Mwili wangu na akili yangu vimechoka sana, sasa nakaribia kukata tamaa

Mwili wangu na akili yangu vimechoka sana, sasa nakaribia kukata tamaa

Dawa yako ni kujisalimisha mbele ya Mwenyezi Mungu na kuomba nusura yake.
Huenda kuna negative entity(mapepo/majini wabaya) wanafeed on your energy.
Jitahidi kuwa msafi mara kwa mara
Jitahidi kupiga goti mbele ya Mwenyezi Mungu kuomba toba na ulinzi mara kwa mara.
Fanya Meditation na kulitaja jina la Mwenyezi Mungu mara kwa mara (Mungu muumba mbingu na nchi JEHOVA siyo Yesu) na kuomba nusura
Iambie nafsi yako kuwa utashinda na Shetani na majeshi yake yatashindwa kwa Idhini ya Muumba mbingu na nchi na amka ufanye shughuli zako usikubali hiyo nguvu hasi ikuweke chini.
Tenda mema na acha maovu!
 
Nitafanyia kazi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Fanya kazi ambayo unaipenda every day.

Jaribu kusafiri angalau few weeks kutoka eneo ulipo.

Jitahidi kulala mapema na kuamka mapema.

Jaribu kusoma motivation books kumbuka the most motivating books ni biblia au Quran tukufu.

Achana na Gym fanya kazi tu manual ndogondogo zitakazokutoa jasho kikubwa ziwe purposeful work siyo kunyanyua vyuma na kukimbia hovyo hovyo barabarani kama kichaa.


Acha kukaa peke yako muda mrefu jichanganye na marafiki au ndugu.

Punguza mawazo yasiyo na tija, kaa na wazee wako piga nao stori tu za maisha.

La mwisho.

Jitahidi kusali kulingana na imani yako angalau asubuhi na jioni.

Kufanya hivyo kwa wiki mbili tu njoo hapa ulete mrejesho.
 
Dawa yako ni kujisalimisha mbele ya Mwenyezi Mungu na kuomba nusura yake.
Huenda kuna negative entity(mapepo/majini wabaya) wanafeed on your energy.
Jitahidi kuwa msafi mara kwa mara
Jitahidi kupiga goti mbele ya Mwenyezi Mungu kuomba toba na ulinzi mara kwa mara.
Fanya Meditation na kulitaja jina la Mwenyezi Mungu mara kwa mara (Mungu muumba mbingu na nchi JEHOVA siyo Yesu) na kuomba nusura
Iambie nafsi yako kuwa utashinda na Shetani na majeshi yake yatashindwa kwa Idhini ya Muumba mbingu na nchi na amka ufanye shughuli zako usikubali hiyo nguvu hasi ikuweke chini.
Tenda mema na acha maovu!
Amina

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Fanya kazi ambayo unaipenda every day.

Jaribu kusafiri angalau few weeks kutoka eneo ulipo.

Jitahidi kulala mapema na kuamka mapema.

Jaribu kusoma motivation books kumbuka the most motivating books ni biblia au Quran tukufu.

Achana na Gym fanya kazi tu manual ndogondogo zitakazokutoa jasho kikubwa ziwe purposeful work siyo kunyanyua vyuma na kukimbia hovyo hovyo barabarani kama kichaa.


Acha kukaa peke yako muda mrefu jichanganye na marafiki au ndugu.

Punguza mawazo yasiyo na tija, kaa na wazee wako piga nao stori tu za maisha.

La mwisho.

Jitahidi kusali kulingana na imani yako angalau asubuhi na jioni.

Kufanya hivyo kwa wiki mbili tu njoo hapa ulete mrejesho.
Asante mkuu..

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu nitafanya hivyo. Maana nataka sasa kurelax

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Usikubali hata kidogo kujiingiza kwenye kilevi. Utaanza na robo glasi utaishia kuwa 'alcoholic'.

Ulevi utaishia kukumalizia fedha zako tu. Wewe bado kijana tafuta shughuli nyepesi hasa weekends kama nilivyokushauri hapo juu, au oa mke basi uwe na mwenzako ndani.
 
mkuu jaribu kulala mapema na jizuie kula wanga na sukari kwa muda uone matokeo
 
Back
Top Bottom