Mwimbaji maarufu wa Muziki wa Pop nchini Kenya toka Sauti Sol ajitokeza kama Mpenzi wa Jinsia moja

Tatzo umekurupuka wala hujaelewa, hebu rudia na usome tena.
 
Mkuu kwani UHALIFU ni nini?
Kuvuta bangi Jamaica sio uhalifu ila Tz ni uhalifu

Mnasema mashoga wamezaliwa hivyo ndio nikasema mbona kuna watu wamezaliwa wao wanatakana ndungu kwa ndugu kwa hiyari zao, baba na mtoto, mama na mtoto, dada na kaka nk
Je waachwe tu
Kuna watu wanataka kula mizogo ya watu waliokufa je waachwe walane tu iwapo mmoja akifa na kiridhia aliwe na wenzake?

Ndio nikasema kama tutaruhusu huu uhuru wa watu kufanya chochote watakacho sababu hawadhuru wengine tutakuja kuwa na vizazi vya ajabu sana huko mbeleni
 
Hoja yangu wataelewa wale tu ambao hawana “ulemavu” wa uchoko
Machoko hawawezi nielewa, ni sawa na kumwambia mlevi eti pombe ni mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepanick vibaya, hebu angalia hicho unachokizungumzia na ku refer jambo husika. Nwei poleeeeeh sana.
 
Hiv naomba niulize kwenye mahusiano kama hayo mashoga wanaooana ni nani anamfanya mwenzake au wote wanafanyana?
Kwakua nina kiherehere ngoja nikujibu inategemea hapo Sasa. shoga au gay ni neno la jumla la wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja au wanaume wanaovutiwa kimapenzi na wanaume wenzao. Makundi yako tofauti kutokana na Interests zao Kuna wale nipe nikupe , Kuna wale wapokeaji tu na Kuna wale watoaji tu . Sasa mpaka wanaoana maana yake masharti na vigezo vimezingatiwa.
Awii tugezaa ?? 🤣🤣
 
Mhhh nguo gani hiyo
 
Duh?
 
Ni hatua muhimu na bora sana kuishi ndani ya uhalisia wake.
Hongera sana chimao, piga kelele kwa chimao wake,weuweeeeeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kuna uhalisia gani hapo?, wakati hilo ni dume zima kabisa na mindevu yake, ni dume kabisa hilo, yani apakuliwe na kuliwa kama mwanamke, afuu wee useme uhalisia, kuna uhalisia gani hapo?

au ugumu wa maisha ndo unawapelekea watu kujikuta washajiingiza ushogani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyo ana ugumu gani wa maisha? Nwei atajua yeye mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…