Mwili wangu na akili yangu vimechoka sana, sasa nakaribia kukata tamaa

Mwili wangu na akili yangu vimechoka sana, sasa nakaribia kukata tamaa

Habari..

Wakuu mimi kijana wenu nahisi uchovu mkali sana na kuishiwa sana nguvu kimwili na kiakili..

Yani akili na mwili wangu vimechoka sana ndugu zangu. Nimejitahidi kunywa maji mengi si chini ya lita tatu (3ltrs) kwa siku, kula ndizi mbivu, matikiti, maparachichi, miogo ya kuchemsha na viazi vitamu, chocolates, machungwa na hata energy drink, kulala mapema , mazoezi ya viungo kwa lengo la kuboost nguvu ya mwili (energy) na akili lakini bado nimechoka sana ndugu zangu.

Naombeni mnisaidie nifanye nini wakuu kuondoa huu uchovu wa mwili na akili , kwa kuzingatia kwamba nimeenda hospitali kucheck afya na kujibiwa na wataamu nipo sawa kabisa sina ugonjwa,

Nimekaribia kukata sasa tamaa ndugu zangu

Asanteni.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Diabetes ina huo mchezo, na mimi ilianza hivyo hivyo, na hata ukienda hosp unaweza ukapimwa ukaambiwa huna kisukari kwasababu sio muda wote utakaopima sukari itakuwa imepanda. Check blood sugar levels mara kwa mara
 
Maji huwa yanasaidia nini kunywa Lita 3 kwa siku?
Mimi sinywi maji na nikinywa ni nusu glass kwa wiki ni mwendo wa chai, kahawa na juice pamoja na fizzy drinks ila sichoki

Labda ni stress za kazi zako au maisha upande wa mwenzio au dispersion
Hatuwezi kujua mpaka ufunguke
 
Habari..

Wakuu mimi kijana wenu nahisi uchovu mkali sana na kuishiwa sana nguvu kimwili na kiakili..

Yani akili na mwili wangu vimechoka sana ndugu zangu. Nimejitahidi kunywa maji mengi si chini ya lita tatu (3ltrs) kwa siku, kula ndizi mbivu, matikiti, maparachichi, miogo ya kuchemsha na viazi vitamu, chocolates, machungwa na hata energy drink, kulala mapema , mazoezi ya viungo kwa lengo la kuboost nguvu ya mwili (energy) na akili lakini bado nimechoka sana ndugu zangu.

Naombeni mnisaidie nifanye nini wakuu kuondoa huu uchovu wa mwili na akili , kwa kuzingatia kwamba nimeenda hospitali kucheck afya na kujibiwa na wataamu nipo sawa kabisa sina ugonjwa,

Nimekaribia kukata sasa tamaa ndugu zangu

Asanteni.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ikiwa uko kazini omba likizo ya wiki moja uende kijijini kabisa kwa mama au bibi. Ukifika huko funga simu (kama huna familia) usiwasiliane na mtu, wewe fanya kazi za kumsaidia mama au bibi ambazo hazihitaji matumizi ya akili nyingi. Ukiwa na familia waambie utakuwa unawasiliana nao usiku usiku kwa muda wa dakika tano tu halafu funga simu.

Jioni tembelea jirani na upige stori nao, zile ambazo za kijijini, wewe uwe kwa kiwango kikubwa ni msikilizaji tu......

Baada ya wiki moja utajikuta uko fresh kabisa.

Usikae muda mwingi bila ya kuchukua likizo fupi au hata weekend off (nenda japo beach Kigamboni kama uko Dar).

Itakusaidia sana.

Baada
 
Habari..

Wakuu mimi kijana wenu nahisi uchovu mkali sana na kuishiwa sana nguvu kimwili na kiakili..

Yani akili na mwili wangu vimechoka sana ndugu zangu. Nimejitahidi kunywa maji mengi si chini ya lita tatu (3ltrs) kwa siku, kula ndizi mbivu, matikiti, maparachichi, miogo ya kuchemsha na viazi vitamu, chocolates, machungwa na hata energy drink, kulala mapema , mazoezi ya viungo kwa lengo la kuboost nguvu ya mwili (energy) na akili lakini bado nimechoka sana ndugu zangu.

Naombeni mnisaidie nifanye nini wakuu kuondoa huu uchovu wa mwili na akili , kwa kuzingatia kwamba nimeenda hospitali kucheck afya na kujibiwa na wataamu nipo sawa kabisa sina ugonjwa,

Nimekaribia kukata sasa tamaa ndugu zangu

Asanteni.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Una issue ya Depression mbaya inakunyemelea au ishakuvaa tayari. Kosa lingine unafanya ni kunywa Energy Drinks, unazidi kuuvuruga Moyo wako! Mwili umechoka kutokana na unachokiwaza muda mwingi!

Badili vitu unafikiria kwanza, unatakiwa kupata muda mwingi kulala pia.
 
Habari..

Wakuu mimi kijana wenu nahisi uchovu mkali sana na kuishiwa sana nguvu kimwili na kiakili..

Yani akili na mwili wangu vimechoka sana ndugu zangu. Nimejitahidi kunywa maji mengi si chini ya lita tatu (3ltrs) kwa siku, kula ndizi mbivu, matikiti, maparachichi, miogo ya kuchemsha na viazi vitamu, chocolates, machungwa na hata energy drink, kulala mapema , mazoezi ya viungo kwa lengo la kuboost nguvu ya mwili (energy) na akili lakini bado nimechoka sana ndugu zangu.

Naombeni mnisaidie nifanye nini wakuu kuondoa huu uchovu wa mwili na akili , kwa kuzingatia kwamba nimeenda hospitali kucheck afya na kujibiwa na wataamu nipo sawa kabisa sina ugonjwa,

Nimekaribia kukata sasa tamaa ndugu zangu

Asanteni.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Wahi hospital cheki sukari
 
Pole sana kama hospital wamesema hauna shida ebu jaribu kuangalia kama unapata usingizi vizuri na muda mzuri wa kupumzika.
 
Ikiwa uko kazini omba likizo ya wiki moja uende kijijini kabisa kwa mama au bibi. Ukifika huko funga simu (kama huna familia) usiwasiliane na mtu, wewe fanya kazi za kumsaidia mama au bibi ambazo hazihitaji matumizi ya akili nyingi. Ukiwa na familia waambie utakuwa unawasiliana nao usiku usiku kwa muda wa dakika tano tu halafu funga simu.

Jioni tembelea jirani na upige stori nao, zile ambazo za kijijini, wewe uwe kwa kiwango kikubwa ni msikilizaji tu......

Baada ya wiki moja utajikuta uko fresh kabisa.

Usikae muda mwingi bila ya kuchukua likizo fupi au hata weekend off (nenda japo beach Kigamboni kama uko Dar).

Itakusaidia sana.

Baada
Sawa asante kwa ushauri ndugu yangu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Una issue ya Depression mbaya inakunyemelea au ishakuvaa tayari. Kosa lingine unafanya ni kunywa Energy Drinks, unazidi kuuvuruga Moyo wako! Mwili umechoka kutokana na unachokiwaza muda mwingi!

Badili vitu unafikiria kwanza, unatakiwa kupata muda mwingi kulala pia.
Sawa mkuu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
IMG_20230711_181532.png
 
Unajishughulisha na nini? Nadhani shida zinaanzia hapo.

Pili, mahusiano yako yakoje?
 
Back
Top Bottom