Kutafuta sifa ni kitu kibaya sana, hadi watu wanafyatuana matusi? Moderators mpo wapi kuwachapa pin hum watu wanaofyatua matusi?
 
Acha matusi kijana, hatutaki matusi humu la sivyo utachapwa ban na moderator humu.
 
Huzuni kwako mpumbavu mkubwa wewe. Unalazimisha kila mtu awe na huzuni, huna akili
Nyie tutawachapa ba. humu, hatutaki matusi, la sivyo chukueni majembe nenda shambani. Nsichukulie msiba wa marehemu ambaye hata siyo ndugu yenu kuwa kijiwe cha kamari hapa!
 

Jambo la msingi ni kuwa na mtazamo mzuri kumuelekea. Maana he is a victim of the situation. Perhaps he never contributed to what he is today.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…