Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hawataenda sababu wanajua watafungwaWaanze kujifunza Kingereza cha kujitetea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawataenda sababu wanajua watafungwaWaanze kujifunza Kingereza cha kujitetea
Hawapeleki kwa ridhaa yao, kamata Kayafa, kamata Sirro, kamata Diwani, kamata Mabeyo, peleka Terminal 3, pandisha ndege economy class wakiwa na mapingu, miguuni na mikononi, wakitua Amsterdam, pandisha treni Hadi The HagueHawataenda sababu wanajua watafungwa
HaitatokeaHawapeleki kwa ridhaa yao, kamata Kayafa, kamata Sirro, kamata Diwani, kamata Mabeyo, peleka Terminal 3, pandisha ndege economy class wakiwa na mapingu, miguuni na mikononi, wakitua Amsterdam, pandisha treni Hadi The Hague
Nilidhani kazaliwa siku 5 kabla ya uchaguzi, kumbe ni kujiunga?. Acha wabishane la msingi wawe na facts za ku backup mabishano yao.Mwenzio kajiunga humu siku tano kabla ya uchaguzi lakini pia jali familia yako na shughuli zako si kipindi cha kubishana sana kwa sasa.
Lakin tunakubaliana kwanza kuwa askari walipiga, wakaua, wakateka na kubambikia watu kesi?Rejea kesi ya ASP Baganda, kwa nini IGP Mahita hakushitakiwa kwa kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini pale Mabwepande?
Kabla ya kufanya jambo lolote askari mwenyewe lazima ufahamu madhara ya matumizi ya nguvu ktk ground - sasa wapi kati ya hao tuliowataja walipoamrisha askari kufyatua risasi, kupiga watu nk?
Kumbe unafiki na uoga uliozidi ndio hekimaManeno ya busara sana na yaliyojaa ushauri mzito.
Wanaleta usanii ndani ya Jumba la sanaa.Wanaanza kutengeneza matukio baada ya kusikia kuna ICC??? Waambie wamechelewa sana. Hakuna askari aliyeuwawa Pemba, hayo ni matukio wanayatengeneza.
Pemba majeshi ndo yaliuwa wananchi. Majeshi ya Tanzania ambayo wakuu wake ni Diwani Athumani, SIMON Sirro na Venance Mabeyo, huku amiri jeshi mkuu wao ni John Pombe Magufuli
Mkuu pole sana maana mlango wa kwenda ikulu kupitia ICC ulishafungwa. Uhuru Kenyatta na Ruto walisingiziwa wakapelekwa huku na wachochezi aibu yao ikawakuta. Leo Kenyatta na Ruto wako ikulu.Wanaanza kutengeneza matukio baada ya kusikia kuna ICC??? Waambie wamechelewa sana. Hakuna askari aliyeuwawa Pemba, hayo ni matukio wanayatengeneza.
Pemba majeshi ndo yaliuwa wananchi. Majeshi ya Tanzania ambayo wakuu wake ni Diwani Athumani, SIMON Sirro na Venance Mabeyo, huku amiri jeshi mkuu wao ni John Pombe Magufuli
Kuongea uongo sababu ya matwaka binafsi na kutaka watu wauamini huo uongo sio sawa wala busara.Kumbe unafiki na uoga uliozidi ndio hekima
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787][emoji85]. Kichaka cha kisheria . Lakini ukweli unabaki pale pale askari wetu ni wa kutii . Na haya unayoyasema ni kwa sababu ya mahakama za ki Tz , kwa wenye akili ni tofautiRejea kesi ya ASP Baganda, kwa nini IGP Mahita hakushitakiwa kwa kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini pale Mabwepande?
Kabla ya kufanya jambo lolote askari mwenyewe lazima ufahamu madhara ya matumizi ya nguvu ktk ground - sasa wapi kati ya hao tuliowataja walipoamrisha askari kufyatua risasi, kupiga watu nk?
Mkuu jikumbusheAhahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787][emoji85]. Kichaka cha kisheria . Lakini ukweli unabaki pale pale askari wetu ni wa kutii . Na haya unayoyasema ni kwa sababu ya mahakama za ki Tz , kwa wenye akili ni tofauti
Hiki ni kielelezo tosha kuwa mnauwa watu wanaopingana na nyie.Mkuu,
Wewe majibu yako kwenye uzi au mada unazoanzisha inathibitisha pasipo shaka kwamba unachuki binafsi inayofungamana na itikadi yako una chuki iliyo ya wa zi kwa hawa:
1. Diwani Athumani,
2. SIMON Sirro
3. Venance Mabeyo,
4. Amiri jeshi mkuu wao ni John Pombe Magufuli
Sijui kama una kifua cha kupambana nao kwa kutumia hiyo ICC isiyo na mamlaka na tuhuma zako hizo. Tambua wewe sio Roboti unapotumia hicho kibodi cha kinakirishi wakati utambulisho wako wote umeuweka wazi
Kumbuka
1. Hakuna uhuru bila mipaka
2. Hakuna haki bila wajibu
3. Hakuna utu bila uwepo wa watu
4. Hakuna maendeleo bila kufanya kazi kwa bidii na maarifa
Pia Tambua
1. Ukituhumu unawajibika kuthibitisha kwa ushahidi unaokubalika kisheria na katika mamlaka yenye uwezo wa kutoa suluhisho
2. Uksimtendee mtu mwingine jambo ambalo wewe au utaratibu uliowekwa unakataza kutendewa
3. Ukiheshimu mamlaka ya nchi na kiongozi wake unampa wajibu wa kukutendea vivyo hivyo bila kujali nafasi yako katika jamii
Huo mkwara mtapeana nyie huko, sio mimi. Na haya aliyoandika hapa yatatumika kama sehemu ya ushahidi dhidi ya hao anaowateteaJamaa umempa mkwara mzito kweli kweli.Nafikiri hatarudia tena
Labda moyoni kwako. Msichojua ni kuwa vyovyote mnavyoandika humu ni sehemu ya ushahidi dhidi yenu. Endeleeni tuDuu! Kwa vitisho hivi bila shaka mkuki umeingia moyoni!