Mwimbaji maarufu wa Muziki wa Pop nchini Kenya toka Sauti Sol ajitokeza kama Mpenzi wa Jinsia moja

Kitu huwa nashangaa kwa hawa watu ni kua mbona ambao hua wanajitanabaisha kua ni mapunga ni wengi ila sijawahi kuona mwamba anajitanabaisha kua yeye ni basha.
Sasa hai huwa wanasuguliwa kisirisiri na hao waliojificha
 
NiLiwaambieni vijana chunguzeni sana rangi ya nguo au mavazi mnayovaa.

Huyu kijana kajitokeza wazi na kusema yeye ni shoga na ukichunguza huwezi kudhania.
 
Koo huyu jamaa mwenye jinsia ya kiume anainamishwa daah noma sana.
 

Dah...... kuna wakati ili usitende thambi bora unyamaze
 
Bongo wanakung'utwa kimya kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…