Mwili wa Khalid, Askari aliyeuawa Pemba Oktoba 28 wapatikana

Mwenzio kajiunga humu siku tano kabla ya uchaguzi lakini pia jali familia yako na shughuli zako si kipindi cha kubishana sana kwa sasa.
Nilidhani kazaliwa siku 5 kabla ya uchaguzi, kumbe ni kujiunga?. Acha wabishane la msingi wawe na facts za ku backup mabishano yao.
 
Maneno ya busara sana na yaliyojaa ushauri mzito.
 
Lakin tunakubaliana kwanza kuwa askari walipiga, wakaua, wakateka na kubambikia watu kesi?

Tuanzie hapo kwanza
 
Wanaleta usanii ndani ya Jumba la sanaa.
 
Mkuu pole sana maana mlango wa kwenda ikulu kupitia ICC ulishafungwa. Uhuru Kenyatta na Ruto walisingiziwa wakapelekwa huku na wachochezi aibu yao ikawakuta. Leo Kenyatta na Ruto wako ikulu.
 
Kama hajakuelewa basi acha ule msemo wa "asiyesikia la Mkuu huvunjika guu" umpatie fundisho.
 
Huyu aliuliwa na polisi wezake kisha akafukiwa, yaani askali ana AK47 tena ikiwa full magazine eti atekwe na vijana wa mtaani??
 
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787][emoji85]. Kichaka cha kisheria . Lakini ukweli unabaki pale pale askari wetu ni wa kutii . Na haya unayoyasema ni kwa sababu ya mahakama za ki Tz , kwa wenye akili ni tofauti
 
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787][emoji85]. Kichaka cha kisheria . Lakini ukweli unabaki pale pale askari wetu ni wa kutii . Na haya unayoyasema ni kwa sababu ya mahakama za ki Tz , kwa wenye akili ni tofauti
Mkuu jikumbushe
 
Hiki ni kielelezo tosha kuwa mnauwa watu wanaopingana na nyie.

Wapi nilipoweka chuki yangu na hao watu??? Mauaji ya raia Zanzibar yamefanywa na kina nani??? Ni vikosi gani zaidi ya vikosi vya ulinzi na usalama??? Kina Nani ni wakuu wa hivyo vikosi???

Milosevic alivyostakiwa yeye alikuwa nani?? Bosco ntaganda alivyoshtakiwa alikuwa nani??? Lauren Gabgho alivyoshtakiwa alikuwa nani???

Hizo haki bila wajibu ndo zinafanya muue watu??? For your information, you have been watched. Endelea kufikiri hujulikani, haya unayosema yatatumika kama sehemu ya ushahidi dhidi ya hao unaojaribu kuwatetea humu.
 
Jamaa umempa mkwara mzito kweli kweli.Nafikiri hatarudia tena
Huo mkwara mtapeana nyie huko, sio mimi. Na haya aliyoandika hapa yatatumika kama sehemu ya ushahidi dhidi ya hao anaowatetea
 
Hivi huyu ni mmoja wa wale ambao tuliambiwa na Madame VP kuwa wakikulenga shabaha hawapigi risasi zaidi ya mbili au huyu ni jeshi tofauti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…