bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Shambulio la kiroho Hilo yaani spiritual attack, tafuta jinsi ya kuliblock yaani kufight back.
Piga kombora kubwa zaidi yao
Piga kombora kubwa zaidi yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diabetes ina huo mchezo, na mimi ilianza hivyo hivyo, na hata ukienda hosp unaweza ukapimwa ukaambiwa huna kisukari kwasababu sio muda wote utakaopima sukari itakuwa imepanda. Check blood sugar levels mara kwa maraHabari..
Wakuu mimi kijana wenu nahisi uchovu mkali sana na kuishiwa sana nguvu kimwili na kiakili..
Yani akili na mwili wangu vimechoka sana ndugu zangu. Nimejitahidi kunywa maji mengi si chini ya lita tatu (3ltrs) kwa siku, kula ndizi mbivu, matikiti, maparachichi, miogo ya kuchemsha na viazi vitamu, chocolates, machungwa na hata energy drink, kulala mapema , mazoezi ya viungo kwa lengo la kuboost nguvu ya mwili (energy) na akili lakini bado nimechoka sana ndugu zangu.
Naombeni mnisaidie nifanye nini wakuu kuondoa huu uchovu wa mwili na akili , kwa kuzingatia kwamba nimeenda hospitali kucheck afya na kujibiwa na wataamu nipo sawa kabisa sina ugonjwa,
Nimekaribia kukata sasa tamaa ndugu zangu
Asanteni.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
To yeye bhanaaa, haujasoma uzi umeshakomenti, unauliza kitu ambacho kweny uzi ameshakijibuKaza bhana.....Kwan hospital wanasemaje?
Mkuu hivi vitu ndo wachawi wako and the only solution ni kudeal na hivo vitu. Inachukua muda kidogo kuvimaster ila ukishamaster unakua umeshamshinda adui na kupe wa energy yako
Yaan acha tu🤒😔To yeye bhanaaa, haujasoma uzi umeshakomenti, unauliza kitu ambacho kweny uzi ameshakijibu
Ikiwa uko kazini omba likizo ya wiki moja uende kijijini kabisa kwa mama au bibi. Ukifika huko funga simu (kama huna familia) usiwasiliane na mtu, wewe fanya kazi za kumsaidia mama au bibi ambazo hazihitaji matumizi ya akili nyingi. Ukiwa na familia waambie utakuwa unawasiliana nao usiku usiku kwa muda wa dakika tano tu halafu funga simu.Habari..
Wakuu mimi kijana wenu nahisi uchovu mkali sana na kuishiwa sana nguvu kimwili na kiakili..
Yani akili na mwili wangu vimechoka sana ndugu zangu. Nimejitahidi kunywa maji mengi si chini ya lita tatu (3ltrs) kwa siku, kula ndizi mbivu, matikiti, maparachichi, miogo ya kuchemsha na viazi vitamu, chocolates, machungwa na hata energy drink, kulala mapema , mazoezi ya viungo kwa lengo la kuboost nguvu ya mwili (energy) na akili lakini bado nimechoka sana ndugu zangu.
Naombeni mnisaidie nifanye nini wakuu kuondoa huu uchovu wa mwili na akili , kwa kuzingatia kwamba nimeenda hospitali kucheck afya na kujibiwa na wataamu nipo sawa kabisa sina ugonjwa,
Nimekaribia kukata sasa tamaa ndugu zangu
Asanteni.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Una issue ya Depression mbaya inakunyemelea au ishakuvaa tayari. Kosa lingine unafanya ni kunywa Energy Drinks, unazidi kuuvuruga Moyo wako! Mwili umechoka kutokana na unachokiwaza muda mwingi!Habari..
Wakuu mimi kijana wenu nahisi uchovu mkali sana na kuishiwa sana nguvu kimwili na kiakili..
Yani akili na mwili wangu vimechoka sana ndugu zangu. Nimejitahidi kunywa maji mengi si chini ya lita tatu (3ltrs) kwa siku, kula ndizi mbivu, matikiti, maparachichi, miogo ya kuchemsha na viazi vitamu, chocolates, machungwa na hata energy drink, kulala mapema , mazoezi ya viungo kwa lengo la kuboost nguvu ya mwili (energy) na akili lakini bado nimechoka sana ndugu zangu.
Naombeni mnisaidie nifanye nini wakuu kuondoa huu uchovu wa mwili na akili , kwa kuzingatia kwamba nimeenda hospitali kucheck afya na kujibiwa na wataamu nipo sawa kabisa sina ugonjwa,
Nimekaribia kukata sasa tamaa ndugu zangu
Asanteni.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Habari..
Wakuu mimi kijana wenu nahisi uchovu mkali sana na kuishiwa sana nguvu kimwili na kiakili..
Yani akili na mwili wangu vimechoka sana ndugu zangu. Nimejitahidi kunywa maji mengi si chini ya lita tatu (3ltrs) kwa siku, kula ndizi mbivu, matikiti, maparachichi, miogo ya kuchemsha na viazi vitamu, chocolates, machungwa na hata energy drink, kulala mapema , mazoezi ya viungo kwa lengo la kuboost nguvu ya mwili (energy) na akili lakini bado nimechoka sana ndugu zangu.
Naombeni mnisaidie nifanye nini wakuu kuondoa huu uchovu wa mwili na akili , kwa kuzingatia kwamba nimeenda hospitali kucheck afya na kujibiwa na wataamu nipo sawa kabisa sina ugonjwa,
Nimekaribia kukata sasa tamaa ndugu zangu
Asanteni.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kama ka Joseverest!To yeye bhanaaa, haujasoma uzi umeshakomenti, unauliza kitu ambacho kweny uzi ameshakijibu
Sawa mkuuMkuu hivi vitu ndo wachawi wako and the only solution ni kudeal na hivo vitu. Inachukua muda kidogo kuvimaster ila ukishamaster unakua umeshamshinda adui na kupe wa energy yako
Ulifanyaje mkuu ukashinda hii hali?Mimi hio ishu ilinikuta mwezi wa tatu nikaja kupata matokeo mabaya mwez wa sita napambanayo yanakaa Sawa.
Kwangu kila tukio ni funzo
Sawa asante kwa ushauri ndugu yanguIkiwa uko kazini omba likizo ya wiki moja uende kijijini kabisa kwa mama au bibi. Ukifika huko funga simu (kama huna familia) usiwasiliane na mtu, wewe fanya kazi za kumsaidia mama au bibi ambazo hazihitaji matumizi ya akili nyingi. Ukiwa na familia waambie utakuwa unawasiliana nao usiku usiku kwa muda wa dakika tano tu halafu funga simu.
Jioni tembelea jirani na upige stori nao, zile ambazo za kijijini, wewe uwe kwa kiwango kikubwa ni msikilizaji tu......
Baada ya wiki moja utajikuta uko fresh kabisa.
Usikae muda mwingi bila ya kuchukua likizo fupi au hata weekend off (nenda japo beach Kigamboni kama uko Dar).
Itakusaidia sana.
Baada
Sawa mkuuUna issue ya Depression mbaya inakunyemelea au ishakuvaa tayari. Kosa lingine unafanya ni kunywa Energy Drinks, unazidi kuuvuruga Moyo wako! Mwili umechoka kutokana na unachokiwaza muda mwingi!
Badili vitu unafikiria kwanza, unatakiwa kupata muda mwingi kulala pia.
Mkuu umenikosea adabuUnaweza kudhani akili imechoka, kumbe hiyo akili yenyewe hauna.!