Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
"Hata mkeo asitarajie kula raha"Ulimsikia Masanja kuhusu jimbo la Hai!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Hata mkeo asitarajie kula raha"Ulimsikia Masanja kuhusu jimbo la Hai!
Duu! Kwa vitisho hivi bila shaka mkuki umeingia moyoni!Mkuu,
Wewe majibu yako kwenye uzi au mada unazoanzisha inathibitisha pasipo shaka kwamba unachuki binafsi inayofungamana na itikadi yako una chuki iliyo ya wa zi kwa hawa:
1. Diwani Athumani,
2. SIMON Sirro
3. Venance Mabeyo,
4. Amiri jeshi mkuu wao ni John Pombe Magufuli
Sijui kama una kifua cha kupambana nao kwa kutumia hiyo ICC isiyo na mamlaka na tuhuma zako hizo. Tambua wewe sio Roboti unapotumia hicho kibodi cha kinakirishi wakati utambulisho wako wote umeuweka wazi
Kumbuka
1. Hakuna uhuru bila mipaka
2. Hakuna haki bila wajibu
3. Hakuna utu bila uwepo wa watu
4. Hakuna maendeleo bila kufanya kazi kwa bidii na maarifa
Pia Tambua
1. Ukituhumu unawajibika kuthibitisha kwa ushahidi unaokubalika kisheria na katika mamlaka yenye uwezo wa kutoa suluhisho
2. Uksimtendee mtu mwingine jambo ambalo wewe au utaratibu uliowekwa unakataza kutendewa
3. Ukiheshimu mamlaka ya nchi na kiongozi wake unampa wajibu wa kukutendea vivyo hivyo bila kujali nafasi yako katika jamii
Mkwara ni kama yupo nje ya utaratibu wa kisheria,katiba na haji zilizo ainishwa.ila kama ni kinyume na hapo,use kwa vyombo vya maamuzi visivyo zingatia sharia mama.Jamaa umempa mkwara mzito kweli kweli.Nafikiri hatarudia tena
Mbona siku ya uchaguzi hawakutuambia kuwa kuna askari wa Kvz amepotea?Mwili wa askari wa kvz aliyejulikana kwa jina la Khalid umepatikana baada ya kuuwa siku ya uchaguzi
Habari zaidi zitakujia
Source
Mwananchi
Upo kututishia sio?Mkuu,
Wewe majibu yako kwenye uzi au mada unazoanzisha inathibitisha pasipo shaka kwamba unachuki binafsi inayofungamana na itikadi yako una chuki iliyo ya wa zi kwa hawa:
1. Diwani Athumani,
2. SIMON Sirro
3. Venance Mabeyo,
4. Amiri jeshi mkuu wao ni John Pombe Magufuli
Sijui kama una kifua cha kupambana nao kwa kutumia hiyo ICC isiyo na mamlaka na tuhuma zako hizo. Tambua wewe sio Roboti unapotumia hicho kibodi cha kinakirishi wakati utambulisho wako wote umeuweka wazi
Kumbuka
1. Hakuna uhuru bila mipaka
2. Hakuna haki bila wajibu
3. Hakuna utu bila uwepo wa watu
4. Hakuna maendeleo bila kufanya kazi kwa bidii na maarifa
Pia Tambua
1. Ukituhumu unawajibika kuthibitisha kwa ushahidi unaokubalika kisheria na katika mamlaka yenye uwezo wa kutoa suluhisho
2. Uksimtendee mtu mwingine jambo ambalo wewe au utaratibu uliowekwa unakataza kutendewa
3. Ukiheshimu mamlaka ya nchi na kiongozi wake unampa wajibu wa kukutendea vivyo hivyo bila kujali nafasi yako katika jamii
Utafikiri Una jua lolote kuhusu ICCWanaanza kutengeneza matukio baada ya kusikia kuna ICC??? Waambie wamechelewa sana. Hakuna askari aliyeuwawa Pemba, hayo ni matukio wanayatengeneza.
Pemba majeshi ndo yaliuwa wananchi. Majeshi ya Tanzania ambayo wakuu wake ni Diwani Athumani, SIMON Sirro na Venance Mabeyo, huku amiri jeshi mkuu wao ni John Pombe Magufuli
Mkuu,
Wewe majibu yako kwenye uzi au mada unazoanzisha inathibitisha pasipo shaka kwamba unachuki binafsi inayofungamana na itikadi yako una chuki iliyo ya wa zi kwa hawa:
1. Diwani Athumani,
2. SIMON Sirro
3. Venance Mabeyo,
4. Amiri jeshi mkuu wao ni John Pombe Magufuli
Sijui kama una kifua cha kupambana nao kwa kutumia hiyo ICC isiyo na mamlaka na tuhuma zako hizo. Tambua wewe sio Roboti unapotumia hicho kibodi cha kinakirishi wakati utambulisho wako wote umeuweka wazi
Kumbuka
1. Hakuna uhuru bila mipaka
2. Hakuna haki bila wajibu
3. Hakuna utu bila uwepo wa watu
4. Hakuna maendeleo bila kufanya kazi kwa bidii na maarifa
Pia Tambua
1. Ukituhumu unawajibika kuthibitisha kwa ushahidi unaokubalika kisheria na katika mamlaka yenye uwezo wa kutoa suluhisho
2. Uksimtendee mtu mwingine jambo ambalo wewe au utaratibu uliowekwa unakataza kutendewa
3. Ukiheshimu mamlaka ya nchi na kiongozi wake unampa wajibu wa kukutendea vivyo hivyo bila kujali nafasi yako katika jamii
RPC wa PembaThe ICC haiwezi kuhusu hao uliowataja:-
(a). Wapi walishika silaha na kufyatulia watu na kuwaua?
