Kipato napata vizuri , hapo hakuna shakaShida inaanzia kwenye kupambana. Unapambana na usichokiweza. Tafuta kazi na ufanye kazi. Umifanya kazi unapata tulizo la nafsi. Mwili unaitika wenyewe.
Kumbuka, simaanishi kufanya kazi ya ajira pekee, namaanisha kazi inayokupa kipato.
Afya ya hela ipo vizuri, kimahusiano ipo ICU.Afya ya hela na kimahusiano ikoje?
Sawa mkuu . Uliacha kula ngano ukawa unakula nini kama mbadala wake?Nakupa tiba hii mm ilinisaidia coz nlienda hadi apolo hospita jikaambiwa siumwi kitu.
Acha kula product zote za ngano. Mm nlikuwa na fatique masaa yote kwa sababu nikila ngano nlikuwa nachoka balaa yaan nalala ila nikiamka asubuhi ni na uchovu wa akili mwili umechoka na unauma wite nataman niendelee tu kulala.
Nikaja kushtuliwa na mtu nisile ngano. Nipo fresh sana hadi leo.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Pole habibHela sio shida zangu mkuu.. zipo na hazinisaidii chochote.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mimi bado ni kijana mdogo sana mkuu ila nimechoka sana, huo umri hapo gawanya kwa mbili toa miaka kadhaa.. unapata kujua bado ni kijana mbichi kabisa ila nimechoka kama mzeeKweli umechoka asee we komaa tu life ndio ilivyo kuchoka lazima uchoke ukiangalia umri unasoma 78+ hapo kuchoka lazima Mzee
Basi nenda hospital, you need both medical and psychological attention
78÷2= 39Mimi bado ni kijana mdogo sana mkuu ila nimechoka sana, huo umri hapo gawanya kwa mbili toa miaka kadhaa.. unapata kujua bado ni kijana mbichi kabisa ila nimechoka kama mzee
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kilichobaki ongea na MshanaJR atakuelekeza pa kwenda haya maisha usiyachukulie kiboya. Jiongeze!!!Habari..
Wakuu mimi kijana wenu nahisi uchovu mkali sana na kuishiwa sana nguvu kimwili na kiakili..
Yani akili na mwili wangu vimechoka sana ndugu zangu. Nimejitahidi kunywa maji mengi si chini ya lita tatu (3ltrs) kwa siku, kula ndizi mbivu, matikiti, maparachichi, miogo ya kuchemsha na viazi vitamu, chocolates, machungwa na hata energy drink, kulala mapema , mazoezi ya viungo kwa lengo la kuboost nguvu ya mwili (energy) na akili lakini bado nimechoka sana ndugu zangu.
Naombeni mnisaidie nifanye nini wakuu kuondoa huu uchovu wa mwili na akili , kwa kuzingatia kwamba nimeenda hospitali kucheck afya na kujibiwa na wataamu nipo sawa kabisa sina ugonjwa,
Nimekaribia kukata sasa tamaa ndugu zangu
Asanteni.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hapo ulipoishia ungeendelea kidogo,,, tungezungumzia mengine now. Imani ni viwango vya juu zaidi vya ukichaa, do beyond your comfort zone, something will happen in no small way.Nilikua nafanya hayo yote. Ila nimeona niache kwanza maana naweza jikuta siamini tena..
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ok....Muone daktari Kwa uchunguzi zaidi maradhi ni mengi siku hizi
Sina maradhi yasiyo na tiba na wala sina historia ya kuugua , hospital ukifatili file langi shida ni hii kuishiwa tuu nguvu ila maradhi mengine mara nyingi sina kabisa hata wakichek wanasema hawaoni shida..78÷2= 39
39-9= 30
Nime-assume upo 30 sasa hapo kijana si ndio mwili unapokua active zaidi ukiondoa waliopo 20/21 shida yako haswa ni nini kinasababisha uzito uliopitiliza una ugua maradhi yasiyo na tiba au nini ? Elezea vizuri
Sina maradhi yasiyo na tiba na wala sina historia ya kuugua , hospital ukifatili file langi shida ni hii kuishiwa tuu nguvu ila maradhi mengine mara nyingi sina kabisa hata wakichek wanasema hawaoni shida..78÷2= 39
39-9= 30
Nime-assume upo 30 sasa hapo kijana si ndio mwili unapokua active zaidi ukiondoa waliopo 20/21 shida yako haswa ni nini kinasababisha uzito uliopitiliza una ugua maradhi yasiyo na tiba au nini ? Elezea vizuri
Natumiaa vitumbua, mayai, ama mihogoSawa mkuu . Uliacha kula ngano ukawa unakula nini kama mbadala wake?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app