(b). Lini waliamrisha askari kuua?
(c). ICC watapata ushahidi kwa nani hapa nchini ukiachilia mbali viongozi wa vyama vya siasa?
Nionavyo:-
= CP Diwani Athumani mnamuonea bure kwa sababu ya ukimya wake,
= IGP Simon Sirro mnamtwika zigo lisilomuhusu,
= General Mabeyo mnamulaumu bure, na
= Rais Dkt Magufuli mnamuorodhesha ktk orodha kinafki huku mkijua hakuna alilotenda sababu nae alikuwa mgombea sawa na TL, Rungwe, Lipumba nk
Hahahaaaa..... Hapa kazi tu ile kazi na bata mwisho Ufipa!"Hata mkeo asitarajie kula raha"
Kvz ndiyo kitu gani?Mwili wa askari wa kvz aliyejulikana kwa jina la Khalid umepatikana baada ya kuuwa siku ya uchaguzi
Habari zaidi zitakujia
Source
Mwananchi
Sasa na hao walioua askari pia wataenda ICC au?RPC wa Pemba
Ole sabaya
IGP siro
Chalamila
Wataenda kuelewa kauli zao za ukiandamana unajitafutia shida hutalea watoto ' zilikuwa zinamlenga nani?
Bila kusahau kauli tata ya bi samia
Usije ukamhurumia baadaye huyo mugah di mathew mkuu!!?Duu! Kwa vitisho hivi bila shaka mkuki umeingia moyoni!
Wanaanza kutengeneza matukio baada ya kusikia kuna ICC??? Waambie wamechelewa sana. Hakuna askari aliyeuwawa Pemba, hayo ni matukio wanayatengeneza.
Pemba majeshi ndo yaliuwa wananchi. Majeshi ya Tanzania ambayo wakuu wake ni Diwani Athumani, SIMON Sirro na Venance Mabeyo, huku amiri jeshi mkuu wao ni John Pombe Magufuli
Haya maneno inafaa uwaambie hao makafiri waliokuja kwetu na kutuuaMkuu,
Wewe majibu yako kwenye uzi au mada unazoanzisha inathibitisha pasipo shaka kwamba unachuki binafsi inayofungamana na itikadi yako una chuki iliyo ya wa zi kwa hawa:
1. Diwani Athumani,
2. SIMON Sirro
3. Venance Mabeyo,
4. Amiri jeshi mkuu wao ni John Pombe Magufuli
Sijui kama una kifua cha kupambana nao kwa kutumia hiyo ICC isiyo na mamlaka na tuhuma zako hizo. Tambua wewe sio Roboti unapotumia hicho kibodi cha kinakirishi wakati utambulisho wako wote umeuweka wazi
Kumbuka
1. Hakuna uhuru bila mipaka
2. Hakuna haki bila wajibu
3. Hakuna utu bila uwepo wa watu
4. Hakuna maendeleo bila kufanya kazi kwa bidii na maarifa
Pia Tambua
1. Ukituhumu unawajibika kuthibitisha kwa ushahidi unaokubalika kisheria na katika mamlaka yenye uwezo wa kutoa suluhisho
2. Uksimtendee mtu mwingine jambo ambalo wewe au utaratibu uliowekwa unakataza kutendewa
3. Ukiheshimu mamlaka ya nchi na kiongozi wake unampa wajibu wa kukutendea vivyo hivyo bila kujali nafasi yako katika jamii
Mkuu huyo jamaa ana stress za matokeo akiyopata LisuMkuu,
Wewe majibu yako kwenye uzi au mada unazoanzisha inathibitisha pasipo shaka kwamba unachuki binafsi inayofungamana na itikadi yako una chuki iliyo ya wa zi kwa hawa:
1. Diwani Athumani,
2. SIMON Sirro
3. Venance Mabeyo,
4. Amiri jeshi mkuu wao ni John Pombe Magufuli
Sijui kama una kifua cha kupambana nao kwa kutumia hiyo ICC isiyo na mamlaka na tuhuma zako hizo. Tambua wewe sio Roboti unapotumia hicho kibodi cha kinakirishi wakati utambulisho wako wote umeuweka wazi
Kumbuka
1. Hakuna uhuru bila mipaka
2. Hakuna haki bila wajibu
3. Hakuna utu bila uwepo wa watu
4. Hakuna maendeleo bila kufanya kazi kwa bidii na maarifa
Pia Tambua
1. Ukituhumu unawajibika kuthibitisha kwa ushahidi unaokubalika kisheria na katika mamlaka yenye uwezo wa kutoa suluhisho
2. Uksimtendee mtu mwingine jambo ambalo wewe au utaratibu uliowekwa unakataza kutendewa
3. Ukiheshimu mamlaka ya nchi na kiongozi wake unampa wajibu wa kukutendea vivyo hivyo bila kujali nafasi yako katika jamii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uko tayari kwa lolote lipi?Mikwara ya nini wewe mfu watu wako tayari kwa lolote acha mikwara mbuzi hata kama wewe mmoja wao
Hii ni ishara kuwa watanzania muanze kufunga mikanda hali ya uchumi inaenda kuwa tete.Hahahaaaa..... Hapa kazi tu ile kazi na bata mwisho Ufipa!
Mtanzania mzalendo,kutwa kututukana mitandaoni hujui hata KVZ?Kvz ndiyo kitu gani?
Hahahaaa......"vinajiHamuru"! Chadema shida sana.Umeandika unafiki. Vyombo vinajihamuru vyenyewe ?!